JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Not you.....you! 1 April.....not for great thinkers.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani nimeoteshwa sasa hivi, ndo nimeamka niwaambie. Nimeoteshwa nichemshe kunguru akiwa hai kwenye chungu kikubwa halafu nichanganye na mavi ya nguruwe. Supu inayopatikana hapo ni dawa ya...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Fools day ni siku katika siku ninazozichukia sana hasa kwa wale ambao hawajui jinsi ya kuitumia. Siku itumie kudanganyana nyinyi wenyewe yaani mtu kwa mtu na sio kuliambia taifa swala la msingi...
0 Reactions
0 Replies
916 Views
Leo saa 6 mchana babu atakuwa viwanja vya Jangwani Dar es salaam akitoa kikombe kwa wenye shida wote. Babu ameamua hivyo kusherehekea siku ya leo na kurahisisha huduma kwa wananchi. Kikombe...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
kwa miaka ya hivi karibuni kumeibuka makanisa kibao ambayo theme yao kubwa ni uponyaji wa magonjwa mbalimbali waliyonayo bin adamu. sasa mimi swali langu ni kwamba hivi haya makanisa yamekuwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nimeshitushwa na habari kwamba chadema kimefutwa rasmi, naomba wenye taarifa zaidi atupe hapa. Source Gazeti la kasi mpya la leo
0 Reactions
24 Replies
3K Views
1) Nakumbuka wakati mi mdogo kutoka angani kulipeperushwa karatasi zenye picha ya Mwalimu Nyerere wakati huo akiwa Rais. Picha hiyo ilikuwa ikimuonyesha Rais akiwa ameshika kichwa huku akionyesha...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habarini za asubuhi wana JF!!!!!! Leo ni sikukuu ya wajinga muwe makini msije ingizwa chaka kama sio vyoo vya kike/kiume!!!!!!! Nawatakia siku njema!!!!!!
0 Reactions
1 Replies
999 Views
Katika kuonyesha kuwa masharti ya babu hayajafuatwa DR wa uongo leo asubuhi ameanguka tena kwa kilichoelezwa kuwa baada ya kunywa dawa hakutoa ushuhuda. Source: msaidizi wake-...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
niaje waungwana? Kwa muda mrefu nimekuwa nikifuatilia mijadala mbalimbali hapa jf. Hii forum naikubali sana kwani ni ya ukwe-eh 7bu robo ya siku huwa najikuta nakuwepo hapa maana hapa huwa...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
By DAILY NEWS Reporter, 31st March 2011 @ 20:00, Total Comments: 0, Hits: 302 VETERAN CCM politician and East African Cooperation Minister Samuel John Sitta on Thursday announced that he was...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Huku hali ikiwa si shwari ndani ya chama cha mapinduzi (CCM) aliyekuwa spika wa bunge la tisa na waziri wa ushirikiano wa Afrika Mashariki mh. Samuel Sitta inasemekana amejiunga na chama cha...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Roho ya ndoto za kutibu magonjwa sugu imeendelea kutenda kazi baada ya bibi mwingine hii leo kujitokeza huko Mwanza. Habari hizi nimekuta zinafikia mwisho hapo WAPO FM.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kuna babu wa Mbeya, yuko maeneo ya Sae. Kuna babu wa Tarakea, Mpanda nako kaibuka babu kwenye pori la Katavi anagawa dawa kama babu wa Loliondo. Je ni wapi taifa linakoelekea? Je tunasonga mbele...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Mimi S.L.P 0000 Hapahapa YAH: MAOMBI YA KUSHEA MAPENZI NA BWANA AKO/MKEO. Rejea kichwa cha habari, mimi ni msichana/mvulana mwenye umri wa kutosha tu na mtanzania halisi. Naomba kushea mapenzi...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
WanaJF leo ni siku ya wajinga jinga hivyo kuweni makini na ujumbe wowote au taarifa yeyote utakazopewa..usikurupuke na kuzifanyia kazi bile kupata uhakika na ukweli wa jambo/tukio/taarifa au ujumbe.
0 Reactions
0 Replies
942 Views
(a)utamuwekaje twiga ndani ya jokofu(fridge)? (b)utamuwekaje tembo kwenye jokofu? (c)kulikuwa na mkutano na wanyama wote walishiriki kasoro mmoja,we unadhani...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Msajili wa vyama vya siasa nchini John Tendwa ameamua kukifuta chama cha mapinduzi kutokana na chama hicho kukumbwa na mgogoro wa ndani uliosababisha amani kutoweka ndani ya chama hicho.Haya...
0 Reactions
0 Replies
839 Views
Babu wa Loliondo kutoa vikombe Jangwani Imeandikwa na Waandishi Wetu, Dar na Loliondo; Tarehe: 31st March 2011 @ 23:30 Imesomwa na watu: 253; Jumla ya maoni: 0...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Back
Top Bottom