JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kuna jamaa mmoja alikuwa amebebwa kinguvu kupelekwa milembe baada kuonekana ni kichaa,sasa jamaa akawa anajaribu kujitetea: Jamaa: jaman naomba muelewe kuwa mimi sio kichaa kwani...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Chungwa linauzwa sh.100 na Embe linauzwa sh.200.Nimenunua chungwa kwa sh.100.Mkononi mwangu nina chungwa lenye thamani ya sh.100,muuzaji nimemkabidhi sh.100 yangu.Nikimpa chungwa,atakuwa na sh.100...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Hivi ikitokea umebanwa na kujamba halafu mbele ya watu wa heshima utafanyaje?
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Hello everyone !!! I'm newbie on forum so I hope I will make more friends here, I am webdesigner, my site's funny sms - Funny SMS Text - Messages, Love, Birthday, Lovely, SMS Jokes in Hindi &...
0 Reactions
3 Replies
963 Views
Namshukuru mwenyezi mungu mjaza neema ndog ndogo na kubwa kwa kutupa mwenza wa kauutkumbusha kama kuna hbday ilikuwa saa kama ya leo mida kama hii mama mzazi alipoenda kukimbilia mwanyamala...
3 Reactions
23 Replies
3K Views
Hii hutokea mara moja kwa mwaka dear... Hivi I am hoping kua as much as it is a Monday baada ya kazi utabwaga kazi chini na kurusha mikono juu ukibanjuka tu.... I am happy kua hapa JF we are...
12 Reactions
212 Replies
14K Views
Tangu uhuru makabila haya yamepigwa chini na makabila madogo madogo! Maendeleo ya mikoa yao yako chini sana, ingawa natural resources nyingi zinatoka huko. Kisiasa tangu akina James Mapalala...
0 Reactions
212 Replies
34K Views
Cheki jamaa alivyopewa kitu...!hahahahaha Hii hawezi kusahau maisha...
0 Reactions
0 Replies
796 Views
hivi kwa mfano umefumaniwa na mke wa mtu halafu mwenye mke anakuambia chagua adhabu kati ya hizi:-1-akutembeze uchi mitaani 2-akugeuze ale tigo utachagua ipi?
0 Reactions
7 Replies
1K Views
A male patient is lying in bed in the hospital, wearing an oxygen mask over his mouth and nose. A young student nurse appears to give him a partial sponge bath. “Nurse,”‘ he mumbles from behind...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
"Hi honey. This is Daddy. Is Mommy near the phone?" "No Daddy. She's upstairs in the bedroom with Uncle Paul." After a brief pause, Daddy says, "But honey, you haven't got an Uncle Paul." "Oh yes...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Lizzy,MJ1,Ashadii,Husniyo,Aspirin,Pdiddy,Woman of substance,AD,SL,BB,Dena ,Nyamayao,King'asti,DC na vingunge wengine wa mmu embu rusheni nyuzi mpya hapa mmu,acheni uvivu bana!!!!!. ps: niko...
2 Reactions
46 Replies
4K Views
nitakuwa ndani ya Iringa mjini kuanzia Jumatano, ningependa sana kuonana na wana JF ambao mnaishi Iringa Kama vp tuwasiliane.. nitumie PM ili tupeane mawasiliano...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
A man was walking in the street when he heard a voice. "Stop! Stand still! If you take one more step, a brick will fall down on your head and kill you." The man stopped and a big brick fell right...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani, baba mwenye nyumba wa ninapoishi, jumamosi alijaaliwa kupata mtoto wa kiume. Mtoto kapewa jina Graduation. Nikauliza kwanini mtoto aitwe hivyo, kasema anataka mwanawe asome hadi awe Rais...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
One day, a rich dad took his son on a trip. Wanted to show him how poor someone can be. They spent time on the farm of a poor family. On the way home, Dad asked" Did you see how poor they are...
1 Reactions
1 Replies
816 Views
mwanasiasa akizindua mradi wa maji anafungua bomba la maji kisha ananawa mikono kuashiria imezinduliwa rasmi. sasa swali langu mwanasiasa akiwa anazindua choo anafanyaje ? tuache siasa, AU...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Hivi ni kwangu tu au na kwenu pia? Kitufe cha "Thanks" kimetoweka tena. I don't mean to complain but this is now getting childish and ridiculous. Mara mkilete mara mkipotezee. Tuwaeleweje sasa...
0 Reactions
41 Replies
4K Views
Mchunga ng'ombe mmoja baada ya kupata cha-malawi cha kutosha,alianza kukimbia huku ameinama.Alipoulizwa ni kwanini anakimbia huku ameinama,akajibu;Mawingu yameshuka usawa wa kichwa changu.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Salam! Mimi ni Mwanaume nina miaka 36. Ninaishi na kufanya kazi hapa Dar es Salaam natafuta mke awe na umri kuanzia miaka 27, mnene aliye tayari kupima VVU na kufunga ndoa ya kikristo kanisani...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Back
Top Bottom