Sijui kama ni wote tulikuwa na babu wenye vituko hivi..ila mi babu yangu alikuwa amewazidi wote..
Mzee Nyela aliitwa...
siku moja kasafiri kaenda Mombasa. kurudi akaja na chumvi ile ya mabonge...
Mla mirungi mmoja baada ya kumaliza na handas kupanda alikwenda hoteli akaagiza supu, mhudumu akamletea yakawa hivi
Mla mirungi: Mhudumu samahani njoo.
Mhudumu: Ndio mzee.
Mla mirungi: Hebu onja...
Little Johnny asks his mother how old she is. Her reply is, "Gentlemen don't ask ladies that question." Johnny then asks his mother how much she weighs. Again the mother's reply is, "Gentlemen...
Habari jamani JF!
What does this say?
a- a bird in the bush.
b- a bird in the tree.
c- a bird in my bush.
d- a bird in the the bush.
e- a bush in the tree.
Haya wajuzi wa hii lugha....
Katika kutaka kujua maendeleo ya afya za wagonjwa wa akili (vichaa) katika hospitali fulani daktali huangalia mienendo ya wagonjwa wale tu: yule anayeenenda vizuri huamini kwamba ana nafuu kubwa...
Kuna bwana mmoja alikuwa hana ajira kwa muda mrefu licha ya kuwa alikuwa na elimu ya chuo kikuu.
Ili maisha yaendelee ilibidi ajishikize kwenye ajira ya udereva wa taxi.
Bahati nzuri kulikuwa na...
Teja mmoja alikuwa na tabia ya kuokoteza vishungi vya sigara(i.e vipande vinavyobaki baada ya sigara kutumika).Kwa Kila vishungi sita(6),teja aliunda sigara nzima moja(1).Siku moja teja aliokota...
As I was going to St Ives
I met a man with seven wives
Each wife had seven sacks
Each sack had seven cats
Each cat had seven kits
Kits, cats, sacks and wives,
How many were going to St Ives?
Jake was dying. His wife sat at the bedside.
He looked up and said weakly:
'I have something I must confess.'
'There's no need to, 'his wife replied...
Jamaa mmoja alimpiga kibao jamaa ana stimu za bangi, jamaa akamuuliza: "umenipiga kikweli au umenitania? akamjibu kikweli, Mla akamwambia: Afadhali kwani mi spendi utani.
Baba mmoja alikuwa na mazoea ya kulala uchi. Siku moja wakati anajiandaa kulala akavua nguo, mara mtoto kaingia chumbani bila hodi. Baba akaona hii noma, ikabidi aufiche u b o o katikati ya...
Jk amekuwa bingwa wa kuwaunganisha watanzania katika mambo ya kijamii.
Amefanikiwa kutembelea hadi gerezani kuona jinsi maisha yalivyo,amehudhuria misiba mingi pengine kuliko rais mwingine...
Shekh yahya na Gwajima nani zaidi
MCHUNGAJI AMPA MASHARTI SHEH YAHAYA-JANUARY 4 ,2010
Siku chache baada ya mtabiri mashuhuri wa Afrika Mashariki na Kati, Sheikh Yahaya Hussein wa Dar es Salaam...
Mlevi mmoja alipita makaburini usiku bahati mbaya kulikuwa na kaburi lililochimbwa hajazikwa mtu, akatumbukia, kila alivyojaribu kutoka ikashindikana, akaamua kulala mule, muda si mrefu akapita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.