MCHUNGAJI Ambilikile Mwaisapile Babu ametua Dar es Salaam kutoa huduma yake ya tiba ya kikombe kwa muda akisubiri eneo lingine kubwa zaidi aliloahidiwa na Serikali.
Babu aliwasili Alhamisi...
Nina rafiki yangu ni waziri katika serikali ya Mh JK. Wiki iliyopita nilipishana na gari lake kwenye majira ya saa tisa usiku nikashangaa. Nilipompigia simu kumuuliza kulikoni na gari ya serikali...
African court on human and peoples' rights accuses regime of killing peaceful demonstrators
Thursday 31 March 2011 21.44 BST
A Gaddafi supporter in Misrata. The regime is accused of human...
Wananikera sana wanaojifanya watetezi wa haki za watoto. Haki ya mtoto hapa iko wapi??............... akikojoa kitandani
anachapwa, ila mtu mzima akitaka kukojoa, anapigwa mabusu motomoto...
ni baada ya tume mbalimbali.
1). katika idara ya fedha
fedha alizopata babu.kwa siku hutibu watu 24000 @500 shs mara siku 65=780,000,000.
2). watu aliotibu.
24,000 kwa siku mara...
jamani hizi njaa zinatupeleka pabaya na hawa viongozi wetu inaonekana ni hopless mandazi. Bibi mwingine yupo mtwara katk kijiji alichozaliwa mkapa naye anagawa kikombe kwa jero jero. Mpaka jioni...
Mfugaji wa kasuku alimrudisha kasuku kwa muuzaji ili ampe mwingine kwani anatukana sana,
Muuzaji kampa mwingine na kumwambia huyu mstaarabu ten akinyanyua mguu wa kulia anaongea kiingereza, wa...
Karume baba alitembelea gerezani kwa nia ya kutoa msamaha kwa wafungwa ambao makosa yao hayakuwa makubwa. Kila mmoja akaeleza kosa lililomleta pale kama kuiba kuku, kumtukana jirani. Ilipofika...
Nimesikiliza hii video ambayo imetundikwa kwenye Youtube. Msikilize mzungumzaji wa pili akizungumzia Rais JK kupata kikombe cha Babu. Je ni kweli?
Nawasilisha.
As alaykum.Naitwa Ally, ni mwalimu shule ya sekondari serikalini,umri ni miaka 25.Natafuta mke wa kumuoa Serious! Awe na sifa:
*Muislamu Mchamungu
*Asizidi miaka 22
*Awe amehifadhi Quran Tukufu...
Padri na shekhe walikutana kwenye ndege, Padri akamkaribisha shekhe kitimoto,shekhe akasema si hatulagi, padri akasema mnakosa uhondo.
Wakati wa kushuka shekhe akamwambia padri msalimie mke...
Mtoto mmoja wa kichina, Yu U. Chi, alihamia Marekani na wazazi wake . Siku ya kwanza ya darasa, baada ya mwalimu kumtamblisha akasema.
Leo tujikumbushe kidogo historia ya Marekani. Nani alitamka...
Mzee saidi kasindikizwa na mkewe hadi kituo cha basi kuwahi safari.mkewe aliporudi home saidi alikumbuka amesahau CV yake ikabidi airudie.kufika nyumbani kampata mkewe anaosha vyombo na kutaka...
kati ya maswali ambayo huwa najiuliza na sipati jibu ni-kwanza,vipi sumatra wanashindwa kudhibiti daladala kujipandishia nauli kiholela- hasa jijini dar? pili; hivi wakati wa mwaibula hakukuwa na...
jamani hizi njaa zinatupeleka pabaya na hawa viongozi wetu inaonekana ni hopless mandazi. Bibi mwingine yupo mtwara katk kijiji alichozaliwa mkapa naye anagawa kikombe kwa jero jero. Mpaka jioni...
Hana miguu lakini anasimama...
Hana mikono lakini anachapa watu wazima mpaka wanalia...
Ni mdogo kiumbo,lakini akikasirika anaongezeka ukubwa..
Ana jicho moja,lakini usiku kwenye giza anaona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.