JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Leo ni KARUME DAY,ila naona siku ya leo itabadilika jina na kuwa KANUMBA DAY hii ni kwasababu ya kifo cha msanii mkubwa wa filamu S.Kanumba ...R.I.P S.Kanumba
0 Reactions
5 Replies
2K Views
  • Closed
Aisee nimeshtuka sana kuambiwa kuwa Lulu kumbe ni mchaga,tena wa Machame.. Kitu ambacho nazidi kujiuliza aya matukio ya wanawake wa kichaga kusababisha vifo vya wapenzi wao inakuwaje...
0 Reactions
28 Replies
9K Views
yatakayofanya nimkumbuke kanumba the great ni 1. Alipoenda kumtembelea mzee kipara wakati mgonjwa na kumpa msaada wa laki 1 huku akiwa ameambatana na lundo la waandishi wa habari kama hali...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Msipanic kwani uchaguz wa arusha ni sehemu ya mazoezi ya kampen za 2015 co lazma kampen kila baada ya miaka mi5 ushauri wangu ni kwamba kama lema aliweza angusha tembo kwa bua xaxa ni zamu ya...
1 Reactions
23 Replies
2K Views
Happy easter wakuu wa jukwaa hili. Hivi wakuu neno marashi na neno manukato yana maana moja? Mim nimekua nadhani kuwa maneno hayo yanamaanisha perfume kwa kiingereza lakini sina uhakika kama niko...
1 Reactions
12 Replies
7K Views
One day an at home wife is alone and the doorbell rings. She opens it to a guy, "Hi, is Tony home?" The wife replies, "No, he went to the...
0 Reactions
0 Replies
912 Views
The newlyweds are in their honeymoon room and the groom decides to let the bride know where she stands right from the start of the marriage. He proceeds to take...
0 Reactions
0 Replies
748 Views
Mahitaji: Mkate vipande vinne (uliokatwa vipande vikubwa ili usilowe sana) Mayai 4 Maziwa nusu kikombe Mdalasini (ama vanila) kijiko kimoja Asali vijiko viwili ama Jam ya ladha yeyote...
0 Reactions
2 Replies
7K Views
Kuna watu wamekuwa wakiniambia eti nikagombee ubunge kwa tiketi ya cdm kule arusha eti kwa vile jina la mbunge aliyeenguliwa GODBLESS na hili la kwangu GODLESS yanalandana. Mimi nasema siwezi...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Dah, nimechaka kweli leo japo tuna majonzi ya kuondokewa na Kanumba...Katika kipindi cha mkasi ambacho kimerushwa maalumu coz ilikuwa wakati Lulu anahojiwa...Huwa kwa chini pembeni kuna Methari za...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
yaani hapa nimenuna kweli kwelì! Baada ya kusaka usingizi muda mrefu ulipoanza kukolea jirani yangu amerudi! Na usingizi wangu umekata! Jirani huyu sijui amefunga spika za matangazo kwenye...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Jamaa alikuwa kitandani na mke wa mtu, mwenyewe akarudi na kugonga mlango. Mke akamwambia jamaa pitia dirishani kimbia,jamaa akaanza kubisha eti nje kuna mvua, mwanamke akamwambia jamaa ana hasira...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Waswahili walisema kila chenye mwanzo hakikosi kuwa na mwisho na sasa uvumilivu wangu kwa hawa watu wanaojiita TANESCO umefika mwisho sio siri TANESCO nasema mmenichoshana mambo yenu ya ajabu...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Jamani nilikua nimesahau kama leo ni ijumaa kuu, nmeamkia supu ya ngo'mbe na chapati saa hizi natoka kula wali nyama ile nmemaliza naenda kunawa muhudumu ananambia ''ijumaa kuu njema'' apo ndo...
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Siku moja baada ya kufanikiwa kulitwaa jimbo la Arumeru Mashariki, Mbunge wa Kawe, Halima Mdee (Chadema) ametoa kali ya mwaka baada ya kudai kuwa sasa yuko tayari kuolewa na Mbunge mteule Joshua...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Hii ni moja ya zawadi nyingi utapata, matokeo ya kukubali Shabhan wamtaka, Hakika kwangu vitu vyoote utapata, mengi maneno yangu yasikutie shaka. U mzuri, mcheshi na mpole, mkarim, mkweli...
4 Reactions
144 Replies
7K Views
Nani kakuudhi jamani? Mbona umesusa jamvi? Kunani? Kama kuna aliyekukera nambie nimpige ban fasta.pliiiiz jongea chit chat angalau tukutie machoni kidogo..................
4 Reactions
273 Replies
13K Views
Baba John aliona mkewe amepunguza mapenzi kwake,na hiyo yote ni baada ya mkewe kujifungua. Baba John akaamua kutafuta sumu ya kumuua mtoto.,akaamka mapema,akampaka mke wake sumu kwenye manyonyo...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jamaaa mmoja alikua katoka klabu kalewa chakari,na alipofika kwake alikua ameweka konyagi kwenye mifuko yake ya nyuma.Mara akawa ameshikilia funguo na kuanza kufungua mlango,akawa anahangaika sana...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa mwenye matokeo yake form 4 huyu actor kama alikuwa anaxoma kweri au la
0 Reactions
53 Replies
8K Views
Back
Top Bottom