Maid asked 4 a pay increase. The wife was very upset about this and decided to talk to her about the raise.
She asked: "Now Maria, why do you want a ......pay increase?"
Maria: "Well, Ma'm, there...
sheria ya mpya ya 18 ya fifa mchezaji akifanyiwa madhambi wakati kona inapigwa itakua penalt nafikiri wote mliona hii sheria ilipoanza ku2mika kwenye gem ya ac milan na barca
Heshima kwenu wakuu, kwa fursa ya pekee kabisa napenda kuwatakia jumapili njema iliyotukuka, wenye hangover za jana keep in touch too. Ila kesho Tukumbuke kwamba "Event za mjengoni zinaendelea so...
Jamani kwa wale wanaomfahamu TB JOSHUA huyu mtu ametabiri vita kuu ya 3 ya dunia itakayohisisha iran na middle east vs America na Britain sasa Africa ipo katikati ya bara hizi na inaweza...
A drunkard enters a bus and realizes his wallet went missing.
Mlevi: Somebody has stolen my wallet! If I don't find it, same thing that happened in 1978 will repeat itself today.
Passengers...
Ni Amedee Stanslaus (alikuwa Head Prefect Pugu High School mwaka 90/91) na Nazael Madala. Niliwapenda sana tabia zao zilivyokuwa kama viongozi wa serikali ya wanafunzi pale Pugu- na walitokea kuwa...
Jamaa aliingia Msikitini na panga mkononi na kuuliza:
"Ni nani Muislam hapa?" Wote waliokuwa msikitini wakanyamaza kimya.
Akarudia kuuliza tena: "Nani Muislam hapa?" Vile vile hakujibiwa...
Mawifi hawaelewani vizuri hata kama hawajawahi kuonana - sijui ni kwa nini?
mkwe anagopeka sana; hasa baba wa mtoto kike na mume wa mtoto wake na mtoto kike na baba wa mume wake - unaweza...
WEMA JMOSI ALIONGEA NA CLOUDS:
SIKU chache baada ya kifo cha muigizaji mkubwa
katika tasnia ya filamu Bongo, marehemu Steven Charles Kanumba, Miss
Tanzania 2006/07, Wema Sepetu amefunguka kuwa...
Wana JF napenda kuwashirikisha furaha yangu.
Leo ni siku yangu ya kuzaliwa. Hakika namshukuru Manani kunijaalia kufika siku hii muhimu katika maisha yangu nikiwa ni mzima wa afya tele. Yote haya...
A woman from TZ is sitting in a
bar in New York with 2 guys
beside her. The 1st guy says 2 the
barman "Johnie Walker, single".
The 2nd guy blurts "Jack Daniels,
... single". After that...
nimeshikitika kuona vibandiko hivi yva magari. endesha+simu=Kifo. nafahamu kwamba ajali zimetokea kwa matumizi ya simu wakati madereva wanaendesha. ila waliounda msemo huo nauchuklia kwamba ni...
Hivi huyu Jamaa ambaye ni Afisa habari wa Klabu ya soka ya Mtibwa Sugar yupo yupoje? Naona huwa hana ushabiki wa kijinga kwenye timu,kama maafisa habari wa Simba na Yanga.
Anastahili kuwa Afisa...
Naipenda JF kulinganisha na mitandao ya kijamii niliyoitaja hapo juu kwasababu zifuatazo:
hutoa taarifa kwa haraka sana na kwa asilimia kubwa huwa ni za ukweli
uhuru wa mawazo
kuwepo kwa...
Aries..Punda...Kondoo
Wataalamu wa nyota(astrology &horoscope) mnatudefine vipi...
Born on 16th April na haka ka teen lulu nako eti on 17th April..inanitisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.