HA HA HAAA.. WAHAYA MPO!!!???? just a joke
*Doctor Kimaro : What happened to your arm?
> Mutagwaba : I broke it.
> Doctor Kimaro : Where and How did that happen?
> Mutagwaba : Okey. It...
Mpemba alikuwa anatizama movie ya kimarekani, kila mara anasikia mother f u c k e r, kidogo mother f u c k e r. Ikabidi aulize ''Hivi huyu mamaye Faki ni maarufu sana huko marekani? Maana nasikia...
Habari JF!
Jamaa aliambiwa ku do ni kutamu kuliko asali.
Jamaa hakuamini maana hakuwahi ku do hadi umri wake huo.
Watu wakamtafutia mrembo anaejua majambo vilivyo...
Akawekewa hapo...
Alikaribishwa mchungaji mgeni kutoka Africa Kusini kufanya ibada/mahubiri katika kanisa moja hapa bongo,kwa kuwa ilikuwa lazima kumtafsiri kwa vile hajui kiswali ikabidi atafutwe...
Kuna ile imani kuwa mkijikuta mnapiga miayo kwa wakati mmoja
inaashiria kuwa mnawaza kitu kimoja. Sasa jamaa mmoja alimuona
mke wake akipiga mwayo, wakati huohuo akamuona mtu mwanamume...
Baada ya mahubiri marefu,mchungaji aliwaambia waumini wafunge macho ili waombe.Wakiwa wamefumba macho,alizama kwa kapu la sadaka na kuibua pesa kibao,akazitia kwenye mfuko wa koti la suti...
Kosta iliyobeba abiria wakat akiwa anaendesha ghafla mbele kulikuwa na trafik akampungia mkono na kumsimamisha wakat ameshampita trafik akaona kitu kuwa kunatofaut akamfuata dereva na kumwambia...
Kuna kila dalili kesho kutatokea umwagaji damu hapa Arusha, naomba viongozi wa CDM wanipe mimi dili la kutengeneza DVD ya matukio ya kesho ili na mimi nijikwamue kutoka ktk wimbi la unasikini...
JF up!
Nakumbuka ndio nlikua namaliza masomo nchini Amerka....nkitoka nafanya shopping za nguo na viatu navituma kwa ndugu zangu kila walipo!
Siku moja mizigo ikazuiliwa..baadae ilichiwa.
Ndugu...
Watoto walikuwa wakicheza, muda wa kurudi nyumbani ukafika.
Mmoja akaanza kulia, Mtumishi wa Mungu akamuuliza, 'Unalia nini?'.
'Nimepoteza yeboyebo zangu', dogo akajibu.
Mtumishi akamwambia...
KIJANA WA KIDOSI BAADA YA KUMALIZA TUITION YA KISWAHILI, ANAJIBU IFUATAVYO:
(1) Mfa maji? tampa life jacket.
(2) Mwenda pole? tachelewa fika.
(3) Usipoziba ufa ? mizi taona mpaka dani.
(4)...
muandishi wa habari wa TAMWA alimuuliza MILIONEA,"hivi ni nani aliyekusaidia kuwa milionea?"milionea akajibu"MKE WANGU"mwandishi akasema,"kweli wanawake ni msingi wa maendeleo,kabla ya hapo...
Kuna kale ka sheria ka kulinda haki za watoto (The Childrens 2009)sijui utekelezaji wake umeishia wapi. Nipo hapa Arusha City Park (Rest in Peace) ni karibu kabisa na kituo kikuu cha polisi cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.