Kuna mzee fulani mwenyeji wa Mbeya alikuwa anajitahidi sana kuwahusia mabinti zake wawe na maadili mema na kila mara alikuwa akijisifia kwa wenzake kuwa binti zake si kama wa wenzake: si malaya...
Eti kisa cha Pweza (Paul) kufariki aliambiwa atabili ni lini Tanzania itafika kombe la Dunia? Akazimia mara 3 alipozinduka akakuta wameleta na jez kabisa atabili vizur akizimia tena na mauti kumkuta.
The American book - How to Make Bigger And Better Elephants or: There's Money in Elephants
The Canadian book - Elephants: A Federal or State Issue?
The English book - Elephants I have...
Katika kijiji cha **** wananchi walijengea kisima cha kijiji Wakati wa uzinduzi wa kisima hicho Mh:Mizengo Pinda akaalikwa kuwa mgeni rasmi. Wakati akionyeshwa mandhari ya kijiji hicho akapelekwa...
Mtoto ana ndoo moja yenye ujazo wa lita 5 na ndoo moja yenye ujazo wa lita 3.Yupo kisimani anataka kupima lita 4 za maji.msaidie jinsi ya kupima hizo lita 4 kwa kutumia ndoo zake mbili.
Ntoto weyee wallahi wanimaliza, unrefu kama nkarafuu, mashallah wang'ara kama embe boribo, nywelezo zinnyooka kama kamba za mibungo, kifua kintuna kama nazi koroma, miguuyo injaa kama ndizi ya...
Nimemtembelea rafiki yangu mmoja nyumbani kwake maana alinialika kwenye sherehe ya mtoto wake wa kiume kutimiza umri wa miezi sita. Nikashangaa kukuta Lori aina ya fuso linateremsha shehena kubwa...
Wana Jf Naomba kuuliza swali
kwani tumeone viongozi wa baraza la mawazili karibu wote wamegonga kikombe cha BABU,sasa swali langu ni kuhusu Mh Raisi wetu Jakaya Kikwete ni kweli amepata kikombe...
Wakiwa kwenye mazoezi ya kuogelea, walimu walipata shida na mtoto mmoja wa kabila fulani kwani alikuwa analia sana akidai kuwa hawezi kuogelea kwa kuwa anaogopa kufa.
Mwalimu mmoja kwa kuwa...
Jamani nasikia eti wenye Hospital wanakosa kipato na karibu zitafungwa kwa kukasa Wagonjwa, hivi ina maana magonjwa nchini yamepungua ama yameisha ? pia wale waendesha maombezi nao wanalalamika...
hawajamaa kama utakua umewafuatilia kwa uhakika utagundua ni frimason live,angalia mazingira wanayoshinda na magoli wanayofunga utaamini kunakitu hapo,sio suala la kuacha kulijadili,tena hawa...
Jee nikwa nini tusiwe na vijana wetu wenyewe ktk JWTZ Zbar Badala ya makambi yote kujaa Wakuria?
Mimi nahisi hii ndio kutawaliwa ki-Jeshi na watu tusio wafahamu wala wasio na asili ya Zanzibar...
Kuna Mkulima ktk kijiji fulani alikuwa anasumbuliwa sana na panya, ili kujikwamua na tatizo hilo,akaamua kutega mtego na badala ya panya kunaswa, akanaswa nyoka, mara kuku akatokea na nyoka...
Babu Ambi wa Loliondo aliwaambia wagonjwa wakae kwenye mistari....wale wenye ukimwi mstari wao na wale wenye kisukari pia mstari wao. Watu wote wakajaa kwenye mstari wa wagonjwa wa kisukari...
Baba alimwambia mtoto wake, chukua hii sh. 500/=usimwambie mama yako kama nimelala kwenye chumba cha house girl.
Mtoto akasema, "Baba wewe ni bahili sana, mbona mama alinipa sh. 1000/=...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.