Naomba nichukue nafasi hii kuwatakia madadiito na mamiito wote weekend Njema.
Msinywe kupitiliza coz ni weekend ya mwisho wa mwezi.
Kuna mahafali Vyuo mbali mbali, kwahiyo kuna masherehe Mengi...
Wana jf,
Hivi nikifanikiwa kuwaibia mafisadi mihela yote waliyowaibia watanzania,halafu nikairudisha hiyo mihela kwa watanzania nitakua nimetenda dhambi kweli?
Ndugu, watanzania wenzangu mie nadhani si busara tena kuliongelea swala hili la Al shabab. Nasema hivyo maana tazari sasa kila kitu kinahusishwa na hawa jamaa. Mfano ni maandamano na mechi ya...
Wakuu naomba mchangie hii thread ili nami nijisikie raha na amani ya moyo. Changia ili niwe na uhakika kama hii habari ni kweli au uzushi mtupu. Pia naomba unipe ushauri wako juu ya hili jambo.
Mr. Mrema the Chairman of TLP ;While visiting England, Mr. Mrema the Chairman of TLP was invited to have tea with the Queen. He asked her what her leadership philosophy. She said that it is to...
Aisee ni baada ya kuvunjiwa duka na kuibiwa kila kitu,japo nyumbani kulikuwa na salio kdogo....
MKE>sasa baba masawee haya maisha tutaishi mpaka lini...mimi nimechoka bwana.
ZeMANGI>vumilia tu...
How a man withdraws cash from the ATM: (1)Park the car. (2)Go to ATM. (3)Insert card. (4)Enter PIN. (5)Take money. (5)Drive away. ---------------------------- How a woman...
Utafiti mdogo niliofanya kujua ni kwa vipi watu huibuka na utajiri wa muda na muda mrefu wakatu wa kampeni za uchaguzi mkuu/mdogo.
Na ili pesa zimwagwe ipasavyo ni palee ambapo fisadi anapotaka...
Ninaomba kila mwanachama na shabiki wa chadema kutangaza sera na itikadi za chama kwa kila mtu na kila mahali.pia tuwahimize watu wajiandikishe kupiga kura muda utakapofika pia tuwaelimishe watu...
Viongozi wastaafu na walioko hapa nchini wamekuwa matajiri ghafla mno. mathalan, wanamiliki viwanda vikubwa vya sukari,mashirika ya ndege, mabenki, mahoteli, majengo makubwa ya ghorofa nk...
''asilimia hamsini ya madini ya dunia yanatoka Afrik, asilimia kumi ya mafuta ya dunia yanatoka afika, Afrika kuna ardhi asilimia 60 ambayo haijalimwa lakini yafaa kwa kilimo''. sasa huyu baba...
Habari wakuu poleni au hongereni kwa shughuli za kutwa nzima ya leo. Leo nimetembelea jukwaa la utambulisho na kuona jinsi wageni wanavyobisha hodi na kukaribishwa humu ndani kwa style mbalimbali...
mkuu naomba kuwasilisha,hivi ni kwanini kila mtu analalamika tu?prezida analalamika...... pm...... waziri wa..... katibu mkuu...... mkurugenzi wizarani......mkuu wa mkoa.....mkuu wa wilaya...
Hivi umewahi kujiuliza kwanini mtu akijamba anatema mate au alieko pembeni anatema mate, je kuna mahusiano gani kati ya harufu na mate? Je mate yanakua yamechafuka hataki kuyameza? Je akiyatema...
Siku moja baba mwenye nyumba alirudi ghafla nyumbani na kumkuta mkewe na House boy wake wakiivunja amri ya sita.
Mzee kwa hasira akamkaripia house boy wake.
Mzee: Wewe mwehu Ninakulipa ili...
Johnny:hello is this 911?
Police:yes whats your emergency
johnny:2 girls are fighting over me
police:and whats wrong with that?
Johnny:the ugly one is winning......hurry
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.