JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
jamaa alimwuliza rafiki yake kwanini peugeot yako inakimbia kuliko Punda wangu?jamaa mwenye peugeot akamwambia nikwasababu inawekwa petrol!jamaa mwenye Punda akasema ahaa!basi akachukua punda wake...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
http://www.youtube.com/watch? Kiingilio ni bure kwa leo
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Who is genious? Tell d correct ans. 8 + 8 x 0 + 8
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Wakuu hali huku kitaa ni ngumu sana,najaribu kuchakalika lakini mambo bado ni tight,sasa nahitaji na mi nafasi ya u green guard ili nijiunge kambini hatimaye nishiriki kwenye harakati za uchaguzi...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Ushawahi kusoma ule ukurasa wa mapenzi kwenye magazeti ya udaku zinakuaga na title kama "MUULIZE ANTI LULU" watu wanavyouliza maswali ya kimbuzi kama -Anti, mimi ni kijana mtanashati,kuna binti...
3 Reactions
20 Replies
4K Views
Aisee nautafuta huu mzigo sijui umepotelea wapi?
1 Reactions
39 Replies
3K Views
Ni utani tu, usinune ndugu yangu. Hebu angalia hiyo attachment, ujiliwaze!
0 Reactions
9 Replies
2K Views
John alimwalika rafiki yake Fred nyumbani kwake kwa ajili ya dinner na vinywaji. Baada ya maakuli na wakati vinywaji vinaendelea John, mkewe John (Lisa) na mgeni wao Fred walikuwa wanacheza...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
MKENYA: Eti naskia nyie mwatanzania mkiulizwa swali mnajibu kwa kwa kuuliza swali MTANZANIA: We nani kakuambia? MKENYA: duh! Mi naomba niulize wabongo wenzangu, hii kasumba ya kujibu kwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
-------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------- TANZANIA HAS REJECTED THE NEWLY APPOINTED JAPANESE AMBASSADOR...
0 Reactions
66 Replies
12K Views
(Padri);Haya anza kuungama. (Mtoto):Dhambi ya kwanza;NILIUA!>> (Padri):Eenh!subiri kwanza,ulimuua nani?,kuwa huru mtoto,hautashtakiwa kwani hapa upo mbele ya MUNGU na atakusamehe buree...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
K
hivi unajua majina ya vitu vingi vitamu huanzia na k.kitumbua,,kuku,kababu, hebu kitaje hiko kingine unachokifikiria
0 Reactions
102 Replies
7K Views
Jamaa fulani wa kimasai alijisikia anaumwa hivyo akaenda hospitali kwa uchunguzi wa kitabibu, baada ya vipimo vya hapa na pale daktari alimuwekea kipima joto (thermometer) mdomoni ili aangalie...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hi kulikua na baba alikua anaishi na biniti yake,sikumoja binti akaja na boyfriend wake usiku ,baba alipokua kwa chumba chake akasikia yule bfrnd akimwambia binti please sitaingiza yote nita...
2 Reactions
12 Replies
11K Views
Jamaa katumiwa msg na dem wake,kutokana na urefu wa msg ikashindwa kufika yote mwishoni ikaandika'some text missing'jamaa na kizungu chake cha kubabaisha, hivyo maneno ya mwisho hakuelewa maana...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Tendo la ndoa TENDO LA NDOA LINAVYOOMBWA: WAMASAI: Mama Yeyo nipe ile kitu namesa mwensake WAHAYA: Mama Koku infacti njoo tuperform WACHAGA: Mama Manka Fungua Kibubu nitupe shilingi WAPEMBA: Mama...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
You can take a girl out of Village but you can never take a Village out of her.
0 Reactions
5 Replies
852 Views
Kuna jamaa mmoja mweny nyumb alikua alala chumban kwake hana hata kitanda mara akaja mtu anataka anatak chumb akampisha chumban kwake mara akalala seblen mara tena akaja mtu yuko tayar kulala...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Watoto Balaaaa!!>> Baba: Shika hii Sh500 usimwambie Mama ako kamanimelala na Hausigeli. Mtoto: Sitaki, tatizo we bahili mwenzio Mama akilala naDereva ananipa sh 1000! Baba:what? Mtoto:HBR NDO HYO!
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wana Jamii kuna jambo limepelekea leo kuuliza mke wa Makamu wa kwanza wa serikali ya Mapinduzi Zanzibar-Seif Shariff Hamad. Nimeanza kumtambua Seif tangu nikiwa mtoto mdogo lakini mwenye uelewa...
2 Reactions
34 Replies
9K Views
Back
Top Bottom