JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Leo nimeona kituko hapa arusha. Kuna jengo linajengwa na NSSF hapa maeneo ya round about ya Florida. Hapa kuna njia inakatiza kwenda maeneo ya kaloleni na soweto gargen. Sasa imefungwa kwa kuwa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kuna mashine ya kukamata wezi ilitengenezwa. Ikapelekwa marekan ikakamata wezi 444. Ikapelekwa india ikakamata wezi 250. Ikapelekwa kenya ikakamata wezi 50. Ikaletwa tanzania. Unajua...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Sharobaro kaenda Loliondo si akapewa kikombe cha maji ya uzima na babu, akasogea chini ya mti kwa muda bila kunywa huku kashikilia suruali yake isianguke! mchungaji akamuuliza vipi mbona hunywi...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
mkuu wa takukuru dr HOSSEA, jana alitinga kwa babu kunywa dawa. baada ya kunywa dawa, babu akachukua kipaza sauti na kuutangazia uma kwamba kuna mgeni toka dar na kisha akampatia dr hossea, dr...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
1. Each player should furnish his own equipment for play - normally one club and two balls. 2. Play on the course should be approved by the owner of the hole. 3. Unlike outdoor golf, the...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jane and Arlene are outside their nursing home, having a drink and a smoke, when it starts to rain. Jane pulls out a condom, cuts off the end, puts it over her cigarette, and continues smoking...
0 Reactions
0 Replies
866 Views
A BMW asks a Volks Wagen Beetle " why are your eyes out of your body ? " She replied " let them put an engine in your ass and see what happens to your eyes
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ongezeko la wachina K/Koo ambao ni wamachinga litasababisha kuongezeka kwa machotara kedekede baada ya miaka 25, nahisi majina yatakuwa kama ifuatavyo. 1.Masawe ji sung 2.Donggwakisa shunhui 3.Hua...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Rose1980: namkumbuka sana huyu dada knye michango yake mizuri sana, muda mrefu sijamwona na kajicho ka kukonyeza naomba mwenye taarifa zake atujuze au kama kala ban tujue au yupo na id nyingine...
0 Reactions
57 Replies
6K Views
1. A murderer is condemned to death. He has to choose between three rooms. The first is full of raging fires, the second is full of assassins with loaded guns, and the third is full of lions that...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
For a couple of years now many Africans have been blaming and lamenting a lot for a lack of sleep, just simply because of too much pressure from job, poor blood, but now I found out the...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Salamaleko. Sisi ni wana maombi na ktk moja ya kazi zetu nikuliombea taifa sasa akuna kitu kibaya kama kuombea taifa ukijua kiongozi wako anaumwa na ujui anaumwa nini babu wetu wa...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Kweli magonjwa yako mengi na tunajua kila mtu anayekwenda kule kwa Babu Loliondo anataka kupata ile dawa ili apone maradhi sugu kama babu alivyosema kua dawa ile ambayo ameoteshwa na Mungu kama...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
KIJANA aliyejeruhiwa juzi na Simba huko Mbagala Kuzuiani amebainisha kuwa aliponzwa na fulana nyekundu aliyokuwa amevaa siku hiyo ya tukio. Akiongea akiwa wodini katika taasisi ya MOI Muhimbili...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kulikuwa na wagonjwa katka hospital moja wamekaa wanamsubili doctor atoke kula chakula cha mchana mara aliporud akaingia ndan na mgonjwa wa kwanza kwny bench akainuka na kuingia ndan walianza...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
kuna Jamaa ameoa, cku moja waligombana sana kiasi cha kutoongea.Ilipofika ucku walilala, lakini Jogoo wa Jamaa akawa anataka kupanda, shida ikawa atamwambiaje Mkewe, basi Jogoo akawa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
An elderly couple was just settled down for bed when the old man realized he left the lights on in the green-house out back. But then they heard voices- three men had broken into their greenhouse...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Babu: Kijana kunywa dawa. Sharobaro:Nangojea sukari baaaab! Babu: Siyo chungu Sharobaro:Nangojea Mrija meeen! Babu: Kijana hamna mrija hapa. Sharobaro: nangojea Cheers baaaab! Babu...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kuna jamaa ana Gari aina ya Pick up anapotoka ktk mizunguko yake huwa anampakiza mbwa wake mbele na Hboy wake nyuma basi leo akapata ajali na kufa papo hapo, ndipo Traffic ikabidi akamuulize jamaa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jamani kuna watu wanadhani JF ni ya siasa tu kwa hiyo tunaoandika udaku na utani na mengineyo wakati mwingine wanatuambia tusiandike upupu humu. Hapa silalamiki ila natoa angalizo kuwa tunaogopa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom