JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
uswahilini kwetu kulikuwa na malumbano kati ya mume na mkewe. Mara tukasikia; "jinsi kiwango chako kilivyoporomoka, nafikiria kukupeleka kokote walau ukacheze kwa mkopo ili gemu lako la hapa...
0 Reactions
0 Replies
904 Views
Ninakuhakikishia katika sifa hizi kumi lazima wewe ulikuwa nazo kadhaa. ... 1. Ulishacheza kibaba babaa/kimama mamaa 2. Ulikuwa mwizi wa sukari 3. wakati wa sikukuu usiponunuliwa nguo...
1 Reactions
39 Replies
3K Views
Panya wa3 walikuwa na kikao kifup na maongezi yao yalikuwa ya kutambiana kama ifuatavyo; Panya 1: mi nimekula chakula chenye sumu wala cjafa me balaa Panya 2: we kidogo ivyo mi nimeingia kwenye...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Jamaa mmoja alimwambia mkewe: unaonaje tukajikumbushia zile enzi za uchumba wetu? Mkewe akakubali kwa kusema "sawa sio vibaya". Jamaa akamwambia mkewe "basi kesho tukutane saa 4 garden", mkewe...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
A drunkard enters a bus and realizes his wallet went missing. Mlevi: Somebody has stolen my wallet! If I don't find it, same thing that happened in 1978 will repeat itself today. Passengers...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Hii mitandao ambayo main aim ni kua connected with friends worldwide inaongeza kiwango cha kufail wanafunzi. O Level na Advance, pia Wanavyuo wanapunguza GPA zao ... Uwongo?
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Wakati mdogo niliokotaga sh 5 nikaanza kushangilia... basi wenzangu wakaacha kucheza wakanizonga umeokota wapi na sisi tukaokote..huku wakinitolea mimacho... nikawaambia "nimeokota paleee...tena...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kijana mmoja mtoto wa tajiri alitokea kumpenda binti mmoja mrembo kweli. Kwa kukosa kujiamini akawa kila wakikutana na yule mrembo anasifia utajiri wa baba yake. Binti "akaingia laini" na kumuomba...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
To: ALL STAFF From: HRM Due to the current financial situation caused by the slowdown in the economy, the Company has decided to implement a scheme to put workers of 50 years of age and...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Dogo alikua anacheza na wenzake akaitwa na dingi yake aliekua amejipumzisha chini ya mti mambo yakawa hivi... Dingi..' we nanii....' Dogo...'naaaaaaaaaaam' Dingi....' hebu kaniletee maji ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu zangu wanaJF HBR ZA KAZI? Naomba kuuliza japo naweza kuambiwa mshamba au vipi. Hivi wafu fm ni redio gani, maana sijawahi isikia Tanzania, na kwanini imeitwa wafu fm? Au inahusika...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ole wetu tulio masikini,wagonjwa na wale tusiokuwa na uelekeo mzuri katika life........ ha ha ha
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hizi pesa ni moja wapo ya zawadi kubwa sana nilizopata katika harusi yangu kama miaka miaka miwili iliyopita. Pesa hizo zilitolewa kama zawadi na wazazi wa mke wangu kama zawadi kwa kufunga pingu...
1 Reactions
55 Replies
8K Views
GrEatThinkers, Nimetafakari sana nimeona kwa kuwa Inafaa yale madampo ya Uchafu tuyape majina ya viongozi wezi,wahuni, wavunja sheria nk. Hii itaturahishia kuwakumbuka milele, kizazi baada ya...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
wadau nnaombeni mchango wenu: hivi ingekuwaje wanaume nao wangekuwa wanabeba mimba? mkisha fanya ngono mimba ni fifte fifte kwa mwanaume au mwanamke. maza aliniambia wangekuwa wanabomoa nyumba kwa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Teja 1 alikuwa anasikiliza mawaidha msikitini. Shekhe akauliza je, nabii gani alikuwa wa kwanza kuongea na wanyama?....... teja akanyoosha mkono na kujibu: nazani atakuwa nabii TAAZANI... wa2...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
salaam ndege mia ndege wakasema sisi sio mia ukitaka tuwe mia ongeza wengine kama sisi na nusu yetu na robo yetu na wewe mwenyewe je ndege walikuwa wangapi?
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Jamaa 1 alishtakiwa kwa kufanya ngono na mwanae. Alipopewa nafasi ya kujitetea mahakamani aliuliza. Jamaa: ndugu hakimu kipi hustahili kuliwa kati ya mtaji na faida...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
..Nimekubali Dar kiboko... ..Yaan nimeamka Asubuhi na Mapema...lakini maji hakuna..yamekatika...Umeme pia umekatika..nikachelewa kuoga na kunyoosha... Naingia Barabarani...Foleni....nafika Ofcn...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Dada yangu Kongosho habari? Kwanza hongera kwa kutimiza mwaka ukiwa JF. Leo naomba niwasaidie wengine ambao wamekuwa na maswali meeeeeeeeengi juu ya dada Kongosho.... hii thread...
0 Reactions
40 Replies
3K Views
Back
Top Bottom