Unajua moja ya burudani kubwa humu JF ni majina bandia ya watu na tu-avatar vyao.
Kwa mfano:
Bubu ataka kusema
Msemaovyo,
n.k
Mod unaweza kutupa (paste) hiyo list yote hapa tuvunje mbavu...
Tunajua kuwa duniani kuna wanawake na wanaume!
Hakuna maendeleo yanayoletwa na kundi moja!
Na kudharau kundi moja ni kupunguza kasi ya maendeleo!
Sasa, hapa2 home of great thinker kauli kama...
DO NOT CHEAT AND LOOK AT ANSWERS!!!
WORLD'S EASIEST QUIZ
(Passing requires only 4 correct answers)
1) How long did the Hundred Years' War last?
2) Which country makes...
Habari ambazo hazijathitishwa zimeaarifu kuwepo kwa jaribio la kutaka kumuua Rais wa wananchi Dr wa Ukweli Slaa ,ninaposema rais wa watanzania nina maanisha Dr Slaa ,Kikwete ni Rais wa kichina...
Mwenyekiti wa serikali ya kijiji hicho, Matena Mwikwabe alidai kuwa wananchi wamekosa imani na Serikali ya CCM kutokana mfululizo wa matukio tangu ndugu zao walipouawa. Diwani wa Kata ya...
Mzee mmoja alitokea kumwamini sana mkewe ya kwamba si malaya. Ingawa kuna baadhi ya watu walimuhakikishia kuwa kuna jamaa huwa anamchukua na kwenda nae guest house hakuamini.
Siku moja wakati...
Kuna siku mjapani alikwenda kuomba kazi katika moja ya kampuni kubwa za kibongo.mambo yalikuwa mambo baada ya mjapani kuanza kuhojiwa: afisa mwajiri alimuuliza jina lako nani na unatokea nchi...
Tumeongozwa na Ben kwa miaka 10! Kwa kipindi chote sijawahi sikia wala kuwaona watoto wa ben. Hata kama nimesikia ni kwa bahati mbaya. Tumesikia wa nyerere, mwinyi, jakaya. Lakini ben! Au vipi...
Chama cha mapinduzi kinaelekea ukingoni mwa maisha yake kisisa. Hii inatokana na ukweli kwamba chama hiki hakina umakini wowote na raia wake tena saula ambalo limewakatisha raia tamaa na si kukata...
Siwasikii tena makada hawa wawili wa CCM katika harakati hii ya kujivua gamba kwa chama chao.
Nini kimewafunga midomo? Sitta kukosa uuspika au Malechele kushindwa ubunge? Au wameona kushindana na...
Niliwashangaa mlio andika jana na kunishambulia kwa u junior wangu ila ukweli ni kwamba wamechakachua my first acc,kama hamtaki watu wa ccm humu ndan mseme....KIDUMU CHAMA TAWALA
Pindi kimeisha toka sa sita ila lecturer kakomaa bado anafundisha tuu, afu mi natakiwa nkapitie mara ya mwisho notes coz nina pepa badae, cjui niinuke ntoke?
Dear Sir/Madam,
I refer to the recent death of the Technical Manager at your company and wish to apply for the replacement of the dead manager.
Each time I apply for employment I am told there...
From Yaoo friends
Which is the most Dangerous
Letter in English ??
The Answer is "W"...as in Wrong
"W" is a tension generator...
because all the worries and troubles get begins with...
Habari za asubuhi wapendwa,
Leo nimeamua kuja na swali hili kutaka kujua shimo gani la barabarani linalokukera. Mimi binafsi nakerwa sana na shimo lililopo makutano ya barabara ya bibi titi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.