.... Sina nia mbaya na mtu hapa... Ila nahitaji jihusisha na hili...
Simaanishi kwamba wewe ni jobless au unakaa bure... NO.
Kongosho, ErickB52, Bagah, ... etc..
Hawa ni mfano tu..unaweza...
Ndugu zangu nasoma gazeti moja hapa
loh kunamwanakamati mmoja alieshiriki na kuvaa makoti meusi kwenye
mciba wa kanumba ameonekana jana mara ya pili akizunguka zunguka kwenye
show rooms za...
Kwanza sitafanya kama wengine wengi wanavyopendelea harusi ziwe za namna gani, ya kwangu itakuwa kama hivi:
1. Chakula- Mihogo za kukaangwa na za kuchemshwa.
Nyama za kuchoma...
Mama mmoja alikwenda na mjukuu wake wa 3yrs Supermarket kufanya shopping shoprite. Alipokuwa kwa counter kulipia, mjukuu wake akaanza kushikashika pipi na chocolate. Ikabidi mama amkanye...
Shoga alienda kwa mganga ili apewe dawa ya kuacha ushoga na aweze kusimamisha mganga akamuandikia wimbo wa taifa shoga kwa hasira akamuuliza mbona umeniandikia nyimbo ya taifa mganga akamjibu hiyo...
Ukiwa muongo uwe makini... Jamaa mmoja alijifanya baharia akawambia watu aise nimezunguka bandari zote duniani kuanzia China, Africa yote ulaya marekani nk. Akaulizwa kwahiyo UNAIJUA SANA...
Leo nimefulia bandugu.Sina salio kabisa kama una salio simuni kwako basi nihamishie hata 100 tu.Msema ukweli mpenzi wa mungu na kuiba dhambi.Namba yangu 0762 698 698.
Niko huku kikazi na nimebahatika kutembelea miji kadhaa kati ya hiyo hapo chini.
Baragoi
Bungoma
Busia
Butere
Dadaab
Diani Beach
Eldoret
Embu
Garisa
Gede
Hola
Homa
Isiolo
Kajiado
Kakamega
·...
Wazee wawili walikuwa kwenye ubishi mkali kila moja akitetea kuwa mwanae ndie mtoto mjingakuliko wote duniani, ubishiukawa mkali mwishowe mzee mmoja akamwita mwanae, 'We ngeli njoo' , mwanae...
Kuna mtu yeyote ambaye anakufanya ucheke mara kwa mara
unapoona michango yake hapa JF. Nani unapenda aingie kwenye
kinyang'anyiro hiki.
Binafsi namtanguliza BUJIBUJI.
ZAWADI NONO ITATOLEWA KWA...
http://www.voanews.com/swahili/news/Sunday-magazine/Mdundiko-Ngoma-yenye-jazba-100138659.html
Hebu tazameni Ngoma hii ya Mdundiko, iliyorekodiwa miaka ya 80s, enzi hizo mdundiko ukiwa ndio...
Tangu mji wa Foco ulipoanzishwa karne ya 6, na baaadaye kulibadilisha badilisha hadi kubakia F*cking, sasa wakazi mji wa wakazi huo wameamua kubadilisha jina.
Hivi karibuni jina la mji huo...
Wan JF, Mimi ni kijana mwenye umri wa kutosha tu, karibia miaka 30 kasoro 1. Kila kona, kila siku, kila mara stakeholders wananiuliza "unaoa lini?". Nimechoshwa na hili swali kwani kwa sasa chini...
kuna list kibao ya novels za kiswahili na kiingereza zilipendwa enzi hizo za secondary, me binafsi naikubali sana Kiu ya Haki ya akina Mzee Toboa Mambo, iliyoandikwa na Zainab Mwanga, halafu ya...
Mother-in-law vs Daughter-in-law
Mother-in-law(MIL): My son should listen to me and obey my instructions, except if he did not suck this breast of mine for over 2 years...
Ticha mmoja kijijini kwetu alikuwa akijitambulsha kwa wanafunzi baada ya kupangiwa field katika shule ya kijiji,
'My name is Teacher Juma. I will be with you for 1 moon. I need your union'!!
Jamaa alinunua bangi akaenda nayo chumbani na kuanza kuvua nguo zote,kazima taa kisha akaanza kuvuta,baada ya muda akaona sio kali hivyo akavaa nguo gizan bila kujua kavaa sketi na blauz ya...
A young Technician and his General Manager board a train headed through the mountains. They can find no place to sit except for two seats right across the aisle from a young woman and her...
o Do fish get thirsty?
o Do stairs go up or down?
o If you take a shower, where do you put it?
o Would a fly without wings be called a walk?
o If a criminal turns himself in shouldn't he get...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.