Washikadau,
Katika hili sihitaji kulitolea Source wala ushahidi.
Kila Member ni Sourcer kutoka katika mazingira anayoishi.
Anzia huko tunakokuita Dunia ya kwanza , ya pili, ya 3 , na...
Naona kila siku ni wahaya,wachaga,wanyakyusa,..Lakini mbona kuna makabila mengi bongo.Hebu tusaidiane yale yanayo watambulisha hawa kina mkude na kina mwenda...anayewafahamu au kuwasikia...
Hii yangu sikui niite fedheha ama la... Ingawa waliokuwepo waliichukulia kama mzaha wa mhusika,nadhani ni katika kupunguza kiwango cha fedheha kwao we yewe..
Mwaka 1999 nilikuwa katika...
Wadau hakuna asie tambua uwepo wa makahaba, serikali inatambua uwepo wa biashara hii haramu lakini hakuna juhudi za kuipinga tafsiri yake ni kwamba wameiruhusu, je nani awatoze kodi...
TOTO:Mama unajua hausigel wetu ni malaika?
MAMA:Kwa nini unasema hivyo?
TOTO:Jana nilimuona ameshikilia ukuta akiwa uchi na mikono ameinua juu anaongea na Yesu anasema... Ooooh yesu wangu...
Basi j2 hii 2kiwa katikati ya ibada, nlikuwa nimekaa na jamaa mmoja hivi pembeni yangu, tukiwa tunaendelea na ibada akaja jamaa m1 akakaa karibu na jamaa yangu, jamaa akawa ananuka fegi vibaya...
Ktk harakati za maisha ya mjini, wengi wetu tunaanzia (pengine kuishia) maisha ya kupanga. Na ktk lyf stail hii, kuhama mtaa mmoja kwenda mwingine ni jambo la kawaida(coz wenye haus wengne ni...
wakuu mnaweza kunifafanulia eti inakuwaje wadhungu wengi duniani wanatumia mikono ya kusho?waafrika wanaotumia ya kushoto ni wachache ukilinganisha na weupe
Muda mrefu sana watu walikuwa wanajiuliza hv mheshimiwa mama makinda hana nywele kabisa coz mda wote yeye style yake ya nywele ni moja tuu ya kuvaa wigi wiki iliyoisha ameonekana jimboni kwake...
Hivi najiuliza cpati jibu wana sayansi na wataalam wa baiolojia ya mfumo wa chakula naombeni jibu haja kubwa inatokana na kula chakula tuu je kama hujala chakula huwezi pata jaha kubwa kabisa? Na...
Sex is like NOKIA (connecting people)
like NIKE (just do it)
like PEPSI (ask for more) and
like SAMSUNG (everybody is invited)
Ongeza basi wewe :welcome:
RAIS wenu ninawasalimu katika jina la JF. baada ya miaka mingi kwenye za kupanga hatimaye nataka kujenga.sasa nimepata kiwanja maeneo ya tabata kinyerezi kwa bei nzuri na kipo eneo zuri pembeni...
Katika mwili wa binadamu tunavyojitambua kuna kitu ambacho kimepewa majina mengi? Kama huelewi basi hembu angalia hapa chini uone ni kitu gani haswa ni kwa wanaume na baadhi kwa wakina mama...
Mheshimiwa sana,
Pole na Majukumu.
Kawaida ya binadamu makini na mahiri ni kuthubutu kufanya kile anachoamini ni sahihi.Kuikweli mtazamo wangu kuhusu wewe Mheshimiwa ingawa ni wa kiharakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.