JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kwa kweli sisi ni washamba sana na malimbukeni. Sisi ndiyo tunaouza ng'ombe tukale chips kuku na wanawake. Uchawi tumo sana, UMUGHAKA anaujua muziki wetu. Sisi ndiyo tunapiga mapicha na mapozi...
6 Reactions
39 Replies
3K Views
Kiuhalisia kila kitu kinachotendeka katika maisha yakila siku ni marudio ya maisha yaliyopita, na tayari maisha hayo yamehifadhiwa kwenye maandiko mbalimbali, amini usiamini maswali yako yote...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Hivi karibuni nimekua nikinyewe na ndege Mara kwa Mara Haswa napokua nipumzika mahali (kwenye kivuli au chini ya nyaya za umeme). Naomba kujua tukio hili huashiria nini!?
1 Reactions
57 Replies
25K Views
Addiction Ni kitu ambacho kamwe hakiwezi epukika katika Karne hii ya 21.In one way or the lazima kila mwanadamu especially wanaume atakuwa addicted na mojawapo ya vitu vifuatavyo; 1.Betting &...
4 Reactions
42 Replies
3K Views
Naombeni jina zuri la kumsave Mchepuko ili nisikamatwe [emoji2957][emoji2957]
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Nisikuchoshe. Huyu mwanamke nilitafuta kila njia kuachana naye. Alistukiwa na mumewe na akaniambia amestukiwa, hakujua anani alert, nikajisemea ni Muda sahihi kuachana na kukimbia mbio. Siku...
1 Reactions
12 Replies
928 Views
Wenye uzoefu na mabinti wenye type hiyo tupeni sifa na changamoto zao.
6 Reactions
126 Replies
10K Views
1. Watetezi wa Udikteta Kumeibuka kundi kubwa la watu katika huu mtandao wakihusudu na kutamani kutawaliwa kidekteta kwa imani kwamba madikteta ndio huleta maendeleo kwa kasi. Naamini ni ujinga...
1 Reactions
4 Replies
380 Views
Mnaendeleaje na ujenzi wa Taifa? Jumapili nilifanya kitendo ambacho kimenipa maswali mengi ya namna ya kumtazama Mchungaji na washirika wenzangu kwa jicho lile lile la mwanzo. Naumia sana, na...
7 Reactions
21 Replies
974 Views
Salaam! Huu ni Utafiti huru na sio kila mtu aukubari,lakini ukweli ni kwamba joto la Uume ni kali sana ila inakuwa vigumu sana kulihisi kutokana na ukweli kwamba mwili mzima huwa katika pressure...
1 Reactions
28 Replies
6K Views
Hii tabia inakera sasa kwa siku nafuatwa na wanawake 6 mpaka 10 huku pm, wengi wao wanaomba mahusiano na mimi mwizukulu mgikuru a.k.a babu...nimechoka kutongozwa na akina beesmom.
20 Reactions
173 Replies
6K Views
Hello waungwana, nawaombeni muweke kampuni za mabasi yenye kunguni, YAMENIKUTA juzi.
1 Reactions
23 Replies
1K Views
Mpo poa nawatakia good nights wote wanaojitambua akiwemo mzab zab na Glen na wengineo Love Doctor Lovelovie Kasie Bujibuji Simba Nyamaume sophie na wengine wengi shusha na wako
5 Reactions
8 Replies
440 Views
Humu tumo mkusanyiko wa watu wengi ambao tumeunda jamii hivyo tumesadiki nadharia ya Jamii ambayo ipo katika mfumo wa forum!. Nitaielezea kidogo jamii ya jamiiforum kwa makundi machache huku...
8 Reactions
56 Replies
4K Views
Hivo wakuu. Nawasilisha. #OneDayYouWillBeGone Dr criminal
0 Reactions
2 Replies
534 Views
Leo natangaza mimi ni mchawi na ukibisha tukutane usiku
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Maisha haya yamenifunza jambo moja hakika mtu unaempenda na mtu utakayedumu nae_kwa asilimia kubwa huwa ni watu wawili tofauti.
6 Reactions
12 Replies
729 Views
KIVUKO CHA MV NYERERE CHAZAMA Kivuko cha MV Nyerere kinachofanya safari zake kati ya Bugorara na kisiwa cha Ukala katika ziwa Victoria kimezama muda huu, huku taarifa za idadi ya watu waliokuwemo...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Marafiki zangu toka africa,ulaya,asia na marekani wamekuwa wakiniuliza nmepatwa na nini?mbona kule twitter naandika kama mtu mwenye stress za maisha? Nmeshangaa sana maana mimi situmii account ya...
3 Reactions
36 Replies
6K Views
Ukishaanza Kufanikiwa Ndugu zako nao ndio wanaamua kufa ili uonekane umewatoa Kafara..! [emoji28]
7 Reactions
11 Replies
663 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…