Natafuta English course manake siku si nyingi nina intavyuu, itarushwa laiv kwenye media coz ni kitengo nyeti, panel itakua na idadi ya watu kama MPs. Niokoeni ili nisije nikajitemesha tonge kama...
mwenye udaku, umbea, uchonganishi, uzushi, majigambo, mipasho, dukuduku, atoe hapa leo kwa sababu hatapata ban hata akitukana. ofisi za jf wote jicho kwa luninga bungeni.
Mimi naanza kuna...
Ktk maisha ukiweza tu kupata hela na mapendo na amani basi yani hapo sasa ndo kutakuwa na maana ya kuwa na maisha sasa tofauti na hapo ukikosa vyote basi bdo maisha huja yapata na ndicho...
kuna jamaa mmoja alichukua demu na kwenda nae gesti, kufika gesti demu akavua nguo zote na kisha kumwambia jamaa kuwa bila elfu 10 hapati kitu...du jamaa akapagawa akaanza kujisachi zikapatikana...
Ingekuwa vipi kama Mungu akawaondoa wanawake wote ktk uso wa dunia.
wanaume wangeishi style gani ya maisha? ukizingatia kuna baadhi usafi kwao unasababishwa na wanawake
Wadau tuliokuwa shule enzi hizo mambo ya UMISETA yalikuwa na msisimko wake. Unakumbuka nini enzi hizo:
MPIRA WA MIGUU
Michuano ya watani wa jadi:
Mkwawa vs Tosa; Mazengo vs Dom Sec; Uyui vs...
Umeme unaingia pande zote kiuchumi na kisiasa ndio maana kuongezeka kwa mgao usio na kikomo shilingi yetu inashuka thaman na wala hakuna mpango wowote wa kuipandisha sasa ivi KIGOMA ni mgao...
A Russian woman married a Canadian gentleman and they lived happily ever after in Toronto . The poor lady was not very proficient in English, but did manage to communicate with her husband. The...
Katika hali isiyokua ya kawaida mshirika mwenzangu katika mishemishe za ujasiri wa mali na kuongeza kipato, alikua amefungua salon ya kunyolea nywele.
Salon hiyo ipo mjini kati , ghorofa ya 3...
Huu ni mtazano tu msijenge chuki, na maneno yangu sio sheria.
Hizi ni zile zilizobamba hasa kitaa.
OPRAH VS NDIKU KATAU
Dah! kama utani vile alichokiunganisha mola waja wakakitenganisha...
Jamaa mmoja alikuwa anapenda sana kujisaidia muda wa usiku, hiyo tabia mkewe alikuwa haipendi kweli mana ye ndo msindikizaji. Cku moja kama kawaida jamaa haja imembana, akamwamsha mkewe...
jaman unajua kama ulikuwa au unaangalia bunge sasa hv,utacheka 2,lugha ni ngumu mpaka kwenye mackio inawasha...the the to to dah zmejaa kwa baadhi ya wabunge mpaka nomer.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.