Wakulima wawili walitoka shamban na zana zao za kazi wakapita katika uchochoro mmoja gafla waka sikia sauti,, simameni wote wawili wakasimama bana,,weka jembe chini- jamaa akaweka,, weka...
SINYORITA:
"Yaar Sipwa, last year the name-plate outside your house read Sipwa Singh, B.A.
This year it reads Sipwa Singh, M.A. When did you finish your Masters Degree?"
Sipwa Singh...
honourable speaker...i am marriage..
mgombea huyu kushindwa kuelewa swali hata baada ya kurudiwa zaidi ya mara tatu na hatimae kushindwa kujibu!! Duuuuuh kweli English is a problem!! inaonekana...
1.Lazima uwe na ID humu JF
2.Lazima utumie blackbery,i-phone,samsung,nokia na simu zingine
3.Utakuwa unaangalia TV
4.Umejiunga na sms za bure
6.Unapenda kujua mambo ya kikubwa.
7.Kawaida yako...
Ambapo nitafika mpaka Lupata, itete, Lwangwa Lufilyo, Masoko, Lutengano, Tukuyu mjini na maeneo mengineyo.
Katika tour yangu hiyo nitakuwa nina red areas zinazoweza kutumika kufanya youth...
1-Jela
2-Kufa
3-Kubakwa
4-Talaka
5-Ugonjwa
6-Shetani
7-............
Mimi naogopa sana Jela na Shetani, Je ww unaogopa nini? Ukitaja na sababu itakuwa vizuri....
CHAMA kikubwa sana cha siasa katika nchi ya Lyabishuuri kiliamua kuitisha mkutano wa dharura kupitia kurugezi yake ya propaganda na Mipango.
Dharura hii ilitokana na kuona Jamii Forums...
Preta na wenzako hebu mshaurini mwenzenu ananibania kisa nina vigezo vyote vya mwanaume anaevutia mtoto wa kike kwa KILA KITU nimemconvice sana mpaka naona kama namconfuse! Hajielewi,
SOMA HII..
Jamaa alikuwa safarini
Kikazi akafika guest
sikuiya alijiona mnyonge
Akaamua kumuuliza
Muhudumu mmoja wa kiume kuwa anashida na demu
Muhudumu: akamwambia mademu wapo ila
Sisi...
Jamaa mmoja alishuka kwenye ndege uchi...... Itabidi Wafanyakazi wamuulize: Vp mr. mbona huna nguo? Jamaa alijibu: ahh! Pilot wenu alikuwa anatusumbua sana mara anatwambia tufunge mikanda! Mara...
Tangu nimeacha kuugua malaria zaidi ya miaka kumi iliyopita ugonjwa wangu mkubwa kabisa kwa siku za hivi karibuni umekuwa ni mafua. Nayachukia mafua coz yakinipata napata homa, kichwa kinauma...
Nimefurahia hawa wloimba Taarabu za zamani
1. Jamani mapenzi yananitatiza eeeh
kulala siwezi chakula sitaki akiona sumu . .
jamani taarabu za zamani ntazipata wapi?
Hiki ndo kimenigusa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.