1.Ujasiri si kuzuia moyo usidunde,ni kumuonesha adui yako huogopi.
2. Ujasiri ni kukemea maovu ya serikali huku ukitumia ID halisi(kama mimi).
3. Ujasiri ni kujitahidi kuongea kwa confidence...
Shakira alimnunulia mtoto wake wa miaka 6 hivi kigari cha kuchezea chenye muundo wa basi. Siku moja wakati Shakira yupo jikoni mwanae alikuwa sebuleni anachezea kile kigari. Shakira akawa...
Kilaza aliamua kutokwenda shule lakini ili kuepuka na adhabu kali ikabidi atumie ujanja.
Kilaza aliamua kupiga simu kwa mwalimu mkuu na kujifanya yeye ni Baba Kilaza hivyo alikuwa anamwombea...
Hivi tunawezaje kuishi kwa matumizi yafuatayo kila mwezi? Fikiri, matumizi nyumbani: chakula, umeme, gesi, maji, soda/juisi za wageni.
Ada za watoto zinazolingana na za chuo kikuu. Matibabu...
Kuna mmoja kanikosakosa eti NMB bank ya kwetu (nakoganga) imeungua..
Mi nimemkosa "mjinga wa leo",nilimwambia awashe TV aangalie kwani Rais Obama kafariki,akastuka! Akacheka sana..
Watoto wa zamani wakikojoa kitandani, walikuwa wanazungushwa mitaani na kuimbiwa hii nyimbo.....
Hii nyimbo ina maana gani???
Watoto wa siku hizi kwa nini hawafanyiwi hii kitu??
I miss u, where r thou baby...it has been long since i heard frm u,I miss so many things that are part of u. Your warm re-assumning smile, pretty talk and amazing stature. Michango serious na...
Habari mabwana wakubwa na wadogo,naamini wote wazima wa afya, mimi mzima huku nilipo hofu kwenu mulio mbali nami.
Lengo la barua/ujumbe huu ni kutaka kuwafahamisha kuhusu "infinite ban"!!
Sijui...
Wakuu wa JF,
Hizi luku za KADI nazi angliya zipo kwnye shortage...
Where can we find ?
Nimejaribu BP ya UPANGA, Na pale karibu na posta kwenye petroli...lakini hawana :(
plz help !
1.Chukua namba ya kiatu chako....mfano yangu ni 41.
2.Izidishe mara 5
3.jumlisha 50.
4.zidisha mara 20
5.jumlisha 1012
6.halafu toa mwaka ulipozaliwa
Jibu utakayopata namba za mwanzo ni...
Habari za mchana. Tukipokua wadogo hatukuruhusiwa kutumia mafuta ya taa. Siku moja kaka yangu aliwasha moto na mafuta ya taa bahati mbaya yakamwagika. Mama alipouliza nani ametumia mafuta...
Wanafunzi watano wa chuo kikuu
kimoja hapa nchini walikuwa
wanatakiwa wafanye mtihani siku
inayofuata. Wale wanafunzi
walikunywa pombe mpaka saakumi za
usiku,asubuhi ya siku ya mtihani kila...
KISSING each day will keep the DENTIST away...KISSING encourages saliva to wash foods from the teeth and lowers the level of the acid that causes decay...preventing plaque build-up...
haya kazi...
enzi hizo kulikuwa na matukio ya kutisha katika mikoa mbalimbali ya nchi yetu mfano Unyonyaji damu ambapo ilifika kipindi mtu huwezi kutembea peke yako usiku, vilevile Uchunaji ngozi za binadamu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.