Unajua kwamba 80% ya kichwa chako ni maji? Na ndio yanawezesha akili kufanya kazi ipasavyo. Kwa hiyo nikikuita kichwa maji si kwamba nimekutukana bali nitakuwa nimesifia uwezo wa akili kichwani...
Saa ya ukutani ya bwana khalifa iliishiwa betri kisha ikawa haifanyi kazi.Khalifa alitoa betri zilizokwisha na kuweka mpya kwenye hiyo saa,kisha ikaanza kufanya kazi.Lakini saa ya khalifa...
Hivi utaratibu wa kutoa au kutunuku PhD ya heshima ukoje? Hivi hao wanaotoa hiyo PhD ya heshima kama waliweza kuwapa akina fulani wanashindwaje kumpa Babu wa Loliondo?
Vijana wawili katika harakati za kutafuta kazi, waliingia kwenye Mahojiano ya kazi, marafiki wawili hao walikuwa wakisaidiana mambo mbalimbali ya kimaisha walikubaliana aingie mmoja ambaye yuko...
A man suffered a serious heart attack while shopping in a store. The store clerks called 911 when they saw him collapse to the floor. The paramedics rushed the man to the nearest hospital where...
madent kwenye shule moja ya kike wakiwa kwenye paper la biology,
moja ya swali lilikuwa ni kuchora sehemu ya kike na kuilebel,maana ni kiungo cha uzazi!
dent mmoja akiwa shallow mbaya kumbe...
Siku ya matanga mtoto mmoja jirani alikuta chakula na vinywaji vimekwisha,kila alipojaribu ili pate hata kiduchu akaambiwa na watoto wenzie hakuna akatoka analia huku akiwaonya baba yake akifa...
:dance:Two men went to a call girl.1st man went in and came out and said"Nah! My wife is better."2nd man went im and came out and said."Your right your wife is much better."
Pastor: "If there is anybody here that does not want this couple to be
joined together in holy matrimony, he or she should speak out now."
A man from the extreme of the church stood up and walked...
1.Both words have the same letters
2.Both are drinking zones
3.Both have restricted times for opening & closing.
4.More importantly, both make men crazy when open!
Unabisha????
1980 - Love Me, But Dont Touch Me
1990 Touch Me, But Dont Kiss Me
2000 Kiss Me, But Don't Do Anything Else
2005 Do Everything with me, But Don't Tell Anybody
2011...
Mimi nakumbuka wakati mdogo nipo darasa la nne (4) nilienda jikoni nikaiba mandazi matatu nikapanda kitandani ili nile yale mandazi huku nimejilaza kitandani usingizi ukanipitia. asubuhi Mother...
University students waliingia kwenye quiz ya kuongea,two friends ambao walikuwa wakisaidiana walikubaliana aingie mmoja ambaye yuko vizuri kichwani ili akitoka ammezeshe mwenzie.
Kwakuwa muda...
Ukitaka ufaidi raha ya ngono usifanye na polisi atakuambia 'mikono juu'. Wala usifanye na mhasibu atakuwambia 'na huku lazima ubalansi' au nesi atasema 'mwengine ingia' nakushauri mara zote ufanye...
Kuna mpemba alipelekwa mahakamani, kwa kesi ya wizi wa muhogo. Yule mpemba alikuwa anaweka zogo sana mahakamani. Jaji akamwambia askari 'mpe chai' askari akampiga kibao. Baada ya ya dakika mbili...
Hi everyone, I'm the owner of www.itsdar.net and i'm currently looking for contributers for the blog. anyone living in Dar and has a decent camera, even if its with a mobile phone (the quality has...
Habari zilizothibitishwa na mmoja wa wanafunzi wa udsm ambaye amewahi kufuatwa na nape zinasema katibu huyo mwenezi ametafuta vijana ambao tayari wameanza kazi rasmi hapa jamii.Kazi yao ni kuleta...
Binti mmoja wa miaka tisa alikuwa kapanda juu ya mwembe
akiangua maembe, kijana mmoja jirani yao ambaye kahamia
mitaa hiyo hivi karibuni akawa akipita chini ya mwembe huo na
kumuona, akamtaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.