JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
hi
Any one to chat
0 Reactions
8 Replies
882 Views
Mwanamke aliingia kwnye tax akiwa hana nguo,kma alivyozaliwa!Dereva akawa anamshangaa,mwanamke akamuuliza hujawahi kuona mtu akiwa uchi au! Dereva akajibu;ninachoshangaa c uchi wako,najiuliza pesa...
0 Reactions
25 Replies
5K Views
'Kama huna 'kizazi' usihangaikie ndoa'
1 Reactions
18 Replies
2K Views
John alimwalika rafiki yake Fred nyumbani kwake kwa ajili ya dinner na vinywaji. Baada ya maakuli na wakati vinywaji vinaendelea John, mkewe John (Lisa) na mgeni wao Fred walikuwa wanacheza...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Samahani jamani kama hiki ni kibaya kukisema. Nimetokea kushangaa sana, untamkuta msichana mrembo sana. anavaa nguo mpya kila wakati. kwa kifupi ni sisita du. Lakini kinachonikera jaribu kutebelea...
0 Reactions
41 Replies
5K Views
Wakuu ebu tuongee japo mengine yanaweza kuwa ni ugly truth au ni maze ya mila desturi na dini zetu tuongelee misiba na ViFO Nitaweka dondoo na vichkonozi kadhaa ili kuanzisha mjadala Kwa nini...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kuna jamaa alikuwa anaumwa akaenda hospital alipofika hospital,akaenda hadi kwa Daktari .Daktari akamukaribisha aingie ndani jamaa akaingia maongezi yalikuwa kama ifuatavyo Daktari...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nimekuwa mnywaji wa kawaida kwa miezi ya karibuni. Wakati huo huo mzuka wangu kwa nyama choma na pilipili ukawa mkubwa... Mwanzo nilikuwa naona hii kitu kwa wanywaji wengine, lakini na mimi...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Baada ya miaka kadhaa ya ndoa kupita...... MKE : Mme wangu mbona unasoma sana magazeti hadi usiku jamani na mie nakuhitaji! MUM E;Mh h mhh...... (kamguno kidogo huku akiendelea...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Dazipozi kama kawaida yangu,baada ya kazi narud zngu home,wkti npta uchchroni,nilisikia mabishano kati ya mwanamke na mwanaume ambapo mwanaume alikuwa anasema:"Sasa itakuwaje?" "Si nimekueleza...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
kuna kabila jipya limeingia tz,hawa wanaitwa masharo au wasafi .anayejua kiluga chao pls atusaidie
0 Reactions
1 Replies
969 Views
Ndg zangu wanajamvi sijachangia lolote humu jamvini tangu mwaka huu uanze. Bann yangu imeisha na sasa mwenye wivu ajinyonge WA KUSOMA nimerudi jamvini. Mmasai m1 alihudhuria msibani, ulipofika...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
1. Curiosity killed a cat and saved a rat 2. Road to succes is alwayz under construction 3.Dont trust a young doctor nor an old barber 4.Time is the best teacher but unfortunately it kills all...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
wakuu nipo Fairway pub,huwa nakuja mara kadhaa hapa.kwa wakongwe kidogo wenzangu watakubali huyu Dj hufanya tusahau dunia ya sasa! Hongera kwake kwa mpangilio bora wa Muziki hasa Zilipendwa!
0 Reactions
6 Replies
1K Views
umezuka wimbi jipya la uhalifu. Unakuta mfuko wa nylon (maarufu kama mifuko ya condom, rambo, plastic) barabarani . Ukiukanyaga tu lazima utapata puncher maana ndani yake kuna kibao...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
hakuna m2 ambaye hana tukio lililompata ama yeye alikuwa chanzo au au alishuhudia tukio,hebu funguka mjanja
0 Reactions
28 Replies
7K Views
Wana JF, nina kila sababu kusema najisikia huru na faraja kila niniingiapo humu jamvini. Hii ni kutokana na jinsi ambavyo The Great Thinkers tunavyojadili hoja zinazokuwa posted humu bila kujali...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
So sad mgonjwa mmoja alikuwa mahututi baada ya ndug kumepeleka kwa waganga 'na mahospital kibao bila msaada aliamini msada unatoka kwa mungu na kuomba wana maombi waje kumwombea .. Walipofika kama...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Petrol bei juu! "Umeme hali kadhalika" Kodi za nyumba balaa, Mchele na Nyama usiseme! Makanisani sadaka juu wanataka noti sio sarafu! Mahari nazo hatari, School fees utadhani unanunua shule...
0 Reactions
4 Replies
890 Views
A doctor, an engineer, and a politician were arguing as to which profession was older. "Well," argued the doctor, "without a physician mankind could not have survived, so I am sure that mine...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom