JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Natumaini hamjambo wana MMU Twende kwenye mada moja kwa moja. Je ni nini kilikufanya upoteze hisia/mapenzi kwa mtu mliependana sana?
1 Reactions
50 Replies
2K Views
Wengi wetu upenda kusema nikifikia hatua fulani ya maisha hakika nitafurahi, lakini ukumbuke siku hiyo hauijui, wala majira yake hauyajui na kwa kufanya hivyo hauwezi kuwa na furaha iliyo kamili...
6 Reactions
8 Replies
710 Views
Mida ya kusogelea viwanja unakaribia kufika. Mwanaume bila kuwa na ubavu wake wa kushoto, mapumziko huwa hayaendi vizuri. Mida ya jioni, ndio huwa mida mizuri ya mitoko kwa wanawake pamoja na...
8 Reactions
43 Replies
3K Views
Naam, nawapasha na weNzangu kuwa kwa macho yangu nimeshuhudia mwezi mtukufu umeandama. M/Mungu awajaalie funga njema.
7 Reactions
18 Replies
776 Views
Mambo vipi wana MMU, baada ya mishe mishe za kutwa nzima tufurahi na kucheka wote tuongeze siku za kuishi, Imagine upo town kwenye harakati zako ndani ya gari yako IST unaelekea kwako mara paap...
2 Reactions
18 Replies
1K Views
Leo mida flani nilikua kazini ghafla nikaskia haja yani hadi nikahisi naweza Jinyea leo Nikakimbia choo cha ofisini RRRRR nasukuma ndani mtu akakohoa Nikasema leo ndio leo Nafwaaa Haya toka...
5 Reactions
71 Replies
5K Views
Habari zenu Wana JF wenzangu! Kwa kujiunga ni new member lakini nimekuwa nikisoma nyuzi mbalimbali za mahusiano forum Toka 2014 Bila kulog in, nikafanya maamuzi nijiunge maana nimekuwa napata...
7 Reactions
110 Replies
6K Views
Ukizungumzia hii siku basi unazungumzia, siku ya kuwafanyia vibweka watu na vituko mbalimbali. Huadhimishwa tarehe moja April , kwa kufanya mzaha au kituko chochote mbele ya mtu au kumlaghai juu...
1 Reactions
8 Replies
476 Views
Unaona kabisa mtu amevaa engagement ring alafu bado unamtongoza. Hivi mnawazaga nini? Mnakua mnajaribu tu au kuna kingine mnawagazaga?
6 Reactions
63 Replies
3K Views
Habari zenu wadau, nadhani nisipoteze muda , Hapa kijiweni vatcan usiku wa jana kumetokea matukio mawili ya kutudharirisha wanaume, Jamaa flani akiwa amevalia jezi ya yanga hana hili wala lile...
8 Reactions
31 Replies
2K Views
Mzee wa Baraza Alikuwa Anasinzia Wakati Kesi ya Shambulio la aibu Inaendelea. Hakimu : Mlalamikaji ieleze Mahakama Alicho Kuambia Mshtakiwa. Mlalamikaji : Mheshimiwa Hakimu Maneno aliyonambia...
9 Reactions
14 Replies
3K Views
Kwa aliye nao, tafadhali naomba anisaidie. Ni huo unaoimbwa mwanzoni mwa clip hii!
1 Reactions
25 Replies
2K Views
Ni simple tu: Andika kazi ya mme/mke wako ambayo unataka awe nayo? Cc Zero iq Sent using Jamii Forums mobile app
4 Reactions
133 Replies
10K Views
Kigezo cha kuwa Platnum Member ni Kipi?
1 Reactions
28 Replies
3K Views
Baada ya kutoa dukuduku ya Uwezekano wa JF kugeuzwa kuwa chama cha siasa, mitafaruku yaanza kuonekana katika baadhi ya wana JF hao. Baadhi ya wakereketwa wamesikika wakisema wanajitoa mhanga kwa...
0 Reactions
97 Replies
23K Views
Asante Mwenyezi Mungu, Asante Wazazi wangu, Asante Walimu, Wakufunzi na Wahadhiri wangu, Asante wale Wote mlionilea na Kunijenga Kimaadili na Kinidhamu, Asante wote ambao mlikuwa na mnaendelea...
15 Reactions
154 Replies
6K Views
Kama unabisha Mwambie: "Hii Nyumba nataka tuiuze" Utaskia "Halafu siku ukifa mimi nitaishije na Watoto"😜🤣😂 Sitaki maneno mimi huyo🤦🤪🏃
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Najua wanawake especially wasichana wapo vizuri Sana kwenye hili.Hawa viumbe Wana uwezo wa kukariri number za simu kama Mia hivi kwenye vichwa vyao bila shida yoyote.Yaani anaweza akakutajia hizo...
3 Reactions
29 Replies
1K Views
Bujibuji najua huwa hupendi personal life iwe exposed, lakini kwa umuhimu wako hapa Jukwaani, niona nikutakie heri wee na Wana JF wote mnaoadhimisha siku yenu ya kuzaliwa leo.
3 Reactions
52 Replies
2K Views
Sina hela, sina kazi, ma HR wa humu JF nao hawataki kutushika mikono wenzao ili nasi tuwe binadamu kama wao,yani kwa kifupi ni fully vurugu tu. Nimeamua huyu jamaa ndiyo awe rafiki kipenzi wa...
11 Reactions
27 Replies
2K Views
Back
Top Bottom