JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Mwanahistoria,padri na mwanafizikia walikufa wakafika mbele ya mwenyezi Mungu.Mwenyezi Mungu akawaambia..."atakaejibu maswali yangu vizuri ataingia mbinguni".akaanza na mwanahistoria; Mungu;ni...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Dogo alikuwa mitaani anauza gazeti la Laasiri huku anatangaza: Extra News, habari moto moto za Laasiri! "Leo watu Mia watapeliwa kwa mpigo" Jipatie nakala yako. Watu 100 watapeliwa. Extra extra...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Tukio la Fabrice Muamba limenifanya nifikiri kuwa kuna watu wengi katika dunia ya tatu wanazikwa wakiwa hai na hii inatokana na umaskini wetu unaosababisha kukosa vifaa vya uhakika, kukosa...
0 Reactions
18 Replies
1K Views
If you love this day please click ''like''.
3 Reactions
4 Replies
816 Views
Dogo alifeli mtihani na karibu abakishwe darasa lile kam si baba yake kwenda kumwomba mwalimu ampe mwanawe fursa nyengine. Mwalimu alikubali. Siku ya mtihani wa marudio, dogo alifanya mtihani na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani nimeona niwasalimu wote popote mlipo ila Salamu zangu za upendeleo nazituma kwa Bagah na Shemeji yake(Amyner) popote walipo.... Salamu kwa Mtally,Kabakabana,Smiling Saint....dah ni wengi...
0 Reactions
48 Replies
3K Views
Naomba mnisaidie nenolakiswahili linaloishia fo liwetofautina kifo nafofo jb tfdhl.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
father ; nilete soda we mtoto son ; pepsi or coka? father ; pepsi son ; ya kopo ya chupa? father ; ya kopo son ; ya baridi or yamoto? father ; hee! we mtoto mbna maswali mengi....basi bwana...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Bei maelewano!
0 Reactions
6 Replies
1K Views
kautafiti kangu(sitaki kuulizwa kuhusu data nk) kamebaini kuwa jumamosi na kipindi hiki cha mpito kuelekea sikukuu.............. Utasimamishwa na tra waangalie kama umelipa ushuru... Utapigwa...
0 Reactions
4 Replies
964 Views
Happy Birthday to me usipojipenda nakujithamini mwenyewe hakuna wa kukufanyia hivyo. Psalm 103 Praise for the Lord’s Mercies A Psalm Of David. 1 Bless athe Lord, O my soul; And...
3 Reactions
30 Replies
2K Views
......kumuona spika wa bunge wa nchi moja barani afrika akiwa bila wigi kichwani kupitia TBC1.Ghafla mwanangu ameanza kulia,kwa hiyo niko busy kumbembeleza.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Saburi la kichina.,...tumbo la kichina...titi la kichina... Tumbo la kichina....nywele za kichina...guu la kichina...kucha za kichina...kope za kichinaaa...hin haaaaaaa
0 Reactions
42 Replies
4K Views
Wana JF mtu akikwambia kazi ni kwako maaana yake huko mbeleni unakazi ya ziada kuweza kuvuka kikwazo(utajiju huko mbeleni kwa lugha ya mitaaani)sasa vodacom wanaamaana gani kwa sisi watumiaji...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Kama leo Roho yako itazimika na kifo kuchukua nafasi yake. Unataka wana JF wenzako tukukumbuke kwa lipi? Funguka ndugu yangu!!
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Bibie taylor dayne. Nilikuwa Dodoma ukumbi wa NK. Usipime
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Nipeni kura ili mnifute machozi
0 Reactions
2 Replies
646 Views
are you game? Inatakiwa tuwe idadi ya watu 10. Ili kuwe na gender balance itatikiwa kua 5/5 usafiri tayari upo. Hakikisha una pesa sio chini ya 1 M. uwe athletic na ready to do crazy things. Hio...
2 Reactions
60 Replies
4K Views
Wakuu hivi yule mwandishi mashuhuri wa pass za kusafiria za miaka ile ya nyuma kabla ya hii technolojia ya kuandikia computer haijafungwa pale uhamiaji yuko wapi?? Nilikuwa napitia passport za...
0 Reactions
4 Replies
908 Views
Jamaa m1 alikaa masaa ma4 anakichunguza cheti chake cha ndoa, mkewe akamuuliza kulikoni? Jamaa akajibu "Natafuta Expiry Date siioni!!"
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom