JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Mhaya mmoja aliingia baa na kukuta imejaa full isipokuwa kiti cha meza moja iliyokuwa na mteja mmoja. Jamaa akaikaribia na kumsalimia ''mywaji'' mwenzie na kumuomba kama anaweza kumjoin...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Jamaa kajitoma mskitini ghafla, huku majasho yanamtoka! Mkononi kashika panga kali, Akauliza,"nani muislamu hapa," watu kimya. Karudia tena kimya "nani muislam hapa". Ghafla kamnyakuwa jamaa...
6 Reactions
14 Replies
2K Views
Kijana wa kazi katika parokia fulani akiwa amepewa nyumba ya kuishi yeye na mkewe,kazi kubwa kusimamia mradi wa kuku wa kanisa. Akawa anaiba kila siku kuku. Watu wakamtonya padri. Akaweka mtege...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ndo itakuwa signature yangu kuanzia sasa mpaka hapo nitakapopata nyingine.Nimekaa chini nikaiwaza sana, ukiiangalia kwa macho ya pikipiki hautaielewa lakini imebeba ujumbe mkubwa sana! Lovely...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Binti mmoja alichumbiwa na mwanajeshi mmoja. Wote wawili walikuwa wanapendana sana. Siku moja yule binti alitaka kumpima mchumba wake aone anampenda kwa kiwango gani. Binti akamwandikia...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Mchawi mmoja alikuwa akiwatesa raia wa kijiji kimoja huko sumbawanga.Walijaribu kila jinsi kumuua lakini ilishindikana kwani alikwepa mitego yote.>>>>> Siku moja raia walimvizia akiwa shambani...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Padre mmoja alipoteza jogoo wake, akaona aulize kanisani baada ya ibada kama kuna muumin kamuona jogoo wake, basi padre akuliza jaman kuna mtu ana jogoo wanaume wote wakasimama, padre akasema...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
kama wewe ni binadamu uliyekamilika basi huna budi kukubali majaliwa lakini basi kuna baadhi ya watu ndani ya ardhi ya hii nchi tz eti wanadiriki kujutia kwa nini wapo hapa leo je walitaka wawe...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
basi kutoka pande za morogoro maeneo ya kihonda asikwambie m2 kuna mwana mmoja ni mbishi ile mbaya,sasa day moja c ndo akaamka mapema sana afu akawasha moto nini afanye mpango wa menyu sasa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Teja mmoja alikuwa anasinzia darasani kwenye kipindi cha dini, Mwalimu akamuuliza swali "ni nabii gani alikuwa na uwezo wa kuongea na wanyama?" Teja akajibu ni"NABII TARZANI"
0 Reactions
3 Replies
1K Views
ALISIKIA AKILALAMIKA MGOMBEA WEPESI AU URAHISI Jinga Kubwa: "sasa wewe mkaahapa unanisusia kwenye kampeni kula basi na mimi naacha linchi lichukuliwe na upinzani uone kama hatutaburuzwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kila kukicha vituvyote vinapanda kasoro kamshahara ndio kamedumaa
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kwenye huu wimbo wake huyu nguli wa Reggae alikuwa anamaanisha nini hasa katika title ya wimbo. "NO WOMAN NO CRY"
0 Reactions
31 Replies
8K Views
Chicago Woman Fired for Doing Work at Lunch Wins Unemployment ClaimBy SUSANNA KIM | Good Morning America – Mon, Jan 16, 2012 9:59 AM EST Share247 Email Print RELATED CONTENT Chicago...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Ndugu zangu natumai hamjambo. Nimefarijika sana leo tarehe 19 januari 2012 kufanikiwa kujiunga nanyi wana jamii forums! NINA IMANI TUTAFANYA KAZI PAMOJA KUWAHUDUMIA WATU WETU.Asanteni
0 Reactions
15 Replies
1K Views
naona kuna wageni wameingia jamvini hawajielewi. Kwanza wanaandika vifupi mpaka basi kama ni kiingereza andika YOU sio U na kama ni kiswahili andika kiswahili fasaha hatutaki kifupi wala mkorogo...
0 Reactions
58 Replies
3K Views
hawa wabunge,marais nk wanawakilisha vyama vyao au sisi makabwela
0 Reactions
1 Replies
762 Views
Kwanza sijui ni mwanamke au Mwanaume?ni moja wa member pasua kichwa sana!na topic zake za kidini humu ndani,nimechunguza kitu kimoja toka kwake ni moja wa medber ambao awapendwi hata kuonwa humu...
0 Reactions
84 Replies
5K Views
Mmasai alipewa kipaza sauti kwenye msiba aseme japo machache, akasimama akasema Msiba oyee, jenesa safiiiii amependesa hajapendesa? Basi mwenye wifu na yeye akufe kama hii mutu hapa...
1 Reactions
0 Replies
973 Views
shiling milion tano nitamrudishia, before june..... am serious sikujua niiweke jukwaa gani hii.....please please kama unazo nikopeshe nitakurudishia.
0 Reactions
27 Replies
2K Views
Back
Top Bottom