JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Unajua kwamba 80% ya kichwa chako ni maji? Na ndio yanawezesha akili kufanya kazi ipasavyo. Kwa hiyo nikikuita kichwa maji si kwamba nimekutukana bali nitakuwa nimesifia uwezo wa akili kichwani...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Saa ya ukutani ya bwana khalifa iliishiwa betri kisha ikawa haifanyi kazi.Khalifa alitoa betri zilizokwisha na kuweka mpya kwenye hiyo saa,kisha ikaanza kufanya kazi.Lakini saa ya khalifa...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Hivi utaratibu wa kutoa au kutunuku PhD ya heshima ukoje? Hivi hao wanaotoa hiyo PhD ya heshima kama waliweza kuwapa akina fulani wanashindwaje kumpa Babu wa Loliondo?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Vijana wawili katika harakati za kutafuta kazi, waliingia kwenye Mahojiano ya kazi, marafiki wawili hao walikuwa wakisaidiana mambo mbalimbali ya kimaisha walikubaliana aingie mmoja ambaye yuko...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
1) Mfa maji?… tampa life jacket hiyo. (2) Mwenda pole?…tachelewa fika hiyo. (3) Usipoziba ufa ?…mizi taona mpaka dani. (4) Usilolijua?…uliza google.com. (5) Mbio za utelezini?…chafua guo yako...
1 Reactions
3 Replies
4K Views
A man suffered a serious heart attack while shopping in a store. The store clerks called 911 when they saw him collapse to the floor. The paramedics rushed the man to the nearest hospital where...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
madent kwenye shule moja ya kike wakiwa kwenye paper la biology, moja ya swali lilikuwa ni kuchora sehemu ya kike na kuilebel,maana ni kiungo cha uzazi! dent mmoja akiwa shallow mbaya kumbe...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Siku ya matanga mtoto mmoja jirani alikuta chakula na vinywaji vimekwisha,kila alipojaribu ili pate hata kiduchu akaambiwa na watoto wenzie hakuna akatoka analia huku akiwaonya baba yake akifa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
:dance:Two men went to a call girl.1st man went in and came out and said"Nah! My wife is better."2nd man went im and came out and said."Your right your wife is much better."
0 Reactions
1 Replies
992 Views
Pastor: "If there is anybody here that does not want this couple to be joined together in holy matrimony, he or she should speak out now." A man from the extreme of the church stood up and walked...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
0 Reactions
0 Replies
992 Views
1.Both words have the same letters 2.Both are drinking zones 3.Both have restricted times for opening & closing. 4.More importantly, both make men crazy when open! Unabisha????
0 Reactions
5 Replies
1K Views
1980 - Love Me, But Don’t Touch Me 1990 – Touch Me, But Don’t Kiss Me 2000 – Kiss Me, But Don't Do Anything Else 2005 – Do Everything with me, But Don't Tell Anybody 2011...
0 Reactions
1 Replies
835 Views
Mimi nakumbuka wakati mdogo nipo darasa la nne (4) nilienda jikoni nikaiba mandazi matatu nikapanda kitandani ili nile yale mandazi huku nimejilaza kitandani usingizi ukanipitia. asubuhi Mother...
1 Reactions
126 Replies
16K Views
University students waliingia kwenye quiz ya kuongea,two friends ambao walikuwa wakisaidiana walikubaliana aingie mmoja ambaye yuko vizuri kichwani ili akitoka ammezeshe mwenzie. Kwakuwa muda...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ukitaka ufaidi raha ya ngono usifanye na polisi atakuambia 'mikono juu'. Wala usifanye na mhasibu atakuwambia 'na huku lazima ubalansi' au nesi atasema 'mwengine ingia' nakushauri mara zote ufanye...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kuna mpemba alipelekwa mahakamani, kwa kesi ya wizi wa muhogo. Yule mpemba alikuwa anaweka zogo sana mahakamani. Jaji akamwambia askari 'mpe chai' askari akampiga kibao. Baada ya ya dakika mbili...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hi everyone, I'm the owner of www.itsdar.net and i'm currently looking for contributers for the blog. anyone living in Dar and has a decent camera, even if its with a mobile phone (the quality has...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari zilizothibitishwa na mmoja wa wanafunzi wa udsm ambaye amewahi kufuatwa na nape zinasema katibu huyo mwenezi ametafuta vijana ambao tayari wameanza kazi rasmi hapa jamii.Kazi yao ni kuleta...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Binti mmoja wa miaka tisa alikuwa kapanda juu ya mwembe akiangua maembe, kijana mmoja jirani yao ambaye kahamia mitaa hiyo hivi karibuni akawa akipita chini ya mwembe huo na kumuona, akamtaka...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom