Hali ya Wanaume kugeuka pindi anapipita binti mwenye kutamanisha (hususan mavazi au maungio) imekuwa intrend sana hususan kwenye miji, baadhi hugeuka shingo ama hutumia njia mbadala ikiwemo hata...
Somewhere in Kigogo Sambusa....
Katika utulivu wa hali ya juu najiuliza haya maisha yangekuwaje bila kitimoto rost, ndizi mbili na kachumbari pembeni? Kungekua na mbadala wake?.... nikiwa ndani...
Diamond akisalimiana na mtasha kwa ishara ya Kifreemason.
Stori: Shakoor Jongo na Erick Evarist
SIRI imefichukua kuwa madai kwamba kichaa wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul Jumaa Diamond Platnumz...
Nyumbani ni sehemu ambayo katika jamii zetu ndio sehemu za kutukiliza akili,kufikria na kupanga mambo muhimu kuhusu maisha .
Kwa akili ya kawaida huwezi kujenga sehemu zote na nyumba...
Alpha, Beta, Delta, Gamma, Omega and Sigma
ALPHA: You are confident and your own man. you do your own thing and have complete confidence in everything you do. you have your self doubts, but you...
Ndugu zangu wana JF tumekuwa wote kwa mda Mrefu sana tukishare vitu mbalimbali
Nimefungua Account Twitter Kama familia ynagu ya JF Naomba mnifollow Mayunga234 Jina nalotumia JF ndilo nalotumia...
Sio mfuatiliaji wa tamthilia kabisa, sio kwa hapa nyumbani. Ila hii imenipa fundisho hili.
Sifahamu ni Nani mwingine ambaye atanufaika na haya lakini ninayo imani ya kuwa yupo hapa. Hivyo hiyo...
Siku kadhaa nyuma tuliona viongozi wakichomwa chanjo hadharani.
Hivi karibuni nilimpeleka mtu kuchomwa chanjo baada ya kampuni anakofanya kazi kuamuru hivyo. Zoezi lilikuwa likifanyika hadharani...
Wakuu The World Naked Bike Ride (WNBR) is an international, summer, clothing-optional cycling event that usually takes place in as many as 80 cities across 20 countries.
.
SAsa This year was no...
Aman iwe nanyi wakuu wa jukwaa katika bwana
Kama kichwa cha habali kinavyosomeka hapo juu
Kila binadamu hujiunga mtandao anaoupenda kwa wakati wake na sababu zake kuna wengine hujiunga mitandao...
Nilikuwa nikae mwezi lakini yamenishinda,kuoga kisimani kwenda haja kubwa au ndogo ni kwenye machaka unakuta hakuna chaka ni minazi mitupu ,usiku ukitaka kwenda haja ndio kindende.
Nimetaka...
WEWE NI NANI?
Kama mti uzaapo matunda basi ndio na sisi tunavyozaliwa.
Kuna matunda ambayo huotea chini na kuwa rahisi kuchumwa, haya hu represent wale watu waliobarikiwa kuzaliwa na...
Ukituliza akili ukaangalia maua, miti, mazao basi utagundua ina tabia tofauti ambazo zinavutia sana.
Mfano:
Lotus, hukua kwenye mazingira magumu sana ambayo usingetegemea kama kuna maua...
Kwa ulinzi wa Rais wa korea kaskazini bwana kiduku Leo tutajaribu kuzungumzia ukakamavu walionayo walinzi wake....
hawa mabwana naskia wanauwezo wa kukimbia na hii gari kwa maana ya kuwekea...
Habarini za mda huu ndugu zangu, kule Mbeya wilaya ya Kyela kata ya Ipinda kuna mwamba anatengeneza hii kifaa kwasabu nimeona nikasema nije kuwaeleza ndugu zangu ili badaye tusije laumiana kusema...
Utoto Ni Raha Sana jamani. Nakumbuka kipindi Niko mtoto nilikuwa active Sana kwenye michezo mbali mbali ya utotoni. Ila kina michezo hatari Sana ambayo tulikuwa tunashiriki Kisha iikatusababishia...
Tukumbushane kwa maneno ya wazee wetu,
Vitu brand vya busara nini Baba.
Babu yako au mtu yeyote yule alikwambia neno ambalo hadi leo unalikumbuka na linakusaidia hadi kesho.
Kwako mdau ebu tuweke je umewahi kushuhudia au kutokewa na kisanga kipi kwa awa madereva wa pikipiki yaani bodaboda ambacho uwezi kukisahau maishani mwako
Habari wakuu
Imepita takriba miaka kadhaaa toka niachane na JF kutokana na majukumu mbalimbali,
Sasa leo nmelog in ila nimejikuta naona aibu mwenyewe kwa nyuzi nilizokuwa na post sijui utoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.