JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Hali ya Wanaume kugeuka pindi anapipita binti mwenye kutamanisha (hususan mavazi au maungio) imekuwa intrend sana hususan kwenye miji, baadhi hugeuka shingo ama hutumia njia mbadala ikiwemo hata...
7 Reactions
29 Replies
4K Views
Somewhere in Kigogo Sambusa.... Katika utulivu wa hali ya juu najiuliza haya maisha yangekuwaje bila kitimoto rost, ndizi mbili na kachumbari pembeni? Kungekua na mbadala wake?.... nikiwa ndani...
13 Reactions
41 Replies
7K Views
Diamond akisalimiana na mtasha kwa ishara ya Kifreemason. Stori: Shakoor Jongo na Erick Evarist SIRI imefichukua kuwa madai kwamba ‘kichaa’ wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul Jumaa ‘Diamond Platnumz’...
1 Reactions
19 Replies
47K Views
Nyumbani ni sehemu ambayo katika jamii zetu ndio sehemu za kutukiliza akili,kufikria na kupanga mambo muhimu kuhusu maisha . Kwa akili ya kawaida huwezi kujenga sehemu zote na nyumba...
5 Reactions
30 Replies
2K Views
Alpha, Beta, Delta, Gamma, Omega and Sigma ALPHA: You are confident and your own man. you do your own thing and have complete confidence in everything you do. you have your self doubts, but you...
6 Reactions
59 Replies
3K Views
Ndugu zangu wana JF tumekuwa wote kwa mda Mrefu sana tukishare vitu mbalimbali Nimefungua Account Twitter Kama familia ynagu ya JF Naomba mnifollow Mayunga234 Jina nalotumia JF ndilo nalotumia...
3 Reactions
13 Replies
584 Views
Sio mfuatiliaji wa tamthilia kabisa, sio kwa hapa nyumbani. Ila hii imenipa fundisho hili. Sifahamu ni Nani mwingine ambaye atanufaika na haya lakini ninayo imani ya kuwa yupo hapa. Hivyo hiyo...
1 Reactions
0 Replies
491 Views
Siku kadhaa nyuma tuliona viongozi wakichomwa chanjo hadharani. Hivi karibuni nilimpeleka mtu kuchomwa chanjo baada ya kampuni anakofanya kazi kuamuru hivyo. Zoezi lilikuwa likifanyika hadharani...
0 Reactions
2 Replies
598 Views
Wakuu The World Naked Bike Ride (WNBR) is an international, summer, clothing-optional cycling event that usually takes place in as many as 80 cities across 20 countries. . SAsa This year was no...
4 Reactions
18 Replies
1K Views
Aman iwe nanyi wakuu wa jukwaa katika bwana Kama kichwa cha habali kinavyosomeka hapo juu Kila binadamu hujiunga mtandao anaoupenda kwa wakati wake na sababu zake kuna wengine hujiunga mitandao...
4 Reactions
136 Replies
7K Views
Nilikuwa nikae mwezi lakini yamenishinda,kuoga kisimani kwenda haja kubwa au ndogo ni kwenye machaka unakuta hakuna chaka ni minazi mitupu ,usiku ukitaka kwenda haja ndio kindende. Nimetaka...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
WEWE NI NANI? Kama mti uzaapo matunda basi ndio na sisi tunavyozaliwa. Kuna matunda ambayo huotea chini na kuwa rahisi kuchumwa, haya hu represent wale watu waliobarikiwa kuzaliwa na...
2 Reactions
2 Replies
376 Views
Ukituliza akili ukaangalia maua, miti, mazao basi utagundua ina tabia tofauti ambazo zinavutia sana. Mfano: Lotus, hukua kwenye mazingira magumu sana ambayo usingetegemea kama kuna maua...
1 Reactions
13 Replies
725 Views
Kwa ulinzi wa Rais wa korea kaskazini bwana kiduku Leo tutajaribu kuzungumzia ukakamavu walionayo walinzi wake.... hawa mabwana naskia wanauwezo wa kukimbia na hii gari kwa maana ya kuwekea...
0 Reactions
10 Replies
715 Views
Habarini za mda huu ndugu zangu, kule Mbeya wilaya ya Kyela kata ya Ipinda kuna mwamba anatengeneza hii kifaa kwasabu nimeona nikasema nije kuwaeleza ndugu zangu ili badaye tusije laumiana kusema...
8 Reactions
29 Replies
2K Views
Utoto Ni Raha Sana jamani. Nakumbuka kipindi Niko mtoto nilikuwa active Sana kwenye michezo mbali mbali ya utotoni. Ila kina michezo hatari Sana ambayo tulikuwa tunashiriki Kisha iikatusababishia...
6 Reactions
54 Replies
3K Views
Tukumbushane kwa maneno ya wazee wetu, Vitu brand vya busara nini Baba. Babu yako au mtu yeyote yule alikwambia neno ambalo hadi leo unalikumbuka na linakusaidia hadi kesho.
0 Reactions
52 Replies
3K Views
.
22 Reactions
947 Replies
29K Views
Kwako mdau ebu tuweke je umewahi kushuhudia au kutokewa na kisanga kipi kwa awa madereva wa pikipiki yaani bodaboda ambacho uwezi kukisahau maishani mwako
0 Reactions
27 Replies
2K Views
Habari wakuu Imepita takriba miaka kadhaaa toka niachane na JF kutokana na majukumu mbalimbali, Sasa leo nmelog in ila nimejikuta naona aibu mwenyewe kwa nyuzi nilizokuwa na post sijui utoto...
1 Reactions
9 Replies
831 Views
Back
Top Bottom