ni pombe gan ya kienyeji ambayo unaikubali kwa kilev chake ambayo ungependa bajet yake ipitishwe ili iboreshwe kuacha hzi
banana-ni nzuri inalewesha ila kuifungua ni nusu saa.ukifupisha...
Tujadili. kwa nini watu wengine hupenda kujifanya wajuaji na lile wanalojua ndio jibu la watu woote. watu wakimuona Golden mpoleee anajiachia au memba mwingine ajijiachia utasikia ooooh mwanaume...
Nipo kwenye foleni nyuma a watu km 68 hivi,foleni haiendi,mhudumu yupo mmoja tu,mawakala/vishoka wamejazana pia milangoni,wanatishia hata usalama wa wateja,pamoja na matangazo kila mahali ati...
Gumzo la leo limejadili kuwa swala la kurudishwa bungeni kwa sheria ya kujadili katiba mpya, ifanyiwe marekebisho. je kulikuwa na umuhimu gani wa raisi kuwa na haraka ya kusign mswada wa sheria...
Wanajf,
tangu mwaka huu uanze uwepo wa hawa watu wawili umekua mdogo sana hapa jamvini.
Mwenye taarifa yoyote apate kunijuza hawa watu walipo nimewamiss kweli
Mambo vp?wakubwa na wadogo?Mimi ni kijana wa Miaka 21,mwezi wa tatu tarehe 2 ndo natimiza miaka 22,Jf nilijiunga bila kulazimishwa na mtu ni kwa mapenzi yangu mwenyewe ndo maana nimeweka info...
Golden Mpoleeee katokea kuwapenda.
Golden Mpoleeee atafanyia kazi ushauri wenu.
Golden Mpoleeee watu tu hawamuelewi.
Golden Mpoleeee ni mpole mpaka achokozwe.
Golden Mpoleee hataki kuwaudhi kabisa...
Wana jf habari zenu natumaini hamjambo .jamani tangu niingie jf nafurahia sana raha ya humu, hata facebook nilishaipiga chini, muda wote niko jf maana napata uptade za maisha ,furaha na mapenzi...
Nimekuwa kwenye kifungo cha mda wa mwezi mzima hapa JF baada ya kupigwa Bann la mwezi mmoja tangia Dec 19, 2011 Jan 19, 2012.
Kama kawaida yangu sijakaa kubweteka bali nimekuwa...
Leo ni mkesha wa mwaka mpya wa Watu wa China..
Wachina sehemu mbalimbali duniani wamekuwa wakirudi kwao kusheherekea tukio hilo kubwa sana kwao.
Sasa nauliza kwa wale mlio nao hapo Mitaa ya...
Kuna tabia ya mawifi yani dada wa bwanaharusi na mama yao/ mama mkwe kupenda kuingilia maisha ya ndoa ya kaka yao/ mwanae mara wamsakame wifi kuwa mbaya, mchoyo nk. Ndo mana ndoa nyingi zinayumba...
Student mmoja akuta matokeo ya necta 4m 4 yamebandikwa ubaoni skonga kwao
student:du! page ya 4 hii coni jina langu
student2:mmh! Au wame epairizi jina langu
student:ahaa kumbe kweli haya...
Kunajamaa mmoja alikuwa amekosana na mke wake kias kwamba wakawa hawaongei. mawasiliano ilikuwa ni kwa njia ya kuandikiana ujumbe kwenye vikaratasi.baba akiondoka hasubuhi,anamuandikia mkewe, pesa...
Mtoto akisali mbele ya wazazi mda wa kulala; Ee Mungu nashukuru kwa kunipa wazazi wakarimu, mbariki huyu kijana anayekujaga kucheza mieleka na dada kitandani na kumlisha sausage iliyo ndani ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.