JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Madenti 5 chuo kikuu kimoja hapa nchini walikuwa wanatakiwa wafanye mtihani siku inayofuata. Bahati mbaya wakanywa pombe mpaka mida mibaya na hivyo wasingeweza kufanya mtihani kesho yake...
5 Reactions
14 Replies
2K Views
Hodi mji huu, heshima zenu wakuu. Naomba nami nipate uraia hapa ndani. Naahidi kuwa mwaminifu kama jina langu lilivyo.
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Katika Daladala mama mmoja alitaka kumnyonyesha . Mtoto akakataa! Mama akamwambia "NYONYA KAMA HUTAKI NAMPA ANKO" (Anko ni kaka mmoja abiria aliekaa na huyo Mama pembeni) mtoto akanyonya kidogo...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
> Difference between Boys and Girls while using ATM > > > Boys: > > 1. Drive to the bank, park and go to the Cash Dispenser. > 2. Insert card > 3. Dial code and desired amount > 4. Take...
6 Reactions
31 Replies
2K Views
Hii letter ni baaab kubwa. Jamaa asipopata kazi anweza akajinyonga
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Bobbie Jo Geveshausen Friday, May 21, 2010 2:44 AM Mama wa nchini Marekani ambaye alirekodi VIDEO za binti yake...
0 Reactions
28 Replies
20K Views
Ivi kuna tangazo la biashara linachekesha kama hili la Vodacom Mpesa la jamaa anayesahau yuko kufani anaahirisha aje atibiwe siku hakuna foleni?
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Kuna club ama bar ya wabongo charlotte nc?
0 Reactions
0 Replies
620 Views
Huwa nashindwa kuelewa,kwa nini kila kitu wanatufadhili wa marekani? Hii ipo hasa kwenye sekta nyeti mfano afya,maliasili na utalii,nishati na madini..nk. Hivi hawa wageni wanatoa vitu bure tu kwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Jaman nakuja mwanza kwenu kikaz nntakaa miez sita.sina nnaemjua.plz kama utapenda kunipokea ni pm plz
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Mzee mmoja alienda kufanyiwa upasuaji wa makende (korodani/pumbu) zake, wakati tabibu amezitoa zile korodani na kuziweka pembeni huku akiendelea na tiba bahati mbaya paka akazipitia katika...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mlevi anarudi na rafiki yake mgeni nyumbani kwake na kuanza kumuelekeza hii ni nyumba yangu na lile ni gari langu,wakaingia ndani wanalikuta njemba limelala na mke wa mlevi bila wasiwasi mlevi...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Mazungumzo yalikua hv:baba sasa iv mwanangu umefanya vizur lakin mbon hl swal la kutoa umelikosa?Madenge hapana bab yote hayo niliangalia kwa jiran yangu juma lakin hl la kutoa alinikatalia eti...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kunamchz mmoja alienda town alpoenda town alkuta wahind wengi sana ikabdi aulize michano ilkua iv "iv india siombali sana,jamaa mmoja akajbu itakuwa siombali kwasabab boss wetu anakujaga kwa baskel!!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa takribani saa zima na ushee JF haikuwa hewani kabisa na meseji niliyokuwa napata iko consistent na ile unayopata kama umekula server ban. Sasa nikadhani ndo nshalimwa hilo ban kumbe wapi...
0 Reactions
81 Replies
4K Views
MTOTO: Baba ntumie hela ya matumizi huku shuleni hali ni mbaya la sivyo ntajinyonga. BABA:huku nyumbani hali ni mbaya kuliko huko shuleni kwahiyo kama unajinyonga sawa tu kwa sababu utapunguza...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nilipokuwa ninarudi nyumbani, nilipata askari akiongea na derava mwingine aliyekuwa na kileo 'Beer' garini. Mazungumzo yalikuwa hivi: Askari: habari yako dereva. Derava: mz..urri...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
I'am a 7 letter word,u have me daily.my 5,6,7 letters increase each year,my 3 and 4 are the same my.my 3, 2,5 letters cover 79% of the world.whom am i?
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Hivi hawa huwa hawana wataalamu wa lugha tofauti ili wasijiharibie soko?? Kama hapa nani atanunua pikipiki hii??
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ni hizi avatar za JF. Zipo mbili zinafanana kiasi cha kuwazingua wanangu Fred na Frida. Mojawapo ni ya Yo Yo, na ingine ni ya Kinyerezi. Ukisoma post na michango yao wadudu wadogo weusi...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Back
Top Bottom