JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Mbauda, Kwamromboo-Arusha... Mashati-rombo... Matejoo-Arusha... Tupia lako
9 Reactions
1K Replies
257K Views
Huu mwezi una nguvu kubwa sana katika maisha ya viumbe hapa duniani. Na hasa unapokuwa full/ mzima kama ulivyo sasa mpaka binadamu hushawishiwa na nguvu zake. Mwanamke hakika huu mwezi ikiwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hivi ni kwanini Ukienda Pub, Lounge au Bar kama hutumii kilevi wahudumu wanakuona kama Takataka? Ina maana sisi tusiotumia Vilevi hatutakiwi kupata refreshment.
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Mwanamke unakubaliji kuolewa na hawa jamaa waendesha bodaboda ni wambea sana wafitinishaji ndio maana hayafanikiwagi
7 Reactions
25 Replies
2K Views
Kuna watu sijui hatuna hoja zenye nguvu au ni gundu, kila uzi unakosa wachangiaji [emoji1787][emoji1787] Hopefully hata huu utabuma tu.
16 Reactions
37 Replies
2K Views
Wakuu kwanza mimi siyo mlevi, Ila Hakuna watu wenye ubinadamu kama walevi. Anzia wachungaji, maaskof mpaka polisi. Ukipata shida fulani watafute kwanza walevi. Walevi wa pombe, bangi n.k...
11 Reactions
56 Replies
3K Views
Kuna mjadala ambao sijawahi kupata jibu la uhakika. Inasemekana kuna kabila na wamasai na kuna kabila la Waarusha. Je, ukweli ni upi kwa wanaofahamu.
0 Reactions
34 Replies
12K Views
Kama unamatatizo na unaona aibu kusema kwa Ndugu yako na kumueleza ukweli, jua basi huna matatizo wewe, hujakutwa na Matatizo bado.
0 Reactions
6 Replies
428 Views
Huwa nashindwa kuelewa kabisa vijana wa kiume wenye tabia ya kublock!! Mkipishana kidogo block!! Nahisigi ni wale dada zetu……
5 Reactions
58 Replies
3K Views
Kwa ufupi hakuna pesa nzuri kama ya kwako binafsi, najua starehe inahitaji pesa ila ukiwa ukiwa na pesa yako mkononi mambo yote safi..
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Nasikia kumbe aliyekuwa Rais wa Marekani Barrack Obama alikuwa Shoga ( Gay ) ila kumbe yule tuliyekuwa tunadhani ni Mkewe Michelle Obama hakuwa Mwanamke bali alikuwa ni Mwanaume na inasemekana...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Jamani hill ndio swali langu mwenye kuweza kutoa majibu afanye hivyo. Msinulize maswali please.
1 Reactions
42 Replies
4K Views
Asalam aleykum ..wakuu Natumain nyote kwa ujumla wazimaa na kam kuna ambae anaumwa M/Mungu amponyeshe🙏 Nilikuwa na maswali mawili najiuliza sana na sipati majibu kwa kweli nimeona niwaulize...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Jana nimeweka uzi humu nikihoji kwanini ofisi nyingi za ujenzi kwenye wilaya au manispaa hazipo ktk mwonekano mzuri? Kuanzia majengo. Je serikali haioni?
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Tuwe tunakutana siku zote za mechi kali Tudiscuss mambo mengine tofauti na mpira,Sio lazima wote tuwe mashabiki au mnaonaje jamani....We kama Shabiki wa mpira huu Uzi upite ukiwa umesimama...
5 Reactions
26 Replies
1K Views
WATANIKUMBUKA SANA Hivi nipo njiani narudi zangu jijini Dar es Salaam natoka mjini Mwanza ambako nimekaa kwa kipindi cha mwezi mzima Hotelini. Mwanza nilikuwa kikazi na katika kipindi chote hicho...
2 Reactions
4 Replies
466 Views
Eti tunamchanganya Mungu
0 Reactions
4 Replies
487 Views
Poleni wanaume wote ambao wake zenu wako mbali nanyi. Hakika mnaibiwa sana. Weekend hii ni zamu ya wanaume wa Dar ambao wake zao wako mikoani. Mmoja wa wanaume hao atachapiwa weekend hii, maana...
1 Reactions
39 Replies
2K Views
Huyu demu/changu alikuwa mzuri kweli kweli, akikaa Mbagala japo sina hakika kama alikuwa anajua uzuri wake. Alishanigandishaa huyu manzie nikisubiri jamaa limalize nipige kumbe jamaa kachukua...
10 Reactions
125 Replies
25K Views
Uhuru umepita kiwango Hivi maji kutoka kwenye mabomba bila kukatika ni kuzidisha uhuru kwa wananchi hii haikubaliki. Lazima mgao uwepo na watu wakatafute maji huko mitaani. Mambo ya kudekadeka...
0 Reactions
5 Replies
508 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…