JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Jamani etu kirefu cha M.O.S.H.I. ni "Mungu Onyesha Sisi Hela Ilipo?"
1 Reactions
5 Replies
4K Views
An elderly woman went to her local doctor’s office and asked to speak with her doctor. When the receptionist asked why she was there, she replied, “I’d like to have some birth control pills.”...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Kuna jambo uliwahi fanya ktk maisha , kazini, shuleni popote na unajua hakuna mtu aliyetambua kwa kipindi hicho andika ukweli sasa.;naanza nilipo kuwa sec nlikuwa na mwonekano wa utulivu sana ila...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mh. Madam speaker, kwa kuwa serikali yetu inaajiri wanajeshi kila mwaka, na kwa kuwa hakuna kitu wafanyacho zaidi ya kula na kukimbizana na raia. Na kwa kuwa serikali yetu inanunua silaha kila...
3 Reactions
48 Replies
5K Views
So, dunia haijaisha! (Ofcourse 21th may 2011 haukuwa mwisho wa dunia). Tafadhali tumia nafasi hii kutuambia ni vitu gani au ni kitu gani ulichowahi kufanya ambacho ungekijutia kama kweli tarehe 21...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
UK- Ex-minister jailed over expenses fraud Elliot Morley has become the first former minister to be jailed for cheating his expenses after a court sentenced him to 16 months in prison. Morley...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mgombea: nitajenga daraja hapa kijijini Wananchi: Mheshimiwa! hakuna mto Mgombea: Nitachimba
1 Reactions
9 Replies
2K Views
A Mhaya from Tanzania, An American and a Japanise met in a Sauna along Manhattan Street In New York. They were all nude without any cloth on them. Sudennly an American did as if wiping his face...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
wakaka sharobaro buzi fataki ... ..... ....... ......... wadada kimeo sisita du mtoto geti kali mlupo mung'ayembe .......... ......... ............ Tuviendeleze tuone timu gani wana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
duu!kesho kiama,yaan kesho picha linakwisha,"the end "mchungaji wa marekani huyo,mwaka huu naona watumishi wa bwana wanafunuliwa sana mambo makubwa,babu Loliondo full matibabu,na huyu mchungaji...
0 Reactions
52 Replies
4K Views
Kuna bwana mmoja alikuwa ameajiri msichana wa kazi kutoka kijijini, sasa kuna siku moja baada ya kupata msosi akaomba toothpick. mazungumzo yalikuwa hivi:- Baba: Dada naomba toothpick (stick)...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
...na hawa nuns nao, pengine walikuwa na mazungumzo machafu pia
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Mmarekani, Mjapani na Mtanzania walikutana chuo Kikuu cha Harvard wakaanza kutambiana kuhusu uchaguzi katika nchi zao. Mmarekani akajigamba kwa kusema sisi wamarekani tukishapiga kura, kura...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hivi karibuni vyombo vya habari viliripoti mgogoro katika kanisa moja la kianglikani lililopo Ukonga Dar es salaam. Mgogoro huo unatokana na waumini kumkataa kiongozi wa kanisa. Ktk jitihada za...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ukipewa namba zinazofuatana katika series yenye constant interval between one number,the previous number and the next number,ni rahisi sana kuzijumlisha,tuanze na idadi witiri ya namba...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
dah,kama vp tuwaenzi wale maticha wanokoooo,kwenye level zote angalao kwa kuwataja majina tu Ndetiyo'mazengo primary 'huyu alikuwa akikuta sehemu yoyote lazima akuangushie stiki za hatari'...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
5+5+5=550,unabisha?duh! Sorry nimekosea,nimesahau mstari mmoja,umalizie basi ili equation yangu iwe sahihi.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hivi Mavi yananini??Kwanini??mtu akiyakanyaga hutadhani kakanyaga,mwiba au msumari tena wamoto jinsi atakavyokuwa anachechemea!!
0 Reactions
0 Replies
957 Views
kuna jamaa mojaa alikuwa ana ishi na mkewe,sasaa jamaa akawa anatabiaa ya kula kilaa siku saa saba au saa nane usiku....wife kavumilia,ikabidi amuulize.jo mbonaa kila siku unakulaa usiku sanaa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
leo nilikuwa nasikiliza redio moja wakawa wanasema babu kachangia sana maendeleo ya kijiji cha semumge ikiwa na pamoja kuwekewa minara ya sim za mkononi, na kujengewa barabara, wakauliza je hiki...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom