habari yenu wakuu.
naomba kuuliza, hivi ile dawa ya tongozoro inafanya kazi?.
Nasikia kama wewe ni domo zege kwa mademu ukiitumia tu unaanza kutema mistali na unaye mpenda anakubali hapohapo...
Kuna cha'P' mmoja aliokoka na kushuhudia kwamba kati ya dhambi zote kubwa alizofanya kulewa kupita kiasi ni moja wapo.Kumbe siku alizokuwa akizuga kuokoka alikuwa 'apeche aroro'. Siku ya siku...
Boflo trick would be:
Put some yoghurt in a plastic cover
Leave it open until the flies settle
Wrap up the cover as quickly as possible!
Anyone with a better tactic Wana Jf??
Huyu si mwingine ni yule yule mkali wa safari ambaye bado safari 96 amfunike vasco da gama kwa kuwa ndiye anayeshikilia record ya kusafiri safari nying duniani kuliko kiumbe yeyote yule je...
Habari ya Easter monday?
Kama mmeamka salama ni furaha kwangu, tujuzane tu namna tulivyosherehekea siku ya jana maana sikukuu huwa haziishi matukio ya kuacha midomo wazi
Amini usiamini ndugu mtanzania haya yametokea leo tarehe 09 april 2012 ktk hospitali ya wilaya tandahimba, kuna ndugu yangu alimpeleka mwanae, kwa kudra zake manani alipata huduma, mwanae...
...........ulinipa ahadi tukutane kwenu, nikitumaini nimewahi, nilichopata kwako ni matusi na dharau tele. Ungenieleza ukweli solemba kuliko kunidanganya, najuta kuitimiza ahadi ambayo si ya...
kwanza kabisa namshukuru MUNGU kwa kutupa siku hi ya leo, tufurahi na tuishangilie.
pili kwa ndugu, jamaa na marafiki zangu woote... heri ya PASAKA
3. kwa mpendwa wangu SMILE... Heri kwako
4...
Pasaka yangu kama inavyojeleza hapo juu jamani. Makuu sina kijana mie, chakula mwakiona na kinywaji ndi hicho hapo. Vyote 'Made in Tanzania', mpaka sahani na kijiko ninavyolia. Page ya JamiiForums...
I find it really hard to have fun in this city without money.....
I have a few ideas one can do...can you guys perhaps help me out here and share some things we can do here in
Dar without...
Im looking for a partner for a regular swimming exercises in a swimming pool, even if u dont know how to swim,
am ready to teach you and dont worry about entrance.
Sitaki madume, ni kwa wadada...
Embu jiulize hili swali wewe ukiwa kama mwana JF na mkristo; Kifo cha Yesu cha juzi na cha Kanumba kipi kimeugusa zaidi moyo wako? Halafu jipime, wewe ni wa Kristo au wa Kanumba?
Muhusika wa Msiba wa KANUMBA ni Wasanii wenzake au Familia?
Najiuliza sana hili swali pasipo kupata jibu lililotimia, kwani kila chombo cha Habari kinasema au kinataja Mwenyekiti wa Kamati ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.