JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Natafuta mtoto wa kwenda nae beach weekend hii, awe anajua kuogelea na matumizi yake yasizidi milioni moja kwa siku 2
0 Reactions
8 Replies
1K Views
kuna jamaa alikuwa anaumwa na figo akaenda hospitali. Alipofika akakutana na dokta akamueleza ugonjwa wake! Sasa Dokta akaamua kumbadilisha figo. Sababu alikosa figo ya binadamu, dokta akaamua...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Tonight its drumming on my corrugated iron roof softer than the of coo a dove, its drumming ,its raining all over the land, i turn over and settle to a sleep of the innocent and free. Usiku...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Kichaa mmoja alikuwa wodini na wazee wake na maongezi yao yalikuwa hivi:- Kichaa: Naikumbuka siku ya harusi ya wazazi wangu yani sitoisahau maisha kwani ilikuwa siku yakufa namtu, Mama...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Leo Zitto Kabwe alipokuwa akisoma hotuba yake ya kamati ya mashirika ya UMMA badala ya kuprint makabrasha luluki yeye alikwenda na IPAD yake na kuanza kusoma huku akibofya. Najaribu kufikiria ni...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naamini katika jamvi hili la JF kuna watu wenye vipaji vingi na vya kila aina, wengine wana vipaji vya ufundi wengine kuigiza wengine kuimba n.k. Leo ningependa wana Jamii Forums wote tushare...
0 Reactions
216 Replies
12K Views
Mimi sijambo...hofu kwenu nisiyewafaham... nimepata wazo,baada ya kuona mitandao mingine wana tshirt zenye majina ya mtandao husika...kwa mfano facebook... nikawaza je si vema na sisi...
0 Reactions
49 Replies
4K Views
Mods chonde chonde msi imuvuzishe hii thread yangu kutoka humu MMU coz naamini kabisa hili ni jukwaa sahihi kwa post yangu lol. Ni kuhusu mahusiano yangu na JF, yani JF idumu milele coz hii ni...
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Uwa najiuliza hawa wadada wanaoscrub nyuso za vidume na kushika ndevu uwa hawapati hisia zozote?
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Hv huyu jamaa cjui kapotelea wapi, ni mda cjamckia, cjui ndo likizo, mana me ni m2 wa kuangalia sana taarifa za habari, asa hv namckia Emmanuel Buhohela.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nafikiri kila mtu anaangalia kinachoendelea bungeni yaani lugha ni taaaaaaaaaaaabu, kwa nini wasitafute utaratibu wa kutumia lugha adhimu ya kiswahili maana hii ni shida.
0 Reactions
7 Replies
3K Views
...hii mimi sijawahi ona!... nimeingia ofisi flani hapa mjini...mlangoni paaaa,nakutana na kitu kama hii...bo!
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Mi nilichaguliwa kuwa monitor darasa la 6 nikapinduliwa ndani ya wiki mbili kisa utoro.
0 Reactions
113 Replies
7K Views
Kama hataki kujirekebisha na wewe unadhurika kwa makosa atendayo, akirudia MZABE KOFI!!
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Kila mtu ana vionjo vyake kwenye maisha. Kwangu mimi hizi ndizo Avatar zilizonivutia kwa mwaka 2011. Salute kwao!!
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Yes, you have been warned! Do not press this red button even if you really want too. Just don't do it! But, we are for certain you will anyway. "RED BUTTON"
0 Reactions
8 Replies
853 Views
Kila mtu ni kielelezo kwa watu wengine. Kama wewe ni maskini ni kielelezo kwa wengine kwamba umaskini mbaya, na ukiwa tajiri ni kielelezo cha uzuri wa utajiri, kama mzee anachapika ni kielelezo...
0 Reactions
2 Replies
933 Views
https://www.facebook.com/title20 promote the page for all manutd fans....:) please one love BEL20VE
0 Reactions
4 Replies
1K Views
mi binafsi napendelea morogoro kwanza naona upo centre ni rahisi kwenda pande mbalimbali za nchi, sio poluted kama dar na hali ya hewa moderate. wewe je?
1 Reactions
73 Replies
5K Views
Bonge la tangazo nalipenda mbaya ila upande wa tv wamelichakachua
0 Reactions
1 Replies
700 Views
Back
Top Bottom