Halo Keren! Hujambo dear? Nakusikia sana hapa JF lakini umebadilika mno. Ngoja nikueleze.
Nilipojiunga JF December 2011 nilikukuta humu ukawa unapost vizuri sana ila ilipofika Januari au...
Mlevi alikutana na kundi la polisi katika majibishano askari mmoja akasema afande mpe chai, yule afande akamkata kofi mlevi mpaka chini,mlevi kuinuka na yeye akamkata afande kofi afande chini...
Kamwe sisi-em haiwezi kushinda uchaguzi wa Arusha mjini. Hata wakimsimamisha mgombea wa maana then CDM ikaweka jiwe, walah jiwe litashinda. Piiipooz pawaaa. M4C!
Endelea..
mara nyingi sana nikisikia mtu fulan amefariki basi ntasikia sifa lukuki kwa marehemu tena unakuta sifa nyingine hata hazimuhusu marehemu hivi hii husababishwa na nini?
cmm ought to announce that it is changing its emblem from a hammer and a hoe to a CONDOM because it more accurately reflects it's political stance. A condom allows for inflation, halts...
From Yahoofriends
If you were the man, what would you do....?
A man was going on a trip and the wife helped him pack his clothes in a bag.
When he was about to leave, the wife handed him a...
Mtoto Farid Rashid mwenye umri wa mwaka 1 na miezi 8 anasumbuliwa na tatizo la kuziba kwa mirija inayosafirisha haja ndogo( mkojo) kati ya Figo na Kibofu cha mkojo.
Baba Mzazi (Rashid Said)...
Duh tangu 2007 yaani leo ndo natimiza posts buku 3. Nimeona mengi sana tangia kitambo hicho cha JamboForums, nimesoma mada nyingi sana...God is always Great!!
Tuko pamoja sana!!
Wadau poleni sana na msiba wa the great na presdaa wa malawi,
Tusaidiane kumshauri vasco da gama wetu maana wakati anapanga mabegi awai zake lilongwe kapata taarifa zingine ambazo zimemchanganya...
Nachukua fursa hii kuwatakia kila la kheri na baraka tele za PASAKA wanaCHITchat & all great thinkers. Karibuni tuburudike na tusherekee pamoja.
...
SI unit
Dear Mwali,
Natumai we ni mzima bukheri wa afya. Mimi ni mzima japo napata matatizo ya kulala hasa ninapokuwaza.
Lengo na madhumuni ya ujumbe huu ni kukutakia heri ya pasaka na kutaka...
Naimani wengi wenu mtakuwa wazima wa afya..
Kwa wale wapenzi wa tasnia ya sanaa hususani filamu poleni sana kwa msiba wa mwanasanaa mwenzenu.
Lakini pia kwa wakristo wote nichukue fulsa...
Habari toka ndani ya chungu ni kuwa kuna mpango unaendela kupikwa kumshawishi Mchungaji Mwasapila... Babu wa kikombe agombee ubunge Arusha Mjini kwa tiketi ya CDM ili kujibu mapigo ya Magamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.