JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
After a quarrel, a husband said to his wife: "You know i was fool when i married you." She replied: "Yes dear, but i was in love and didnt notice"..
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Unatumiwa "Tafadhali nipigie" ndio unakauka na cm unazima kabisa......! au nilikutumia "tafahali nichunie"?
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Sayansi na Teknolojia imepelekea kharamu kuwa halali: Angalia wazinifu kuitwa wapenzi. Kamari kuitwa Bahati Nasibu. Mganga kuitwa Fundi. Anaetembea uchi kuitwa Mrembo. Mfiraji kuitwa...
0 Reactions
3 Replies
831 Views
Ni jambo la kumshukuru Mwenyez Mungu kwani dada yangu na mwana jf mwenzetu FLORA MSOFFE amejifungua mtoto wa kike leo sa 7 mchana katika hosp. Ya KCMC, tusherekee kwa pamoja.
3 Reactions
103 Replies
7K Views
Habari wanajf Uko wapi wewe sasa na unafanya nini?
0 Reactions
104 Replies
7K Views
The bride upon her engagement, went to her mother and said: "I have found a man like father". Her mom replied: "So what do you want from me.. sympathy?"
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Aisee! Mimi hii kitu inanikera sana. Hivi ni kwa nini watu wanakuwa na GUBU. Ni jambo la kuzaliwa nalo au wanajiendekeza tu? Mtu ukimfanyia kosa ataseeema jambo hilo hilo usiku na mchana mpaka...
0 Reactions
28 Replies
2K Views
Two men in story. ** First man: My wife is so beautful, she is an Angel.. Second man: You are lucky, mine's stil alive.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
A woman asked her fellow woman: Are'nt you wearing your wedding ring on the wrong finger? She replied: Yes, i am. I married the wrong man.
0 Reactions
0 Replies
764 Views
Habari wadada? Hii ni maalum kwa wadada wote mliowahi kusoma boarding, miaka ile nikiwa secondary niliwahi kusikia kuwa imewahi kutokea kwa shule kadhaa kwa wadada kuugua ugonjwa wa "kucheka...
1 Reactions
20 Replies
9K Views
hawa wadada walioko FNL wana wazazi kweli? wanakera na nyie waandaji mjipange mnatangaza biashara? Hebu kaone haka kanachojifanya amber rose akijichekecha kidogo tu lazma watu tuone UA...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Mfanyabiashara mmoja akiwa katika moja ya safari zake za kibiashara aliamua kwenda kwenye ukumbi wa burudani jioni baada ya siku ndefu ya pilika nyingi. Kulikuwa na bendi ya muziki wa dansi...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
wanajamii napenda kuwaambia tu member mwenzenu natarajia kuoa mungu akipenda mwezi wa sita, ndani ya Jiji la Mwanza...nahitaji na napokea mchango kuanzia elfu kumi na kuendelea...tigo pesa tuma...
2 Reactions
32 Replies
2K Views
1. Kujisifia kuwa ushatembea na kila dizain ya dem na umebakisha wahindi wekundu 2. Kujisifia kuwa una uwezo wa kunywa kreti zima la bia 3. Kujisifia kuwa kwamba mpenzi wako amekufia ile mbayo...
1 Reactions
28 Replies
2K Views
Dogo mmoja alikuwa anapIga story na BABA yake mara demu wake akatokeA!...dah! BABA mwenyewe mtata sana...dogo akaamua kutumia akili ya kuzaliwa ...maongez na dem wake yakawa ivi; Dogo:Umekuja...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
.
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Jamaa alirudi bush toka shule mjini... basi sharobaro mmoja wa pale bush akamfuata akamwambia nifundishe kuongea kiEnglish ili namimi wanikome... Jamaa akamwambia sharobalo ukikutana na mzungu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wewe ni baba ndani ya familia au hata kama ni wazazi wako,bahati mbaya au nzuri we ni mkali na ukikohoa tuu watoto na mke wanashtuka na wanaitika,siku moja wakaja Polisi home kukuarest,kabla BABA...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
"A Husband and his wife agreed that anytime they want to have sex, they will call it a 'PHONE CALL' so that the kids will not decode. One day, the husband sent his son to tell his mother that he...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Back
Top Bottom