JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Huyu si mwingine ni yule yule mkali wa safari ambaye bado safari 63 amfunike vasco da gama kwa kuwa ndiye anayeshikilia record ya kusafiri safari nying duniani kuliko kiumbe yeyote yule je...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
kwa takribani siku nne mfululizo kila mtu anazungumza habari za kifo cha Kanumba ki ukweli inauma ila ndo yashatokea na tushamzika leo basi hatuna budi kuwaachia wanafamilia waendelee na msiba wa...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
awe mwembamba wa kawaida kijungu cha kawaida .kila gharama juu yangu.:car:
0 Reactions
31 Replies
3K Views
nawashukuru kwa ushauri wenu wana jf laaziz amenielewa nimeongea nae kwa kirefu hatimae chaunabe wetu ameumbuka. aisee nawashukuru sn tena sana sina tu cha kuwalipa mungu awape maisha marefu...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Wanafunzi wawili baada ya kumaliza mtihani wa Kiswahili wakawa wanaongea. Mwanafunzi 1:Mtihani ulikuwa mzuri sana na mda ulitosha. Mwanafunzi 2:Maswali yote marahisi ila isipokuwa swali la 5...
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Nimeona nitoe maelezo kidogo kuhusu nii kitu maana kwenye mojawapo ya posts kwenye thread za huyu kijana aliyekufa hivi karibuni kuna mtu kaandika kua alibugia "pombe ya kirusi" Jack Daniel's...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
ni ya ndikumana au ya msanii mwingine tena
0 Reactions
19 Replies
2K Views
jaman iv ni macho yangu 2 au lile jukwaa la vchekesho limetolewa!?kama limetolewa mode plz eleza y ?!
0 Reactions
3 Replies
785 Views
Jamani kuna gesti moja mitaa ya Kigogo,inaitwa L**O*WO GUEST HOUSE,chondechonde,ukiingia na mke wa mtu lazima wakati wa tendo azimie,nasisitiza akiwa MKE WA MTU TU! Haijalishi kama ana tatizo la...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Mtu mzima, [tena usikute msomi na degree zako kadhaa kichwani] unaingia chooni, iwe choo cha umma au binafsi, iwe ofisini au kituo cha basi unakuta choo kisafi, kinang'ara, unaachia mkojo...
1 Reactions
45 Replies
3K Views
Kitendo cha Rais kwenda kwenye msiba wa Marehemu Kanumba, kimenifadhahisha sana! Na ni kutokana na kuvuruga kabisa uchunguzi wa kifo cha marehemu. Awali lawama zangu zinakwenda moja kwa moja kwa...
0 Reactions
35 Replies
3K Views
mbona kanumba analiliwa sana na kina dada kuliko wanaume?
0 Reactions
2 Replies
952 Views
Ndugu zangu kunanipaleee.... Shekwavi shehoza Shemdoe Shechonge Shedafa Shebuge Shehiza Shekuamba Mi nimechoka na wewe endelea...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wadau poleni sana, Kusema ukweli mi ni mmojawapo wa watu tuliokuwa hatumkubali kanumba kwamba yupo juu kiasi hiki lakini nimekubali, Yaani barabara hazipitiki, traffic na FFU wa kumwaga...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
" Bob Junior!!" More to follow!....
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Ninani alikujulisha juu ya Jamiiforum,kwani kila kitu kina chanzo na mwanzo!
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Wana Jf.habari. Niko hapa Deluksi hotel,karibu na kwenye msiba wa kanumba.watu wamemzingira ajuza mmoja mnene,mfupi akiwa amevaa gauni anayedaiwa ameanguka eneo hili kutokana na ungo wake...
0 Reactions
28 Replies
8K Views
Tunaomba Picha hapa. Umbea niliosikia. 1. Mpaka sasa fence ya makaburi ya kinondoni ipo chini. 2. Leaders pamajaa hakuna mfano kwahiyo kuna watu wamewahi ,akaburini. 3. Watu walio juu ya miti ni...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Paska ndo hiyo imekaribia hadi dakika hii bilabila msema ukweli mpenzi wa mungu jamani bila aibu wala kificho natafuta mtoko wa pasaka nakaribisha mialiko mbalimbali then ntaifanyia procurement...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Edson: Kwanini umechagua avatar ya picha ya Mzee Mugabe akiwa amezimia kwenye sofa? sikumbuki majana ya hawa. 1. Kuna member ana avatar ya m2 aliyebeba jeneza kwenye pikipiki 2. kuna member...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom