JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Ile blog tata ya zeutamu imerejea upya, ni vyema waungwana tukachukua tahadhari ya mienendo yetu kabla hatujajikuta tunaumbuliwa na hawa wanaojiita ni mtambo wa kurekebisha tabia.
0 Reactions
16 Replies
13K Views
Mmezungumzia siredi bomba mi nakuja kuwauliza ile iliyoboa zaidi,najua hapa kutakua na ugumu usiogope taja tu!Hakuna atakae kughadafi!!Mi yangu nitataja mwisho wa siredi hii usiku wa kuamkia mwaka...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Siku moja nyani alichoka kuishi akatafuta all means ya kujiua akashindwa!akamfata simba alielala na kumchokoza ili aliwe afe!basi alienda akamtia kidole" NYUMA"mpka simba akaamka.simba...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Unakuta lijitu linaweza kabisa kuongea kiswahili kizuri tu basi ukilikuta linaongea neno moja la pili kiingereza ,huu ni ushamba na ulimbukeni wa lugha za kigeni,hamjui kua mna kinajisi...
0 Reactions
39 Replies
3K Views
Timu ya coventry city inayoshiriki ligi daraja la pili nchini uingereza inafanya mchakato wa kumuombea ATC kijana Deogratius Didas Masaburi ili aweze kuichezea timu hiyo.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Haya ya dunia nia makubwa eti bibi ataka apewe ndege yake adai hana ntoto hata mmoja songea kisa kaanguka usiku akiwa safarini ha ha ha ha ha ha ha !!!
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Dogo mmoja akiwa road akiwa kavalia kandambili chakavu zilizo na mishono zaidi ya mia moja. Gafla kandambil hzo zilikatika. Dogo akiwa anaangaika kuzitengeneza mara atatokea babu mmoja ambaye...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Msumbufu mkubwa wa JF hasa hapa jukwaa la Jokes WA KUSOMWA amepigwa bann nimeona hapa< Wa kusoma, Banned>
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Dear Sir I refer to the recent death of the Technical Manager at your company and wish to apply for the replacement of the dead manager. Each time I apply for employment I am told there is...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Japo nia ni kujaribu kuvuta wateja kununua ving'amuzi vya Star times, pengine ubunifu unahitajika katika kuandaa matangazo. Lile tangazo la Star Times linalorushwa na TBC-1 likimwonyesha Kanumba...
2 Reactions
25 Replies
7K Views
Nimeenda tanga na rafiki yangu john kuwasalimia. Jirani yao mzee xxxxx ana binti mzuuuri mwajei,ila nikatahadhalishwa kuwa nisimguse maaana yatanitokea makuwa ila nikabisha. Nikapiga saunti binti...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Shikamoni kina dada wa kike na wa kiume Nimewamiss sana. Nilienda nje ya nchi kwa ajili ya kufanyiwa marekebisho ya umri. Wataalam wamefanikiwa kupunguza umri wangu mpaka kufikia miaka 30 tu...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Phrases huwa zina originations...Ingia humu kama unataka kujuwa baadhi ya maneno yalikoanzia... WORDS, PHRASES or SAYINGS - Origins, Meanings by Brownielocks.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wana-JF, sijajua kama ni mahala pake lakn ningependa kuuliza "HIVI KATI YA MWAKA MPYA NA X-MASS" ni sherehe gani inaanza??
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwenye mashindano ya kula ugali kwa mboga ya ajabu washindi walikua kama ifuatavyo, mshindi wa tatu alikula ugali kwa kulumangia na chumvi mfuko mzima, mshndi wa pili alikula ugali bakuli la maji...
10 Reactions
16 Replies
2K Views
padri alikuwa anafuga......cku moja jogoo wake mmoja alipotea akaamua kutangaza kanixan PADRI;Waumin wangap wanajogoo? Wanaume wote wakasimama....... PADRI; akasema sio hivyo ni wangap...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakati wenzutu wakiwa bize kubanana, kuwajibishana, na kutekeleza mipango yao ya kimaendeleo kwa umakini wa hali ya juu. Sisi viongozi wetu wapo wapo tu, huku wakiwa wazito wa kuja na fikra mpya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
kadiri siku zinavyosogea kuelekea mwaka 2012 nazidi kuwa na hofu kwa sababu ya mambo yanayoendelea ulimwenguni ikiwa ni mapinduzi katika nchi za kiarabu na mgogoro juu ya iran na marekani, mwaka...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
atakae kamatwa na album fake ya twanga pepeta atacheza nyimbo zote za twanga hapo hapo on sport bila kukosea steps-asha baraka.:nerd: mama comedy yule mh
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mwanamke mmoja alikuwa haridhiki jinsi nguo zake zilivyokuwa zinafuliwa zikipelekwa kwa mwenye mashine za kufulia. Siku moja akampa mtu ampelekee jamaa mwenye mashine afue nguo na kumpa karatasi...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom