JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Jamani nipo hapa magomeni usalama kisuma bar nimekuja na Dada zangu wametoka mpwayungu dodoma nikawaambia waagize vinywaji mm naenda toilet. Sasa chakushangaza nimetoka maliwato Ile nafika wote...
17 Reactions
111 Replies
6K Views
Tuachane na kizungu maana wengi tutashindwa kujieleza..... JF watu tunafanganya saana....wengine huenda mbali na kuvaa uhusika usio wao hasa PM.... Utakuta mtu anamuimbisha mdada PM atamtajia...
15 Reactions
66 Replies
3K Views
Kuna huyu mdada wa kuitwa genecandy kwanza nahisi atakuwa ana rangi flani ya kisomali Kama chura wa kwetu kule singidani/kondoa au Kama masalia ya kiarabu ya lindi A.Nampenda Sana kilichovunitia...
7 Reactions
17 Replies
1K Views
Habari wakuu, Naomba msaada jinsi ya kuirudisha Ac I'd ya Jf ya zamani Nilijiunga toka mwaka 2015 lakini nimesahau password na email.
0 Reactions
4 Replies
504 Views
Heshima kwenu wakuu, Mimi nashangaa, unakuta mdada anatoka Arusha anaenda Mwanza kukaa siku nne au wiki moja, lakini atabeba begi kubwa ukipishana naye utafikiri anaenda Mbinguni na Mizigo yake...
6 Reactions
45 Replies
12K Views
Baada ya kuambiwa alicheka sana alafu akatikisa kichwa, akasema mpelekee na Mama Janeth aangaliye. Mama Janeth kakaa nayo anacheka. Magufuli akasema hebu rudisha huku bwana, na ninyi wanawake...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Kwanza kwa nini watu husema mwanamke hakopeshwi? Tuanzie hapo... Mimi binafsi nimenusurika kuuawa baada ya kuitiwa mwizi kisa tu kukumbusha deni langu. Aisee niliapa kutokopesha tena mwanamke...
0 Reactions
26 Replies
1K Views
Wasalaaam! Hapa nazungumzia zaid kwenye suala la kutongozana kati ya mwanamke na mwanaume. Katika harakat za maisha mm kama Demiss uwiiiii nimeshawakimbia sana wanaume baada ya kukutana na...
52 Reactions
2K Replies
98K Views
Na funga ndoa na mwanajami forum miezi ya karibuni. Njoo mishuhudie hatimae kijana anafungwa mazima. Intake. Humu alitokea jamaa akasema ni PM . Kuongea mbili tatu akanipa ndugu yake. Kuyajenga...
5 Reactions
9 Replies
683 Views
Kuna uwezekano baada ya miaka mitano Tanzania itakuja kuwa super power sio Africa tu bali duniani kote. Nchi kama China, USA, Russia zimeanza kuiangalia Tanzania kwa jicho la tatu hii imekuja...
0 Reactions
2 Replies
362 Views
jamani mie leo nimekumbuka enzi za skauti na chipukizi (zamani kila mwanafunzi ilibidi apitie chipukizi) nimekumbuka zile nyimbo na mazoezi tuliyokuwa tukifanya nimezikumbuka pia hizi 1...
1 Reactions
36 Replies
8K Views
[emoji2][emoji2] Sent from my M2103K19G using JamiiForums mobile app
2 Reactions
27 Replies
1K Views
Mayaya Jembeulaya – Harooo… hapo ni Ghasia? Inspekta Marwa – Ndiyo, Fidi Fosi mkoa wa Geita, mimi Inspekta Marwa, una shida gani? Mayaya Jembeulaya – Nimetoka Dsm nimekuta mtu anahujumu uchumi...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari WanaJF, Poleni na majukumu ya maisha. Kumradhi kama kuna uzi ulishawahi kuwepo wenye maudhui kama kichwa cha habari kinavyosema. Emb tukumbushe mambo/vitu/mitindo yaliyokuwa yakitia...
0 Reactions
1 Replies
363 Views
Salaam wakuu, Jamii Forum ina mambo mengi mazuri kuanzia mijadala ya siasa, makazi na ujenzi, hoja na habari, mahusiano, biashara nk nk. Niweke wazi nimekua addicted na JF muda mwingi nipo JF...
10 Reactions
16 Replies
1K Views
Ile unatoka zako chuo unarudi nyumbani mwezi wa kwanza unapita kuna vitu vinaanza kutokea. 1. Usb yako inakufa 2. Sendo zinakatika 3. Jeans yako pendwa inachanika 4. Cadet zinapauka 5. Unaachwa na...
34 Reactions
195 Replies
16K Views
Kuna vitu vinatatiza sana! Kwanini raha usijipe mwenyewe? Kwanini ufe na stress? Unagharamia mawasiliano Unagharamia usafiri Unagharamia vinywaji Unagharamia vyakula Unagharamia malazi/pa kulala...
16 Reactions
66 Replies
3K Views
.
0 Reactions
3 Replies
707 Views
Si Leo nimeota Beyonce kagombana na jayze kisa Mimi chochote kitu 🤣 Karuka ukuta Zaid ule wa mererani kuja kwenye geto langu. kaniahidi music anaacha kwa ajili yangu aje tukalime korosho...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari, Husika na kichwa cha habari, Huu uzi ni maalumu kwa kupeana maujanja ili kujua maeneo ya kula bata ndani na nje ya nchi na vituko vya bata batani. Pia kuelezana vinywaji, vyakula...
2 Reactions
25 Replies
3K Views
Back
Top Bottom