JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Na kitu gani kimekuvutia kwake? Mi bado mgeni sijafahamu member wa humu vizuri nataka niwafahamu wenye sifa mbalimbali. Kwa sasa najipenda mwenyewe.
0 Reactions
69 Replies
5K Views
Ni swali tu... kama unanikubali usione soo kunipa sifa ninazo sitahili
1 Reactions
11 Replies
1K Views
kiNdugu zangu kweli wizi nooma! Nimeshudia live kibaka akipiga kelele baada ya kujaribu kumchomoa wallet mtu mmoja kwenye daladala na kukuta ni nyoka. Tukio hilo limetokea pale ambapo kibaka huyo...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Mkuu Zitto haya ni maoni yangu binafsi. Umekuwa ukitofautioana na viongozi wa juu wa CHADEMA kwa mambo yasiyo ya lazima, (utoto). Nimeshindwa kukusoma wewe ni mtu wa aina gani haswa. Nndugu...
3 Reactions
68 Replies
6K Views
Mama Ajiunga JF Kwa Jina La Beib Loveee Baba Ajiunga Kwa Jina la Prezda wa kitaa WOTE WAMEJIUNGA JF KWA SIRI NA HAWAKUWEKA AVATAR mara mazoea yakaanza kukutana kwenye threads za MMU na Chit Chat...
4 Reactions
89 Replies
6K Views
jamani jf ni raha nadhani sina mda mrefu nimejoini ila raha niliyonayo haielezeki, avitar zinanifurahisha sana, signatures, comments yaani raha tupu mda mwingine hata mke wangu ninamsahau...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
A huge crowd in front of a library because of a simple spelling mistake!>>BOOBS AVAILABLE FOR RENT!
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nategemea kuwa hapo kuanzia kesho jioni mpaka Ijumaa wadau nifurahi kuonana nanyi..... niwaletee nini kutoka pwani?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/204135-tendwa-haungi-mkono-kafulila-kufukuzwa.html https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/204134-tendwa-anena.html Hizi ni post mbili zimetumwa na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mwalimu:hamjambo jan niliwaachia home work? Baraka:ndio mwalimu uli2ambia 2chore pcha ya ng'ombe mwalimu:Sasa wewe baraka mbona unanionyesha karatas leupe inamaana...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mzungu mmoja katika kutaka kukidhi mojawapo ya haki za msingi za binadamu, alimchukua binti(demu) pale buguruni akaingia naye guest baada ya kumaliza shida yake akamkatia yule dada kilicho chake...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
A priest, in urgent need to use the bathroom, walks into a local bar. The bar is jumping with loud music and lively conversation, but every few minutes the lights abruptly go off. Every time the...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
jamaa mmoja alijifanya baharia akawaambia watu aisee nimezunguka bandari zote duniani China na Africa yote ulaya marekani akaulizwa kwahiyo unaijua sana geografia jamaa akajibu pale geografia...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Jumatatuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu....... Jumanneeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Mwambien nampenda sana,ila nashndwa kujieleza moja kwa moja kwake coz ya tabia yake ya kutokujibu PM zangu.
0 Reactions
86 Replies
6K Views
Unakuta mtu unaingia kwenye ofisi ya watu. kuko kimya kama maji ya mtungi maana people a busy working. Umekaribishwa kiti ili umsubiri mwenyeji wako. ghafla simu yako ya kiganjani inaita. Sauti...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Michel Lotito (aka MonsieurMangetout) from Grenoble, France, has been eating metal and glass since 1959. Gastroenterologists have described his ability to consume 900 g (2 lb) of metal per day as...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Staili ya watu wala hamjuani,hamkusalimiana wakati mmekutana, lakini ngoma ya Kwaito ikipigwa mnajipanga mnacheza pamoja kwa ustadi, nani amewafundisha? na ule mshikamano mnaouonyesha pale...
2 Reactions
29 Replies
3K Views
Wafanyabiashara wawili wako safarini, wamefika geust house chumba kimebaki kimoja cha dabo.akawaita mmoja mmoja akawaambia kisiri! Akaanza na mpemba,"muangalie sana huyo mchaga atakuibia"...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom