JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Am I the only one who struggle with finding high-quality African music? Maybe I just use bad services or something
0 Reactions
2 Replies
993 Views
1. Usishiriki mipango yako na mtu yeyote. 2. Usizungumze kuhusu taarifa za ndani za maisha yako. 3. Usizungumze kamwe kuhusu matatizo ya familia yako. 4. Usizungumze kamwe jinsi ulivyo shujaa...
13 Reactions
24 Replies
3K Views
huyu mwamba anapenda sana kugonga likes za kutosha humu bila kinyongo, mkuu mkwepu jr hebu gonga like kwanza tuendelee kutambua uwepo wako
6 Reactions
6 Replies
417 Views
Wakuu, Mkeka Wa Vitu Ambavyo havikuwepo kabisa Duniani Mwaka 2003. Maisha Yako Spidi Sana. Hichi Kizazi Cha Miaka ya 2000+ Ni Nyoko. Malezi Yao yanahitaji Moyo wa Chuma. Tupambane Hamna Namna...
23 Reactions
106 Replies
7K Views
Nawakimbusha sana katika maisha yako panda mbegu ya upendo maana hujui kesho yako. Usije jifanya Mungu mtu kwa leo halafu kesho yako ikiwa mbaya ukashindwa hata pa kukimbilia. tusijisahau sana.
2 Reactions
2 Replies
540 Views
Kwa chuki iliyo dhahiri kwa CCM kutokea kwa wananchi wa maeneo niliyoyataja hapo juu hakika ni wazi CCM haina chake. Tunduma kwa mfano, ukiitaja CCM na Rais wake kwa wema jiandae kutukanwa ama...
5 Reactions
13 Replies
504 Views
Ungepewa nafasi ya kusoma ngazi ya elimu inayofata katika elimu yako ungesoma nini na kwa nini?
2 Reactions
13 Replies
625 Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, yaani nikipata mshahara tu gafla namuona wife anataka kugeuka kuwa ngedere, yaani anabadilika kabisa huwezi amin. Yaani nataman hata kumpeleka...
24 Reactions
50 Replies
3K Views
Nilipokuwa mdogo nilijua duka likifungwa mtu anashusha vitu vyote kwenye shelves anaweka chini. Nilipokuwa mdogo nilijua TV ikiwa inaongea ikatokea umeme umekatika inaendelea palepale ilipoishia...
6 Reactions
33 Replies
1K Views
Ni kichaa tu atakataa! ccm imechukuwa nchi kutoka kwa mkoloni, vitu vyote kuanzia miundombinu, maflyover,mifumo ya umeme, mashule mahospitali, zahanati na madawa, mabohari, mibarabara nchi nzima...
0 Reactions
9 Replies
424 Views
umeota nini? niambie ulichoota nikutafsirie maana ya hiyo ndoto.[emoji5][emoji5]
1 Reactions
59 Replies
2K Views
Miaka 70 kuanzia leo yaani 2110. Sisi Sote tutakuwa makaburini pamoja na jamaa zetu na marafiki zetu. Watu tusiowajua wataishi katika majumba na maeneo yetu. MALI zetu zooote zitamilikiwa na...
10 Reactions
39 Replies
1K Views
Nimekuwa nikijiuliza Sana swali hili kwamba ni nani aliclassify majina haya kiasi ambacho mwanaume akiitwa Rachel au Diana kuwa ni kosa au mwanamke kuitwa juma au Gabriel ni kosa. Au muislam...
1 Reactions
20 Replies
1K Views
Seke seke la kitaa Na bindondora ************ "Yule jamaa katoka sauz ni mgeni kabisa hapa tz , sasa nasikieni karudi na mapuri ya bange kibao" "Sasa sie tunavuta bangi? Akazungumza kwa zarau...
1 Reactions
1 Replies
416 Views
Walipofika wao walikuwa wana Biblia, sisi tulikuwa na ardhi. Wakatuambia tufumbe macho na tusali. Tulipomaliza kusali na kufumbua macho, wao walikuwa na ardhi, sisi tuna Biblia. Wakatuambia...
5 Reactions
7 Replies
549 Views
Hivi eti klabu za Simba, Yanga na Azam ukizipa hadhi ya nchi tatu za East Africa, yaani Kenya, Uganda na Tanzania, klabu ipi itaipa nchi gani. Mimi naanza hivi: Yanga = Kenya Simba = Tanzania...
0 Reactions
3 Replies
546 Views
Hapa nataka kujua watu wenye ushawishi kwenye jukwaa husika ambapo ukienda huko bila kumfahamu huyo basi wewe huenda hujawahi tembelea hilo jukwaa Nianze na majukwaa haya machache ambayo Kwa...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Kwani sisi wanawake mmetuweka kwenye kundi gani? Mnatuonaje yaani? Mbali na kuwazaa, kuwalea mkakua, kwani sisi wanawake mnatuonaje onaje? Mfano mimi wakiniuliza wanaume unawaonaje onaje...
17 Reactions
152 Replies
6K Views
Wanawake wa Dar wana Viwango vyao vya hela: Ukiwa unampa 50,000-90,000 utakuwa unaitwa jina lako tu. Good morning Kelvin, Hello Kelvin how is your day? Good night Kelvin. Ukiwa unampa kati ya...
1 Reactions
3 Replies
467 Views
Back
Top Bottom