JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Fungua computer yako>>nenda google>>type neno "let it snow">>tupe report.
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Love is like a flower It can grow old or disappear in an hour Love is so sweet when two people share But it hurts so bad when one doesn't care Love is based ön trust Only to make it last...
1 Reactions
10 Replies
992 Views
(Sista Benadeta akimsimulia sista Marieta yaliyomsibu alikotoka).>>>>> (SISTA BENADETA):Basi bwana,nikawa nikiongeza mwendo na yeye anaongeza,kila kona ninayokata na yeye yumo,nikajua ana malengo...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mtoto kamkuta baba yake anasoma gazeti kwa kumshtukiza akamwambia baba baba SHELI INAUNGUWA. Baba kwa kushtuka akamuuliza mtoto wake sheli gani? Mtoto akaanza kukata viuno huku akiimba SHELI NA...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
mchezaji mmoja wa mpira wa miguu alitoa kal ndan ya uwanja huku mpira ukiendelea mara akasikika anasema kabanwa na haja kubwa duuh
1 Reactions
5 Replies
1K Views
0 Reactions
1 Replies
889 Views
Ukiulizwa unielezee japo kwa maneno matano utasema nini? Mtazamo wako uzingatie kipindi hiki cha miezi 8.5 ambacho nimekuwa ndani ya JF. Lakini hata kwa wale tunaofanya nao ofisi moja nao pia wana...
1 Reactions
111 Replies
7K Views
PTUUUUUU hEBU TEMENI MATE KWANZA... Hivi mwanamke ni kuvaa tu nakupendeza? yaan kuna mdada maridhawa mrembo tena mpana mijisifu kibao kuna siku nilikuwa kwake twapiga story mbili tatu...
8 Reactions
53 Replies
12K Views
Elia JF Senior Expert Member Join Date : 30th December 2009 Location : magogoni Posts : 2,492 Rep Power : 803 nawashukuru members wote hapa JF, Mods, marafiki niliopata, junior...
4 Reactions
32 Replies
2K Views
Nilikuwa napuuza maneno mengi ya wana JF humu humu ndani kuwa Mods wanafuta thread zinazomhusu kikwete..lakini kuna kamtego kamoja jamaa yangu alikaweka ili kudhibitisha madai haya kakafanikiwa...
1 Reactions
19 Replies
1K Views
Ndungu wanafamilia wa familia ya jamii foram,sinabudi kuwatakikia afya,furaha njema katika kuuaga mwaka 2011 na kuukaribisha mwaka 2012,kwa amani na upendo,sinabudi kuwaombea wote walio tutanguli...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
kama vile ndoto mwaka 2011 unaishia na tunaungoja mwaka 2012 lakini jambo gani hautakaa ulisahau katika mwaka huu unaoishia
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Wanawake wafanya biashara sokoni wananifurahishaga sana ninaposafiri nao kwenye daladala. Sikiliza mazungumzo yao niliyoyanasa siku za karibuni Mama wa kwanza: Mama Upendo, mwanangu Robert...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Huu mwaka 2011 nahisi ndo mwaka mbaya kuliko wote... kwa ujumla wake.......nahisi watu wengi wana hamu na mwaka mpya 2012 uje haraka...lol hebu tazama haya tu 1.tsunami ya japan wamekufa maelfu...
5 Reactions
45 Replies
3K Views
Siku moja wanafunzi wa kidato cha nne walikuwa wanafanya mtihani wa Civics...wakakuta swali linalouliza kuwa " Draw and label the female reproductive organ yaani uke. Dada mmoja alijaribu...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Hivi ikitokea kukawa na party ya wana jamii forum au mkutano utakaojumuisha wanajamii forum wote wanaochat na kuchangia mada mbalimbali humu jamvini tukaonana uso kwa uso na kuchangia hizi mada...
2 Reactions
30 Replies
4K Views
Hivi ni kweli kwamba kuna mtu anakuwa anachukiwa bila sababu,yaani kwamba kazaliwa tu hivyo. Acha ile hali ya kawaida kwa mwanadamu kuwa hawezi kupendwa na wote,hata manabii hawakupendwa na...
1 Reactions
39 Replies
13K Views
Jina: Ousofia Jinsia: ya kiume halafu namtafuta mrembo atayenifaa Cheo unayotaka: Rais au makamu wa kampuni,ila sipendekezi sana hizo nafasi mpaka mtakaponiajiri kwanza. Kiasi cha mshahara...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
After having failed his exam in "Logistics and Organization" , a student goes and confronts his lecturer about it. Student: "Sir, do you really understand anything about the subject?"...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Mke kanunua line ya airtel amsurprise mumewe, Mume amekaa sitting room, mke akaenda jikoni akampigia mume na number mpya akasema "HALLO DARLING", Mume hakuijua number akajibu kwa sauti ya...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom