JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
mkuu Buchanan aksante manake nilijua Id yangu kwisney'''kazi inaendelea kama kawaida
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Kuna ukweli wowote eti ukiwa Mheshimiwa pale mjengoni nilazima uwe umekamilika lazima uwe na Capacitor??(HIRIZI)ya ukweli Vinginevyo haliyako inaweza kuwa mbaya!:alien:
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Unaamini ukituma sana sms zile wanazokata wastani wa shilingi mia tano au ile inayokaribia karibia utashinda? Hujaskia kesi kama vile mtu anachonga na wafanyakazi wa huko ili utangazwe mshindi...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Nimekuwa nabadilisha sana avatar kwa sababu mbalimbali zikiwemo kufanana na baadhi ya watu na wakati mwingine kutozipenda zile nilizoweka baada ya muda. Sasa naomba msaada wa mawazo wa avatar...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hivi binadamu wa kawaida unapata wapi muda??kuandika ulichokiandika na mwisho ukakumbuka kuweka neno,MIA,MX,NALOG OFF!!Kwa ninavyojua siyo kwamba umetengeneza kama sign yako bali nilazima uandike...
0 Reactions
44 Replies
3K Views
Nilikua sijapata ukweli kuhusu mtu ninayeishi nae nimeujua natamani nihame nyumba kwani nahisi akijua nimejua sina changu.
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Nimeshindwa hata kulala namuwaza huyu mtu!Nachoomba ni kimoja tu kutoka kwake,ataje jinsia yake kama ni mwanamke nitaendelea kumuapreciate kama kawaida, na kama ni mwanaume walahi tena napeleka posa.
4 Reactions
354 Replies
16K Views
Ananipenda,ananijali!Nilishaanza kuwa na amani moyoni mwangu kwa mapenzi mazito niliyopokea kutoka kwake.Tangu jana mpenzi wangu ameanza kuumwa sana,presha iko juu sana mpaka leo hali bado sio...
2 Reactions
46 Replies
3K Views
mmasai mmoja alikuwa anatokea kijijini kwao kuja mjini,alipofika mjini akakuta akinamama wanauza vitumbua barabarani,masai akanunua kimoja %baada ya kumaliza kula akasema"aiseee rafiki nipatie...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimekutana na habari kuwa kuna wezi wa mitandaoni ambao wanawadanganya watumiaji wa mitandao hiyo, baadaye kuwaibia. Kuna wakati hata humu waliwahi kujichomoza (hasa kutoka nchi za Afrika ya...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Sasa uniambie hiyo suruali ilipitaje hapo kwenye hipsi.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
nimejiuliza maswali mengi juu ya hili'post za mapenzi na mahusiano na umbeya zina wachangiaji wengi sana ukilinganisha na post za siasa na mambo mengine'hii inaonyesha dhairi ya kuwa aslimia kubwa...
0 Reactions
28 Replies
2K Views
Wakuu sina budi kuwashukuru moderators kwa banner la tangazo la ndovu barrrdi aisee.....Linahamasisha kufanya kazi kwa kweli.....imagine kwa sasa nimepata nguvu kweli kweli....
5 Reactions
58 Replies
4K Views
Mtoto mmoja alienda kucheza huku akiwa na viatu mguuni lakini aliporudi alirudi na kiatu kimoja mguuni baba akamuuliza kiatu kipo wapi ,mtoto akajibu kimepotea ,baba akamwambia bac mwanangu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ilikua ndan ya bus la mkoan jamaa mmoja alikua amekaa pemben ya msichana mrembo akaanza kumtongoza mara dada akaanza kucharuka yule jamaa akasema nakuuliza umejamba? Akasema jaman namuuliza kajamb...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mtoto kamuona mama yake maziwa akamuliza mama hiyo ni nini? ,mama akajibu mapulizo,mtoto akasema ahaa kumbe ndio mana baba alikua anampuliza dada wa kaz kule jikoni . mother akazimia
3 Reactions
18 Replies
3K Views
You know.....in this Tz we live there are two things involved.... either you become a face book fan of JF fan..If you are face book fan you are safe..but if you are JF fan, there are two things...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Baada ya maakuli na wakati vinywaji vinaendelea, mkewe John (Lisa) na mgeni wao Fred walikuwa wanacheza karata. ... Kwa bahati mbaya karata ikaangukia chini ya meza, Fred alipoinama kuichukua...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kuna member wa kike kanizimia kitambi na macho yangu..sasa ananitaka na mimi siku zote wanawake wa humu ni masista wangu hata Faizafoxy...sasa huu si mtihani?.niendele au nidumishe udada?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kutokana na mishemishe za English Premier League wikiendi hii, pamoja na AFCON 2012 iliyoanza rasmi J'mosi, nikajikuta sijaoga tangu IJUMAA... Usiulize wapi, Dar hiyo! Tena hukuhuku katikati ya...
0 Reactions
55 Replies
5K Views
Back
Top Bottom