Jamani duniani kuna watu wa ajabu sana, huwezi amini leo kanisani nilikaa na jamaa mmoja anavuta sigara kanisani bila woga, nilitetemeka nusura niangushe bia yangu....
tangazaji mmoja aliwauliza vijana 2 waliopuliza ganja:
Mtangazaji: Hebu wewe tuambie kuhusu Tz.
No.1: Mimi mshkaji Tz ni mama yangu imenilea na kunikuza.
Mtangazaji: Vizuri, na wewe ndugu tuambie...
Uvimbe kwenye Ubongo :
Daktari: Nasikitika kukwambia una uvimbe kwenye Ubongo.
Masawe: Ndiyo (akaruka kwa furaha)
Daktari: Umenielewa nilichokwambia?
Masawe: Ndiyo nimekuelewa...
Kuku anakula hata kinyesi cha binadamu hata kupelekea usemi ukimchambua kuku huwezi kumla.lakini kwa muonekano tofauti na bata hachezei tope,bata kwa upandewake tope na kunya ovyo ndo jadi,lakini...
John alinunua gari kwa £4000,akaliuza kwa Henry £5000.Akalitamani tena,akalinunua kutoka kwa Henry kwa £6000.Siku za baadaye,akaamua kumuuzia lile gari Jane kwa £7000.Je,John alipata faida ya £...
Sisimizi wawili walikutana na punda wakamwambia tupigane mieleka, punda akawajibu: hivi mnaona mimi mjinga sana, nyinyi wawili mimi mmoja si mtanichangia, kama mnataka tupigane mmoja mmoja.
Nimejaribu kuchunguza sana kwanini gharama za harusi siku hizi zinakua juu na kufanya watu wachoke hata kuchangia nikagundua yafuatayo
Wanawake waolewaji ndio chanzo
1. Wanataka mashindano ...
An office manager was given the task of hiring an individual to fill job opening. After sorting through a stack of resumes he found four people who were equally qualified.
He decided to call the...
A man walking along a California beach was deep in prayer when all of a sudden he said aloud, "Lord grant me one wish". The sky clouded and a booming voice said, "Because you have tried to be...
Harry did like he always does, kissing his wife, crawling into bed and falling to sleep.
All of a sudden, he wakes up with an elderly man dressed in a cowl standing in front of his bed.
"What...
Source: Yahoo friends
Nothing is impossible in life.... see THE WORD, ITSELF SAYS CLEARLY " I M POSSIBLE "
21 yrs back in his grandma's place..
From one of the poorest family's chair...
Source: Yahoo friends
Talk of stress!
Level of stress: you give a lift to a beautiful girl, she faints inside your car and you take her to hospital. Now that's stressful.
But at the...
Wiki iliyopita demokrasia na mihimili ya sheria ilipita atika vuguvugu fulani.
Mwanakijiji ni kati ya baadhi ya wa na jf ambao nikisoma mabandiko yao fikra mpya zinapevuka. Nimetafuta na...
Panya watatu walikuwa kwenye ubishi mkali na kujitamba.
Panya wa kwanza akasema ''mimi hata mtego waweke vipi sikamatwi,nina uwezo wa kuunasua na kufanya ninavyotaka,nani kama mimi?''
Panya wa...
umeshindwa kuongoza. umefeli. umefulia. huna vision. unaongoza nchi kwa mtindo wa bora liende. Rais hujui hata unatakiwa ufanye nini na usifanye nini wakati gani na wapi. kwa kutokujua yote haya...
Kisao gave nicknames to his harem of women: Mercedes, Pajero, Toyota etc. depending on the tribe and age of the women.
Once a sheikh from Nairobi called him"Kisao huyambo. Una modeli gani kwako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.