Baada ya kuwa masomoni nje na mkoa wangu wa kigoma sasa nimerudi nyumbani.
Jana nilikuwa KIBONDO nimepata wasaa mzuri wa kukutana na jf member wa pale na jioni tulikuwa maeneo ya kumwelulo kuna...
Imekaa kijoke joke, but imetokea kiukwelia kwelia
Konda: Posta mia tatu, mia tatu. Fasta mamdogo fanya twende.
Jamaa: Konda, Konda mi m nna Mia.
Konda: Iyo Mia yako nenda kanunue Parachichi...
najua wachache tunaweza kua ni wahusika.... ila jamani hivi ni lini tutaamka kwenye mpira hapa nchini..? mbona tunatia aibu hivi hapa kwetu...! aaaagh..!
True Friends: Men or Women
Women:
A wife was not at home for the whole night. So she tells her husband, the very next morning, that she stayed at her
girlfriend's apartment overnight. So, the...
Nipo hapa maeneo ya bakule club najaribu kuwaza na kuwazua. nlikuja kula mdudu pande hizi lakini naona pamepoa sana. napenda kukaa sehemu yenye makelele na fujofujo. napendaa kukaa sehemu iliyo...
A wife hits her husband with frying pan
Husband: What was that for?
Wife: I found a paper in your pocket, with the name JENNY on it.
Husband: I played a race last week and JENNY was the name of my...
Habari yako mkuu. naomba kujua. je wewe cheo chako ni kipi?; DDO: daily drinkers officer(mnywaji wa kila siku),WDO: weekly drinkers officer(mnywaji wa mala moja kwa wiki), MDO; monthly drinkers...
...Mzee wa baraza alikuwa anasinzia wakati kesi ya shambulizi la aibu ikiendelea.
Hakimu: Mlalamikaji hebu ieleze mahakama alichokuambia mshitakiwa.
Mlalamikaji: mheshimiwa maneno aliyoniambia...
Katika pitapita zangu google nimeshangaa kukutana na hii link,kweli huu ni mwisho wa dunia
kama vijana wa kibongo wamefikia hatua ya kujitangaza kutafuta mabwana.too bad
Friends Tanzania - dating...
Our Steve Jobs who art in heaven,
hallowed be thy name.
Thy iPads come, thy iPod's sung on Earth, as it is in heaven.
Give us this day our daily street cred
As we show cred to those who offend us...
A woman is having sex with her lover in an apartment 20 stories high. Suddenly her husband returns from a long trip, and she hears him approaching
So she tells the lover: "do not move at all. I...
Baada ya siku 60 kuanzia leo, mambo yafuatayo yatatokea kwangu mimi Handsome wa mama.
1. Nitaapishwa rasmi kuwa waziri wa upuuzi na mipango ya gafula gafula.
2. Nitatunukiwa PHD ya heshima hivyo...
Sijui ni makusudi au bahati mbaya au coincidence. Ufukunyuku wa muda mfupi niloufanya nimegundua jambo hili limeanza kufanyika kwa kasi ya ajabu sana na baada ya muda kuna uwezekano yale majina...
Kasisi mmoja akiwa anawahi kutoa 'huduma' mahali pa sherehe ya
heshima alisimamishwa na askari trafiki aliyejifanya serious akimzushia
yule Kasisi kwa kukiuka sheria za barabarani. Kasisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.