hivi kwa nini music wa taarab mara nyingi ujumbe wake ni wa kutambiana kuchukuliana mwanaume,utasikia 'huna mambo',hunirushi roho...utalijua jiji. nimesikiliza ni wanawake kutambiana kumchukua...
Unakuta mtu anakutania:
unakuwa mshamba kama wa URU(mchaga)
acha kuwa kama mnama(mkibosho)
wewe ndakoruuu nini(mmeru)
mwana siku hizi unapiga suruali za kina mwaitege(mnyakyusa)...
Walikaa madaktari bingwa kati ya China,Ujerumani na Tanzania wakipeana taarifa kuhusu utendaji wao wa kazi nchini mwao;
MCHINA; ''Nchini mwetu alizaliwa mtoto hana mkono,akawekewa wa bandia ss hv...
Mheshimiwa Edward Ngoyai Lowassa, baba wa uendeshaji wa harambee, huku kwetu Namasakata Tunduru kuna kanisa la Anglikana mbalo hatuna kanisa, tunasali chini ya mkorosho na tuna waumini wapato 48...
KIJANA Carl Griffiths, 19, (pichani) ndiye mwanaume mwenye miguu mirefu duniani. Kituko ni kwamba anatumia ukubwa wa miguu yake kunasa wanawake. Carl, raia wa Uingereza, amesema kuwa mpaka sasa...
yan nimekubuhu kwa ufisadi! amini usiamini siko peke yangu! juzi kati kuna lecturer ametuuzia maksi tano kwa shilingi elfu nane(8000) tu! inapendeza aisee!
Kuna mtoto wa jirani anafanyiwa birthday, anaitwa Latifah a.k.a 'Tifa'! sasa kulikuwa na kasherehe mshenzi hapa Mikocheni uswahilini, camp ya Adventure, kalikofuatiwa na disko vumbi a.k.a kigodoro...
Yaani saluni za wanawake zina vibweka, majungu, umbea, magigambo na uwongo wa kila namna.
Leo nikiwa saluni kujiweka safi, mara akaingia dada mmoja na mizigo yake, anaonekana ametoka shopping...
FaizaFoxy, : Dadangu, hata mie nimezaliwa na kulelewa ndani ya CCM. Nadhani tunahitaji mabadiliko. Sijui unafanya kazi serikalini, au wapi, Mie nafanya Private Sector, lakini baba yangu mzazi ni...
Kabla ya kupanda kilimani kwa ajili ya sala,yesu aliwaambia mitume wake wabebe jiwe moja moja kisha wapande nalo mpaka juu kilimani.Mitume walibeba mawe ya ukubwa mbali mbali isipokuwa Yuda.Yuda...
How true is this give it some percent?and there this other one the road to hell is lined up with good intentions,kindly comment and take note that the second proverb doesnt become a reality in...
What Is a Hacker?
The Jargon File contains a bunch of definitions of the term ‘hacker’, most having to do with technical adeptness and a delight in solving problems...
"Paw my Pal (kwa kulazimisha...lol) and my best Mod"
Naamini kua kazi za Mods ni kubwa na nyingi pia
Zipo in varieties kila kipengele na Ugumu wake
thou hatuwezi tambua for sie kama Members...
kutoka ubachela kwenda kuoa ni maisha mawili tofauti(life style) ....ume experience vitu gani katika hiki kipindi? Mfano labda ulikuwa mtu wa kujichanganya kiaina ...je, ushawahi kufanya jambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.