JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Doctor : What happened to your arm? Oludhe : I broke it. Doctor : Where and How did that happen? Oludhe : Okey. It was a normal Saturday afternoon. I was on the second floor balcony of...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Yaani tangu laptop yangu izingue napata wakati mgumu sana kuingia JF, raha sina, amani imetoweka, apetite imeshuka, tabasamu limepotea, uchovu mwingi, yaani hapa taabu tupu. Hivi JF nimeikosea...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
kama unapenda kusema uongo uwe unakumbuka ulichodanganya kwan kuna siku uongo wote utakutokea puani
0 Reactions
15 Replies
1K Views
jamani nimetoka kuangalia INVESTIGATION DISCOVERY kuna jamaa mmoja alisema yeye ni polisi na amepoteza funguo zake so anahitaji watoto wa eneo hilo wakamsaidie kuzitafuta....! kumbe alikua anataka...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
1.The more beautiful the woman is who loves you, the easier it is to leave her with no hard feelings. 2.Nothing improves with age. 3.No matter how many times you've had it, if it's offered...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Mji umechafuka, Polisi wa magamba wanapiga mabomu ya machozi, magari ya maji ya kuwasha yanaranda maeneo yote ya railway na hapa polisi station.Watu wamechoka, fujo fujo. Sipo eneo la tukio lakini...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Statement: "I'm a Romantic." True Meaning: "I'm poor." Statement: "You're the only girl I've ever cared about." True Meaning: "You are the only girl who hasn't rejected me." Statement: "I...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mi binafsi sifurahi kabisa ninapomuona mwanamke anakunywa pombe au kuvuta sigara, mwanamke wa namna hiyo nitamshusha thamani mpaka zero. Nashukuru hapa TZ sio wengi sana, kama wapo wanaovuta...
1 Reactions
37 Replies
4K Views
Nimepewa habari kuwa Arusha kumekuwa na ongezeko kubwa la MASUGAR MAMY. Watu wa Atown je kuna ukweli hapo??
0 Reactions
6 Replies
1K Views
jamani nipeni pole ,mwenzenu naumwa naskia malaria, alafu nabanja kishenzi,nipeni pole mamen na wanawake pia,akina dada pole zenu zinatia moyo zaidi.
0 Reactions
43 Replies
4K Views
Harry answers the telephone, and it's an Emergency Room doctor. The doctor says, "Your wife was in a serious car accident, and I have bad news and good news. The bad news is she has lost all use...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
nilikua nakaa na mdogo wangu chumba ki1,nilivooa ikabidi dogo aondoke,sasa huyo dogo akajakunitembelea siku moja nikiwa na wife.tukiwa tumekaa pale chumbani ,wife,mimi na dogo,nikawa nataka...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamaa ilikuwa ni siku ya birthday yake, akashangaa mke wake na watoto wake hawamwambii happy birthday, akaenda kazini akashangaa hata wafanyakazi wake hawamwambii happy birthday, akaamua kuingia...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
help center | e-mail options | report spam The YouTube account for xxxxxxx@yahoo.co.uk will be deleted on Dec 18, 2011 if you do not click the link below to upgrade your account...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ilikuwa kipindi cha masika msitu ukiwa kijani tupu ndipo kikao kilifanyika. Wajumbe wote katika kikao kile walitakiwa kujifunga majani, yaani walipaswa wote wawe wa kijani ili iwe ngumu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ilikuwa mchana wa saa 9 hivi, leo hii. Nilikuwa nimetoka kupata chips kibandani kwa Mangi, nikapita dukani kwa Jose kupata maji ya Tsh. 50, maarufu kama condom au diripu. Wakati huo Aswile akaja...
0 Reactions
54 Replies
4K Views
Nilikuwa na mdogo wangu leo mchana mjini na tukapita mahali fulani tukapishana na magari yamewasha taa mchana kweupe.dogo akaniuliza na mazungumzo yalikuwa hivi..... Dogo : Ati bro kwanini haya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wanasiasa 10 walipata ajali mbaya hukoo Msoga alitokea mkulima mmoja alichimba shimo na kuwazika, \ Polisi... walikuja na kuanza kumhoji; Polisi:Uliona ajali? Mkulima:Hapana, nilikuta...
0 Reactions
4 Replies
910 Views
Heshima mbele kwanza!Week Iliopita nilikuwa natoka mahala,sasa kuna duka moja maarufu sana mitaa yetu tunayoishi sasa nikaingia hapo dukani kabla hata sijauliza kitu nachotaka simu yangu ikaita...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
imepita kama siku mbili hivi nilikua maeneo ya dit ninakula kwa wale wanaofahamu eneo ni MANGESHO sasa nikawa nimeweka bag ya laptop kwenye kiti ambacho nilikua nimekalia..! akaja jamaa mmoja...
0 Reactions
159 Replies
9K Views
Back
Top Bottom