JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
If people we love more they walk away from us, let them walk, we don't have to make them stay, People leave us because they are not joined to us, It doesn't mean that they are bad people...
4 Reactions
50 Replies
3K Views
Jamani tupeni macho hapo juu kulia mwa avatar yangu,mwenzenu nimebadili makazi(location). Wenyeji jamani mpooooooooooooooooooooo??????????????????????
1 Reactions
94 Replies
5K Views
TAHADHARI: ukiingia chumbanin na mpenzi wako usilogwe ukasahau kuvaa HELMENT USsije ukagonga kichwa chini na kupoteza maisha kama THE GREAT KANUMBA remember bora kinga kuliko kTIBA
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mwalim mgeni kwenye shule ya msingi Bwiti maramba mkoani tanga: mwalimu:leo tunajifunza mazao ya kibiashara hapa nchini. Wanafunzi:sawa mwaliimu mwalimu: swali 1:taja zao la biashara la mkoa...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Nilijua tu na mie lazima nipate cha kuanzishia sred kufuatia kifo cha Msanii Maarufu. Inasemekana, kuna uwezekano wa tarehe 7 April kuitwa :A S new:Double K's Day.:A S new: Hii inatokana na...
2 Reactions
34 Replies
2K Views
Wadau habari za muda? Poleni na majukumu. Hivi, nilikuwa napitia news nikaja spot kwamba Lulu ana umri wa miaka 17, na si 18 kama ambavyo imekuwa ikidhaniwa. Sasa, wakati anaondoka maeneo ya...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Usiku wa leo niliota ndoto yenye msimamo ktk njozi yangu! Nimeota hivi kwa jinsi nilivyoota ni kwamba mtandao huu wa JF utakuja kuwa mtandao wenye nguvu katika nyanja zote zinazolenga mambo ya...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Juzi nilikutana na mpenzi wangu, macho yalikuwa yamemvimba sana na hakuwa katika hali yake ya kawaida…. Nikamuuliza kulikoni na macho mbona yako hivyo? Akanijibu kuwa kifo cha Kanumba...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Wapendwa, Mabibi na Mabwana, Wakaka na Wadada, Bandugu, Bila kuhusisha itikadi za chama na kwa wale wanaopenda kujiongezea umri wa kuishi basi nawashauri msome hiki kituko cha Ndugu yetu...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Mmasai alikuwa MC msibani alipopewa kipaza sauti akasalimia "Msiba hoyeeeeeee.......maiti safiiiiiii.....amependesa au hajapendesa.....wenye wifu ife kama hii laiyoni
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mtoto wa jirani (miaka 5 anasoma chekechea) kanijia asubuhi akaniambia eti nimtafutie CHAWA na KUNGUNI ajue jinsi walivyo. Anasema wamefundishwa ubaya wa hao wadudu na wameambiwa kila mmoja...
1 Reactions
43 Replies
3K Views
Wanyama wangekuwa na uwezo kuwa na IDJF hizi zingekuwa post zao ChitChat. Mende:rafiki zangu nina furaha yaani nimeupuka kijanja kukanyagwa na binadamu. Mbu:Mi ni HIV posite baadaye ya kunyonya...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Kama picha ingepigwa kimvuli pekeeyake pila taswira za hawa watu ..ungeelezeaje wanachofanya wao wawili?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakati watu wanagombania kupanda kwenye basi la mbagala kama kawaida yao, bibi mmoja alipanda bila shida akapata siti. Baada ya muda konda akamuuliza "bibi unalia nini sasa?" Bibi akajibu...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Tunywe sana maji ili tujikinge na magonjwa
0 Reactions
14 Replies
1K Views
...na mtoto wa dada yangu, yaani mjomba'angu, if you know what am I saying. Marehemu aliitwa Nelasi, binti wa miaka 10, mwanafunzi wa Shule ya Msingi Elu, Morogoro, aliumwa ghafla ugonjwa kama...
0 Reactions
48 Replies
3K Views
Jamaa baada ya kupinga tungi akawaza kimasaburi akaona ni bora aende kumalima nyumba ya wenyeji, ile kufika akakuta mji mzima wameungeleja kwa masaburi yake akapandwa na wasira akaanza kupinda...
1 Reactions
9 Replies
909 Views
HAKUNA MWANAUME KAMA KANUMBA YALETA TAFRANI! Abiria wakiwa wametulia ndani yabasi akaibuka msichan mmoja nakusema "hakuna mwanaume kama Kanumba" Akadakia rafiki yake aliyekuwa kiti cha nyuma na...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
wana jf naombeni ukweli juu ya hili eti kila kona ukipita watu wanasema kuwa lulu alitumwa kumuua kanumba hivyo anayejua lolote naomba anijuze huyo mtu aliyemtuma ni nani?
0 Reactions
50 Replies
6K Views
(Sorry for the topic name,nimekosea)Nina mdogo wangu ambaye ana aibu kupita kiasi utafikiri amerogwa yaani dogo anafikia point ya kuogopa hadi opposite sex na nimejaribu counselling bado...
0 Reactions
3 Replies
791 Views
Back
Top Bottom