Little Johnny Jokes
Little Johnny sticks it out
The Little Johnny was 8 years old when his parents decided to have him circumcised. After a few days of recovery, the boy went back to school...
Tusker baridi upo mbona kimya sana , makonyagi naye simsikii au bado amelala????????? Special for you
Sometimes when I reflect on all the beer I drink, I feel ashamed. Then I look into the...
The man was called Danger because women were attracted by his handsomeness. He was the grand master of seduction. He dressed, laughed and even danced with a motive to attract women.
The man who...
Kwa heshima na taadhima naomba uweke hii habari hapa kwani sitaki tukio kama hili lijitokeze kwa mtu mwingine, naomba sana naomba sana, Juzi jumamosi tarehe 4/12/2010 tulikuwa na harusi ya...
Kuna jamaa kitaa alikuwa na tabia ya kula chabo, siku moja akawa anachungulia kwenye tundu kwa zamu yeye pamoja na mshkaji wake, baadae ikawa zamu ya jamaa jamaa kuchungulia kumbe mzee wa shughuli...
kulikuwa na watu kumi na moja wamening'inia kwenye kamba iliyoshikiliwa na helikopta,
kati yao mwanamke alikuwa mmoja .
Kutokana na uzito wao kuelemea kamba ikabidi washauriane ili mmoja wao...
Kulikuwa na shindano la familia yenye watoto 10 itapewa zawadi ya tshs milioni kumi..baba mmoja mwenye watoto tisa akamuita mkewe na kumuomba samahani kuwa ana mtoto wa nje mmoja hivyo akamchukue...
Marekani walitengeneza mtambo wa kugundua wezi,Wakafanyia majaribio kwa nchi nne za africa .
South Africa ulichukuwa siku saba ukakamata wezi wanne,
Nigera siku moja wakamatwa wezi 30...
Mtu mmoja anatafutwa na ghesi la bholis yeyote atakae muona atapata zawadi ya kunusa kikwapa cha mlevi wa mnazi au komoni na kifungo cha miaka 800 jela.huyu mtu ni mlefu kama nguzo za...
Why Women Shouldn't
Take Men Shopping.
After I retired, my wife
insisted that I accompany
her on her trips to Target.
Unfortunately, like most
men, I found shopping
boring and...
"Behind every successful man you'll find a woman who has nothing to wear." Harold Coffin...
"Success is often the result of taking a
misstep in the right direction." Al Bernstein...
Imekuwa ni kawaida wakati wa safari ndefu, dereva anasimamisha basi porini ili abiria wachimbe dawa.
Sasa siku moja nilikuwa nasafiri. Tulipofika kwenye kuchimba dawa, nikasikia katoto ka kiume...
Kibaka amekamatwa na wananchi wenye hasira, wanampa kisago cha nguvu.
Si unajuwa adhabu ya kibaka mtaani ni kifo ?
Akatokeo Mzito mmoja anayeheshimika mtaani, akaamrisha, "jamani nipeni mimi...
Leo jioni nikiwa ndani ya daladala kutoka Mwenge kwenda Makongo juu, Konda alikuwa anatangaza vituo kama kawaida ili watu wasipitishwe vituo vyao vya kushukia.
Kuna kituo kimoja kinaitwa CCM...
1: I am currently out at a job interview and will reply to you if I fail to get the position. Be prepared for my mood.
2: You are receiving this automatic notification because I am out of the...
Kuna jamaa mmoja alikuwa na tabia ya kutembea na ndugu wa wapenzi zake. Taarifa zikawafikia ndugu za mpenzi wake mpya ambae yeye kwa maelezo yake ndio alitaka kumuoa.
Sasa katika kulijadili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.