JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
A guy had a bad case of hemorrhoids, so he decided to go see his doctor. The doctor says, "It's not too bad, you just need to put these suppositories up your ass. I'll give you the first dose, and...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Msinishangae. Nina miaka 33, single, Msomi, Digrii ya Engeneering ninayo. Mtanashati sana, usafiri wangu ninao. Kazi pia ninayo. Natafuta mwenza, kipenda Roho mpenzi mwanzo, na mke wa baadae...
0 Reactions
113 Replies
12K Views
Hi wana jamii hamjamo? Nawasalimu pamoja na kwamba nilijiunga february 2011
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kama ilivyo kawaida yao, wao husema ni siasa au tumetumwa na vyama vya siasa.Ni kama miezi miwili tangu chuo cha elimu, chuo kikuu cha dodoma kifanye mgomo juu ya madai yao ya msingi kama...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Jamaa aliposa msichana hajawahi kuguswa na mwanamume Akaambiwa mahari milioni 5. AKASEMA KWA MSHAHANGO>Hee milioni 5?Wakati hapo jirani nimeambiwa laki 2 tu tena MWANAMKE MWENYEWE ANA MIMBA (BUY 1...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Askofu aliendesha harambee kuchangia ujenzi wa kanisa. Wakristo wakatoa Tshs 750,500 tu. Ghafla majambazi wakateka kanisa na kuamrisha kila mtu atoe alichonacho! Wakakusanya Tshs8,945,800 na...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Mnakaribishwa sana kwenye uwanja wa Biafra, Mwalimu Christopher Mwakasege anafundisha kila siku jioni mpaka jumapili ya tarehe 20, 03, 2011. Wote mnakaribishwa sana
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Sharobaro kajiunga na jeshi la wananchi, wamekaa mstari kwaajiri ya kukaguliwa gwaride, Afande akamfuata sharobaro akamuuliza ww mbona ujishughulishi, sharobaro akamjibu, Yooh Afande sijazoea...
0 Reactions
47 Replies
8K Views
SAASA NAOANAA KUNA HATARI YA KUCHELEWA KUNYWA MAJI YA BABU..EWE BOSI WANGU NAOMBA NIKUBALIE LIKIZO YANGU KAMA NILIVYOOMBA ANGALIA HAWA WABUNGE WANAVYOANZA KUPELEKA WATU WAO NA SIE WATUPA SIKU 7...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kuna kibwagizo cha wimbo mmoja kinaimba ...maisha ni foleni kila siku inasogeaaaa polepole,mwamini Mungu ipo siku utafanikiwaaa eee...nikiwa nausikia mwimbo huu napata furaha na uchungu kwa pamoja...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Katika hotuba zake zote nilizowahi kusoma na kuzisikia, sijawahi kuona Rais Jakaya Kikwete hata siku moja akitamka neno "mafisadi." Hata neno ufisadi nalo limekuwa ni nadra sana kutamkwa na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Heshima zenu wakuu, Nimekua nikifuatilia sana habari za babu yetu wa loliondo kwa karibu sana na nimejifunza mambo meengi sana baada ya babu yetu huyu kupewa 'maono' na kikombe cha 'uponyaji'. Mim...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ndugu mpendwa ukiwa mmoja wa wapendwa wanaoamini dawa kutoka kwa Mungu ya bwana Ambilikile tumeona mpaka sasa serikali aijaonyesha uwezo wake halisi kumsaidia babu huyu ikiwemo kusaidia miundo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
:cool2: nawapenda wote humu ndani :cool2:
0 Reactions
16 Replies
12K Views
Natafuta Rafiki wa kudumu. Awe na sifa hizi: 1.Mpole na mwenye hekima 2.Mcha mungu 3.Mrefu, mrembo na mtulivu 4.Afahamu vyema uhalisi wa maisha ya kitanzania 5.Awe na kazi,na elimu...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
It really amazes me how the whole nation can be fooled to believe that there is a cup that can cure several stubborn diseases (AIDS, diabetes, Pressure, etc) just by drinking it. Fellow Tanzanians...
2 Reactions
39 Replies
5K Views
Sinaraha kutokuwepo kwako amani sina moyoni. jameni faraja imepotea umepatwa nini ewe Michelle wetu janvini kupotea Japo Lizzy LD na Afrodenz. (Dena amsi punguza mchunguzi wewe). Finest. Uporoto...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Ati ukikuta wenzio wako foleni ukajifanya mbinafsi na kuwavuka, hata ukilamba kile ki-cup hauponi ng'oo!! ahh Babuuuuuuuuuuuu!! kweli wajinga ndio waliwao.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
MTOTO; Baba niletee glass1 ya maji ya kunywa, BABA; pumbavu unawazimu? Hebu njo ufate mwenyewe. MTOTO; Niletee bwana. BABA; Nitakuja hapo nikuchape vibao oooho! MTOTO; Basi ukiwa unakuja...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom