JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Nasikia kuna club inaitwa much more kuna party ya Jack Daniel. mtaa wa mkwepu.
1 Reactions
8 Replies
965 Views
Ntawezaje kupata kazi yenye kudumisha utu wangu, kuwatunza wazazi wangu, na kuwasaidia ndg zangu wakati sikubahati hata kumaliza elimu yangu ya sekondari? Sina kazi natafuta kazi help me plz...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Kweli mmeshindikana..................!!! mi nimeamua kuwacheki tu....!!! lakini mjue bado naendeleza kampeni zangu za kuin'goa hii kitu. Kuna watu humu ndio alaaah!!!.
0 Reactions
93 Replies
5K Views
2pe kicheko cha kauzu zaidi ya daga(KD) mtaani.. naanza .KD: halo muhudumu naomba pilau tafadhali MUHUDUMU:ya sh ngap? .KD: kuna ya sh ngap na sh ngap? .MUHUDUMU: ya 3000 una nyama ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hbr za mwisho wa wiki wanjf wenzangu, poleni na majukumu ya hapa na pale mi nishapoa sasa naelekea kitalani nikapumzike... NI HIVI NAPENDA KUWASHUKURU WANA JF WOTE WALIOSHIRIKI PA1 NAMI JANA KWA...
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Shamba boy akiwa amepiga pamba zake mpya baada ya kazi alikuwa akitembea mtaani, akakutana na mtoto wa geti kali mrembo kwelikweli. Shamba boy akaanza kumtongoza. Ktk kumwaga sera akajisifia...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari za wikendi waungwana ? Ebu naombeni your very 'sincere opinions' ... Hivi huwa unajisikiaje kwa zile rangi nne (4) unazokutana nazo pale juu kabisa kwenye JF HOME Screen pindi...
0 Reactions
27 Replies
2K Views
Kwa anaetaka kunitoa ani pm niko so lonely budget yangu ni , 1300000 tu sina makuu mie aje na cash nataka kwenda bagamoyo kucheza na boat pia tulale uko ila kila mtu na chumba chake awe tayari...
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Watoto wawili wa umri wa kati walikua wameketi nje kwenye klinik na mmoja wapo akawa analia. Mtt wa 2: Unalia nini? Mtt wa 1: Nimekuja kupima damu Mtt wa 2: Kwa hiyo unaogopa? Mtt wa 1...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Mtoto ( wa kiume) wa miaka minne alikuwa amekaa sebuleni na wazazi wake ambao walikuwa wametembelewa na rafiki zao ambao ni wanandoa (mke na mume). Wakati wa maongezi baba wa mtoto akawataarifu...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Kuna chaga mmoja alikuwa anapita mitaa ya shauri moyo kwa bahati mbaya alipofika mbele ya geti la TBL akadondoka.. wasamaria wema wakamwinua wakasema apewe maji mchaga akajibu ningetaka maji si...
2 Reactions
17 Replies
3K Views
Mchamungu: bwana, hivi miaka milioni mia moja moja ni sawa na muda gani kwako? Malaika mkuu: Ni kama dakika moja Mchamungu:na shilingi milioni mia moja za kitanzania ni kama shilingi ngapi kwako...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Mtoto: Baba niletee glasi ya maji Baba: We mtoto una kichaa nini? kachukue mwenyewe! Mtoto: Bwana niletee! Baba: Usinisumbue, nitakuja kukupiga makofi! Mtoto: Basi ukija...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
  • Closed
Hello wanaJF, Nilipojiunga hapa JF Desemba 2011 nilihiyaji kufahamu jinsi ya kuchangia threads mbalimbali. Nilitazama jinsi watu wanavyochangia na uchangiaji wa Kongosho ulinivutia sana- hachangii...
0 Reactions
83 Replies
6K Views
Teja mmoja baada ya kuvuta misokoto tisa ya bangi alipitiwa na usingizi kwenye kitanda cha jamaa yake, akiwa kwenye usingizi wa pono mara akaanza kuota ndoto anazaa/anajifungua tena kwa uchungu...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Smile for the Day If you yelled for 8 years...
0 Reactions
1 Replies
756 Views
Jamani wana JF labda mimi ni mshamba sana. Nimekuwa nasona, nasikia na kuona matangazo ya Khanga moja! Ni kitu cha namna gani? Natamani sana kumwomba mume wangu anipoeleke maana nasikia wako...
0 Reactions
77 Replies
24K Views
Baada ya ugomvi wa muda mrefu, mke alianza kukusanya nguo na vitu vyake vingine tayari kwa kuondoka, mume akamuuliza mbona wakusanya vitu unaenda wapi? Mke, akajibu kwa ufupi, 'naenda kwa mama!'...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wanajamvi leo mwenzenu tar 29/3, ninatimiza miaka 26 tangu niingie katika huu ulimwengu uliojaa machungu na matamu......MUNGU AKAE NASI SOTE.
0 Reactions
35 Replies
2K Views
Katika Daladala Kitoto cha Nursery kinaimba! "Baba angekua Jogoo halafu Mama ni Kuku! Mimi ningekua Kifaranga! Watu wote Kimya! Kikaendelea - Baba angekua Beberu halafu Mama ni Mbuzi! Mimi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom