Nimekumbuka Hii MSN group ya kwanza kwanza kabisa kwa hapa Tanzania ambayo ilivuma sana kwenye miaka ya 2003/2005, hii Group ilisababisha watu wengi kuvujiana heshima baada ya kujafahamiana...
Mwakyembe anatafuta
Pepo chafu la kumdhuru
*Amesahau Mengi ni Barrick, Kilango hoi
KUNA chembe ya kutaka nafasi ya 'u-wokovu' na hata 'ufia dini' ambayo inaelekea inagombewa na baadhi ya...
Habari za kuaminika toka ndani ya Wanachama ngazi ya juu chama cha CCM inasema, wataalamu kutoka South Afrika walitumia ujuzi wao wa kuongoza Raia kwa kuwafundisha Serikali ya Tanzania kumtumia...
Jamani huu ni wivu wa kiimani au nini wadau?...huyu Mtu kumuonea wivu Babu anamaana gani. hebu ichekini hii taarifa ilyoandikwa na
Elizabeth Suleyman gazeti la mwnanchi....15 march 2011
Mtume...
A man, sitting outside his home about to be evicted from his house,
was contemplating how the future would be..
He had divorced his wife, lost his children, lost his job. He notices a crate of...
aagiza wastaafu wa jumuiya ya africa mashariki walipwe mara moja,na pia amtaka mkullo akaze buti kwenye makusanyo ya mapato...thanx to loliondo atleast someone is coming back to his senses
Mama mkwe: Binti samahani lakini,kusema kweli Huyu mtoto hafanani na kijana wangu kabisa.
Binti:Mama bila samahani, huku chini nina njia ya uzazi na sio mashine ya photocopy. :gossip:
My friend kanitumia email hii (Msijesema sijasema meitoa wapi bure...)
A famous heart specialist doctor died and everyone was gathered at his funeral. A regular coffin was displayed in front...
Mzee wakichaga uvumilivu umemshinda, baada ya kupigia hesabu mia tanotano za babu, kaingiwa na uchu kaamua kumtoa kijana wake wa pekee mwanafunzi kwenda kwa babu na kudai eti ni mtoto wa babu...
Mbona kila anaetetea dawa za huyu Babu wa LOLIONDO anaonekana kama ni mpenzi au Mkereketwa wa CDM? maana wote wanaotetea hiyo dawa ukifuatilia post zao nyingi utaona wameshabikia CDM!!!
Sasa...
Dear Staff,
Due to the current financial situation caused by the worldwide slowdown of economies, since the being of 2008, Management has decided to implement a scheme to put workers of 30 plus...
Mitambo ya Kampuni ya kufua umeme ya Dowans, tayari imeshauzwa nje (Cyprus) kinachosubiriwa sasa ni kumalizika kwa taratibu za kimahakama dhidi ya Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania (Tanesco)...
Thread sounds catchy eeh?
I'm afraid inaweza kuhamishwa kwa sababu it does not reasonate with the mentality ya watu humu which is quite rather sad
Nakumbuka the old JF used to have the likes of...
A SECTION of some Tanzanians, who were kidnapped by Somalian Pirates, wait for some protocol at Julius Nyerere International Airport (JNIA) after arriving safely in Dar es Salaam on Tuesday...
A young man was planning to get married and asked his doctor how he could tell if his bride is a virgin.
The doctor said, 'Well, you need three things. A can of red paint, a can of blue paint and...
Mzee mmoja wa kichagga tajiri kwa jina la MDAWA alipata ajali mbaya sana ya gari. Alipoteza fahamu na kupelekwa KCMC huku matumaini ya kupona yakiwa yametoweka kabisa. Kutokana na juhudi za...
Wapendwa yawezekana hata hili giza ni nguvu za giza..baada ya kamati ya makamba kutoa ushauri wake na kugusia wah waende loliondo kuombewa na babu..hivi sasa kuna mpango maalum wa menejiment...
Kuna rafiki yangu nilisoma naye shule ya msingi nikakutana naye jana na kuniambia ya kuwa kazi yake ni kuwafundisha wanyama mbalimbali jinsi ya kuongea na hata kupokea simu ndipo akanipa namba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.