JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Ndugu wana JF nimeamua leo ni-rest in peace mapema, kwanini nimechukua uamuzi huu? Kwa sababu niliamka mapema sana, saa 11 asubui nikaenda mazoezini, halafu baadaye nikajiandaa kwenda kazini...
0 Reactions
54 Replies
2K Views
Mungu awatie nguvu
0 Reactions
2 Replies
346 Views
Aliyedesign haka kapicha aache kabisa kutuletea mambo yake, Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
652 Views
Sema Mimi fresh tu wala sijali na hapa naita geto nichakate susumbu![emoji3][emoji3][emoji3]
1 Reactions
15 Replies
977 Views
Nisiwe msemaji sana, Picha inajitosheleza
0 Reactions
3 Replies
446 Views
naomba msaada wenu wanaJF
0 Reactions
57 Replies
14K Views
Naona namna ambavyo wanadada wasiyo na makalio wanavyodharaulika mtaani. Nawaonea huruma. Wanapitia wakati mgumu sana katika maisha yao. Kwa kwali miungu iwatie nguvu. Ukiangalia kila sehemu...
6 Reactions
25 Replies
2K Views
Salamu kwenu ndg wanaJF, Leo nimeona niwashirikishe baadhi ya dawa za mapenzi wanazozitoa waganga wa kienyeji ili manzi flani akukubalie kinapenzi. Utafiti huu niliufanya kwa mtaalam flani.Mteja...
0 Reactions
10 Replies
40K Views
Hello guys! Ebu imagine nini kitatokea iwapo passport au hati za kusafiria zitatolewa bure kwa wananchi bila malipo yoyote?!
0 Reactions
45 Replies
3K Views
Tuambie wanadada basi mwezi huu umeambiwa mara ngapi u mzuri? Tuambie😃🥰
2 Reactions
70 Replies
2K Views
Kuna kitu nataka sema, nimekuwa najibu mada tofauti ambazo siyo zangu. Jamani siyo kusudio langu, sikujua bado najifunza kutumia jukwa hili vyema. Kuna baadhi ya watu wameniambia na nimefurahi...
10 Reactions
62 Replies
3K Views
Katika hali isiyo ya kawaida, nimejikuta nina maswali mengi sana ambayo nakosa majibu mpaka dakika hii na kila ninayemuadithia anabakia kucheka tu. Leo jioni nikiwa natazama mpira huku nachezea...
1 Reactions
37 Replies
1K Views
Hii sijui tuseme ndiyo kwenda na mabadiliko ya teknolojia ama vipi, sasa hivi wadangaji wengi wanamiliki hizi line za lipa kwa M-Pesa, kwahiyo hata kama ukitaka kumla na huna pesa taslimu...
5 Reactions
9 Replies
918 Views
Tuko zetu (maeneo flani hivi) leo siku ya 9 bila kuoga! Kwakweli hii hali iko kibabe zaidi, japo sijaona tatizo lolote kutokana halii hii. Je wewe umeshakaa hata 3dys? kuna tatizo lolote ulipata...
0 Reactions
18 Replies
674 Views
Simba ndiyo mnyama mkubwa kuliko wote katika jamii ya paka. Simba hupatikana Afrika na Asia, idadi yao ikitizamiwa kufikia 23000(elfu 23), huku Tanzania ikiongoza kwa kuwa na idadi ya zaidi kuliko...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Watu wengi mmekuwa mkitumia pesa nyingi kuweka bando wengine mkikosa bando mnakuwa wapweke sana leo nitakufundisha jinsi ya kutumia mitandao ya kijamii bila kuwa na bando[emoji91] KUNA NJIA TATU...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwanza kabisa naomba kueleza moja kwa moja kwamba sina nia ya kuzusha mabishano, napenda mjadala huu uwe positive sababu ni kitu ambacho nimekishuhudia live. Nikiwa kwenye bajaji ya kutoka Mbezi...
1 Reactions
13 Replies
571 Views
Habari ndugu wajf. Kwa ujumla maisha Yana ladha na mitindo tofautitofauti, hapa kwetu uswahili panaitwa mji mpya Kichangani Manispaa ya Morogoro, Pana maisha ya kipekee Sana ukiachilia mbali...
0 Reactions
2 Replies
720 Views
Muda Kama huu huwa mzur Sana ukiwa na mwenza wako mnafarijiana na kupanga mipango yenu na ya familia kwa ujumla Changamoto unakuja kwa wale ambao tupo single,tunajawa na mawazo na pressure...
3 Reactions
21 Replies
2K Views
habari. kuna audio flani hivi nliwahi kiskiliza mwaka juzi ya kichekesho cha mkurya aliyewrong number kwa mdada asiyemjua then akamtongoza akakataliwa akaambiwa akate simu akakataa akaanza...
1 Reactions
12 Replies
19K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…